Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Zinaaa kvp usiondoke idadavue kama sugunyoTena natamani mjue kuwa zinaa inamuathiri sana mwanaume kuliko mwanamke
Haya jifanyeni miaamba
Wakuu usiku mwema aysee Mr ndo kaingia ngoja niitumikie ndoa
SURE MKUUTUNAPASWA KUWEKA MABANGO MAKUBWA SANA PALE TEMEKE NJIA YA KUSINI,PALE KIBAHA NA BAGAMOYO
"KATAA KUOA SINGO MAZA" ILI VIJANA WAJITAMBUE NA WAJIFUNZE
Mbn mimi sikuambiwaga wazazi mnatuponza watotoMama yangu alishaniambia usithubutu kuoa singo maza
Ndio maana kuna Uzazi wa Mpango.
Hakuna mimba ya kulazimishwa kwenye Hii Dunia.
Ndio maana niliwahi andika kuwa Mwanamke kubeba mimba bila ridhaa ya mwanaume ashitakiwe na iwe jinai.
Mwanaume amefuata ngono wewe unamletea mimba, huo ni ushenzi.
Hiyo ndio Ligi iliyokuwepo,
Hivi jitu zima ulikute linasema kuwa halikujipa mimba Wakati linajua kabisa kuna kalenda yake huo sio uwendawazimu
Mama yangu alishaniambia usithubutu kuoa singo maza
Mkuu kuna bonge la simulizi sema kama nawaza namna ya kulisimulia,linahusu jamaa mmoja shoga alikuwa akinitongozamwamba ndio huyu hapa sasa, umughaka mwenyewe, nilimuwaza leo nikiingia jf mbona simsikii....aisee naomba uje na stori ya single mother moja
Tumekuelewa kaka robati tutatulia majumbani ππHata kama angekuruhusu, bado tunawasihi mabinti watulie majumbani mwao,kama wameshindwa kuolewa wakiwa Bikra basi wajirahidi wasizae Kabla ya Ndoa.
Waolewe ndipo wazae. Hiyo ndio heshima.
Sasa kama MTU hataki heshima akachagua kudharauliwa alafu Watu wakianza kumdharau (kumkejeli na kukudhihaki) atamlaumu Nani?
Ni Kweli mambo yamebadilikaTatizo ni moja kwa sasa hatuendi na asili mambo ni mengi mwanamke kipind akiwa kweny baleghe unakuta bado anasoma na hawezi kuolewa.
Hapo nyege ni mbaya ni rahisi kushawishika ,mbona zamani hizi mambo hazikuwepo kwa sasa mtoto hata awe na dini unashangaa huko chuo anarudi na mtoto na wengine ndio hao wanatoa mimba.
Me nawatetea wanawake katika yote kasoro hiliπ. For real yani mtu utasemaje umebeba mimba kwa bahati mbaya karne ya 21 hii?
Me nawatetea wanawake katika yote kasoro hiliπ. For real yani mtu utasemaje umebeba mimba kwa bahati mbaya karne ya 21 hii?
I napaswa kuwa hvyo ikiwezekana kuwatia viboko kabisa opp tokemeza singo maza kuwa Na jamii ya wanawake wasiojiotambua wanazaa hovyo ni kuwa Na TAIFA bovu Na watoto wahuni walio kosa malez Bora ushoga,usagaji huongezekaSURE MKUU
SINGO MAZA ANAPASWA KUOLEWA NA ALIYEMZALISHA
aisee ilete ilete mkuu, wewe ni bonge la msimuliaji....kifupi unatisha mnoMkuu kuna bonge la simulizi sema kama nawaza namna ya kulisimulia,linahusu jamaa mmoja shoga alikuwa akinitongoza
Aisee
Mambo ya waLawi 18:23Sasa hiyo Mithali nafkiri ifanyiwe tathmini irekebishwe...sasa mtu azini na mwanaume au mwanamke asiwe na akili, aende akazini na Mbwa au komba?! π€π€π€
Wengi wanafurahia mahangaiko Yao mwanamke kubeba mimbayako Inatosha kabisa kumheshimu anaharibika mwili anapoteza mvuto,mwingine anakuwa mgonjwa wapo wanaooteza maisha kwaajili ya kuwalet watoto duniani sisemi kuwa single mama ni Bora sio sawa kuwakejelj na kuwakashfuIfike mahali iwe aibu Kwa mwanaume..kuona mwanamke uliemzalisha anahangaika......
Tusisahau mwanamke uliemzalisha ni mama WA mtoto wako...
Anae dhalilika ni mama WA mwanao...
Leo Niko ofsn kuna kabint kamekuja kana mimba namuuliza vipi tena et kananijibu nimeamua tu niwe Na mtoto una malengo gani hakuna jibu nikakafukuzia mbali stak watu wapuuzHata kama angekuruhusu, bado tunawasihi mabinti watulie majumbani mwao,kama wameshindwa kuolewa wakiwa Bikra basi wajirahidi wasizae Kabla ya Ndoa.
Waolewe ndipo wazae. Hiyo ndio heshima.
Sasa kama MTU hataki heshima akachagua kudharauliwa alafu Watu wakianza kumdharau (kumkejeli na kukudhihaki) atamlaumu Nani?
Tumekuelewa kaka robati tutatulia majumbani ππ
Haiwezekani mkuuMe nawatetea wanawake katika yote kasoro hiliπ. For real yani mtu utasemaje umebeba mimba kwa bahati mbaya karne ya 21 hii?
Ubarikiwe mkuuLeo Niko ofsn kuna kabint kamekuja kana mimba namuuliza vipi tena et kananijibu nimeamua tu niwe Na mtoto una malengo gani hakuna jibu nikakafukuzia mbali stak watu wapuuz