Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Mkuu mimi binafsi naona watoto ni taasisi muhimu sana tusiwalete kimazoea zoea tu hapa dunia
Children are the Future they are the Future
Sasa hawezi kuwa future Kama mama anamlea peke yake.
Braza
Wewe kwa madini haya unayo tema unaweza kuwa hata baba wa kambo kwa watoto wa joyce kiria
Wako watatu nadhani [emoji1]

Ukiona watu wana zaa hovyo hvyo jua jamii haina muelekeo sahihi.
 
Nonsense kabisa

Unayeoa hana mtoto jua:

1. Alishatoa mimba;

2. Na hivyo ashaua watoto kibao kupitia abortion. Hivyo unaoa criminal(mhalifu)

3. Haimaanishi kuwa ambaye hana mtoto yupo sealed. No! Ashakwanyuliwa.

Afadhari aliyezaa utajua anawatoto wangapi.

Ambaye hana lakini unakuta matiti yashakuwa madaso, mahala penyewe napo mpaka pashakuwa na masikio fulani ( nyama zinazoning'inia), yaani afadhari nioe mwenye mtoto.
Nyie kimtaani kwetu tunawaitaga viazi unafikiri sawa na urefu wa kitanda chako
Hayo si maadili ya mtanzania katika kabila lolote kuoa mwanamke alozalishwa.
 
Sasa we mwenyewe mwisho ume maliza, uzembe wa sista utafanya wewe uki burst in ka zygot katokee. Akiwa careful hiyo wewe hata ufanyaje huji kumpa mimba.
Nina ndugu yangu aliolewa akiwa na miaka 34, hakuwa na mtoto. Because she was carefull siyo kwakuwa hakuwahi kuwa na ma bf.
ndo hivyo, pia wakati mwingine wadada wanakosa uvumilivu tu bure.

Ila hawa wadaa wangekuwa wajanja mbona mtu ambae hana mpango na ww unamjua tu...unamywea vidonge hata akishoot ndani inakuwa kazi bure,
 
Sasa we mwenyewe mwisho ume maliza, uzembe wa sista utafanya wewe uki burst in ka zygot katokee. Akiwa careful hiyo wewe hata ufanyaje huji kumpa mimba.
Nina ndugu yangu aliolewa akiwa na miaka 34, hakuwa na mtoto. Because she was carefull siyo kwakuwa hakuwahi kuwa na ma bf.
Nimepata fursa ya kuwasikiliza vijana wenzangu kadhaa, jinsi walivyopata watoto wengi wao wanakwambia wao walikuwa wanawaza kwamba wana hang out tu na mabinti na sio wapate watoto.
 
Braza
Wewe kwa madini haya unayo tema unaweza kuwa hata baba wa kambo kwa watoto wa joyce kiria
Wako watatu nadhani [emoji1]

Ukiona watu wana zaa hovyo hvyo jua jamii haina muelekeo sahihi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti Joyce kiria
 
Umenichangamsha kweli kwa kuwa uko ivo imebidi niendane na speed yako ya ucheshi na uchangamfu[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Hahahaa. Usijali Mkuu hiyo ndio sifa Kuu ya Hajar.

We ukimuona sehemu kama unaweza kumquote mquote tu hana shida kabisa yaani. Mpaka uchangamke. Teh teh.

Itabidi nikukariri sasa ili niwe nazidi kukuchangamsha Kaka. Lol
 
ndo hivyo, pia wakati mwingine wadada wanakosa uvumilivu tu bure.

Ila hawa wadaa wangekuwa wajanja mbona mtu ambae hana mpango na ww unamjua tu...unamywea vidonge hata akishoot ndani inakuwa kazi bure,
Kabisa mkuu ni rahisi sana kumshtukia mtu ambae hana mpango na yeye
Tatizo lao lingine hawapendi kujifanyia tasmini ya maisha yao ya mahusiano
 
Nyie kimtaani kwetu tunawaitaga viazi unafikiri sawa na urefu wa kitanda chako
Hayo si maadili ya mtanzania katika kabila lolote kuoa mwanamke alozalishwa.
Kumbe kuniquote kote kule kwa sababu uko upande huu. Lol.

Pole sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Iceman 3D yaani unakuwa unawaza sana
Nawaza braza kwakuwa pamoja na kuwa yule mtoto ntamlea lakini kuna sku itabid wakutane wapange mipango ya mtoto wao. Wampeleke skull, watoke naye out waka barizi [emoji1]. Eeh maana mtoto anahitaji mapenzi ya wazaz wote wawili ikiwa tu wako hai.
Sasa usalama wa moyo wangu utakuwa wap hapo?
 
Hahahaa. Usijali Mkuu hiyo ndio sifa ya Hajar.

We ukimuona sehemu kama unaweza kumquote mquote tu hana shida kabisa yaani. Mpaka uchangamke. Teh teh.

Itabidi nikukariri sasa ili niwe nazidi kukuchangamsha Kaka. Lol
Hahahaha!, Daaaah!! Weee kiboko uko mule mule!![emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
ndo hivyo, pia wakati mwingine wadada wanakosa uvumilivu tu bure.

Ila hawa wadaa wangekuwa wajanja mbona mtu ambae hana mpango na ww unamjua tu...unamywea vidonge hata akishoot ndani inakuwa kazi bure,
Eeeh jutu la kupita unalijua kabsaa, sasa lazima uwe na silaha za kujilinda. Ila wenzetu hawasikii halaf ukiwapa lawama wanahisi una waonea
 
Nawaza braza kwakuwa pamoja na kuwa yule mtoto ntamlea lakini kuna sku itabid wakutane wapange mipango ya mtoto wao. Wampeleke skull, watoke naye out waka barizi [emoji1]. Eeh maana mtoto anahitaji mapenzi ya wazaz wote wawili ikiwa tu wako hai.
Sasa usalama wa moyo wangu utakuwa wap hapo?
Unapiga moyo konde tu braza
Lakini hapo commitment ya mwanamke ndio inatakiwa yeye anatakiwa a dedicate maisha yake kwako sio baba mtoto kagusia tukumbushie zamani basi yeye kajaa tu.
 
Mkuu pia nawashangaa sana hawa watu kwa kweli .

Mtu amezalishwa huko wewe unabeba pasipo kujiuliza hata kidogo.
Tatizo elimu zao ni za ukalili zaidi kuliko uelewa hilo swala hata kidini yoyote ni NO
 
Back
Top Bottom