Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Leo nawatetea single mothers!! Kuna sababu nyingi zinazopelekea mwanamke kuwa single mother. Kuna kufiwa na mume, kuna kupata mimba na baba asijulikane, kuna waliokataliwa na wababa watoto kudai wanawasingizia! Siyo lazima awe mke wa mtu!! Acheni kuwarushia njiwa wao!! Halafu kuna wengine ni wadogo sana hata miaka 20 hawajafikisha, wanastahili kabisa kuolewa!! Hatya wale wenye umri mkubwa zaidin ya 30 -45yrs bado wanaweza kupata wanaume wao wazuri!! Single mothers msikate tamaa!! mtaolewa tu tena na vijana kabisa!!
Mkuu unajua kutofautisha kati ya single mother na mjane..?

Tuanzie kwanza hapa
 
Wewe ndiye muoga na mjinga. Huwezi ukawa na akili ukaoa single mother.

Mwanaume mwenye akili anaoa mwanamke smart au mjane

Mkuu maandiko matakatifu yamekataza kuoa hata huyo mjane!
IMG_2554.jpg

IMG_2554.jpg
 
Mkuu unajua kutofautisha kati ya single mother na mjane..?

Tuanzie kwanza hapa
Mjane kama ana watoto ni single mother pia!! Single mother ni mama anayelea watoto peke yake bila kuwa na mwenzi. Kuna sababu zaidi ya moja inayoweza kumfanya mama alee watoto peke yake bila kuwa na mwenza, kifo cha mume ni moja ya sababu!! Mjane kama hana watoto atabaki kuwa mjane bila kuwa single mother. Lakini kama mjane akiwa na watoto anakuwa na sifa za kuwa mjane na pia kuwa single mother!! As simple as that!!
 
Nakubaliana na wewe 100%
Nina Mkewangu nilizinguana nae kisa tabia zake tukaachana akiwa na mtoto mmoja nimezaa nae wakiume.
Basi kila akija kumtembelea mtoto lazima ni mlee ndo aondoke.
Yaani namkunja kwa njaa kweli kweli.

Na kajenga utamaduni wa kulana kila mwezi mara moja.
Na asaivi kaniaidi atanizalia mwingine akiwa ndani ya ndoa yake.
Hana pa kwenda jamani.huruma.😔
 
Kuna kitu hamsemi kuhusu hawa single mother ila itajulikana tu. Haiwezekani wawatese hivi. Wenyewe wapo kimya kama hawapo.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,kwa kifupi tusichoshane!.


Hii kauli inapaswa iendane na matendo yenu,siyo matendo yenu muyaache Km zaidi ya 50 halafu kauli zenu zikiwa zimetangulia mbele.

Msipobadirika niwahakikishie hili suala la kuitwa Singo Maza halitokaa liishe na tutaendelea kulipigia kelele na kuwacharua hadi mvute midomo kama sukununu!.

Haiwezekani ukawa mwanamke wa kuwavulia chupi kila wanaume halafu mwisho wa siku uitwe Singo Maza Uchukie!,Sidhani kama utakuwa na akili timamu sawasawa!.

Mengine yakishapewa vihela vya bia kidogo yanadhani huyo ndiye mwanaume kumbe naye ametega ndoano zake anase samaki akafanye kitoweo,bila kujiuliza na wewe unanasa mzima mzima halafu leo unakuja kutia huruma hapa.

Hatuwezi kuwa na jamii ya mijianamke ambayo imezoea kuvua vua chupi ovyo kwa kila mwanaume halafu tusiyaseme!

MWANAMKE KUITWA SINGO MAZA SI KWASABABU YA UJANJA WA WANAUME BALI NI UJINGA WA MWANAMKE MWENYEWE!.

NIPO HAPA MBEZI INN MTAA WA KISIGA HOUSE NO_ 68,NJOONI MNIUE WAPUUZI NYIE!
 
Back
Top Bottom