Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Ila ni vipi kwa wale wanaume wenye watoto nje hawatakiwi kuoa wanawake wasio na watoto?


Ulishawai kuona mechi inaanza goal zikiwa 2 bila, kama unataka kushuhudia oa hao, utapigiwa hatarii.
 
Ukijaribu kufuatilia undani wake si ajabu ukakuta hata yy mama yake ni hivohivo na si ajabu kashawajaza mimba na pengine kuwazalisha watoto mabinti za watu mitaani huko, hajui kama anaweza kuzaa watoto wa kike wakaja kuwa single mamaz,

Ni kujitoa ufahamu sana kututukania mama zetu waliotuzaa ,wakatuhangaikia na leo hii tunafanya kila tunaloliweza kuwawezesha na kuwajwamua na shida za hapa na pale. Mnawasema sema mama zetu kila kukicha oooh single mama ,single mama! Hao watoto kwani ni wao wenyewe walijipachika mimba!?

Ni sisi wenyewe wanaume ndio tunawajaza mimba kisha tunawatelekeza na hata watoto ambao ni damu zetu wenyewe tunawatelekeza refer akina diamond, ommy dimpoz na wengineo. Shame on us!!
Umekosea mzee,kwa hiyo kama mtu mama ake alikuwa single mother na yeye ndo aoe single mother???
R???
A
 
Kauli kama hii utakuja kuifuta miaka 30 ijayo pale mabinti zako watakapozalia nyumbani. Ogopa sana ulimi ni kiungo kidogo sana lakini kina simu Kali ambayo inaweza penya mpk kwa wajukuu zako. Be careful. Unless ni mgumba usiseme watoto wa watu angali uko na kizazi.
We single mother tulia wewe,ulivua chupi mwenyewe ukazalishwa ukaachwa pambana na hali yako,mwanamke unas
hindwa kujitunza unakuja kumwaga mapovu hapa,mtoa maada ana msimamo wake kwamba hawezi kuoa single mother ndo msimamo wake huo,povu la nini sasa na msimamo wake mimi sioni kama una shida

R
 
Heri kuoa aliyezaa maana walio wengi wasichana siku hizi anakuwa katembea na wanaume wengi halafu wametoa mimba sana. Siku ukimuoa mnakaa hampati mtoto. Fikiria kuoa mwanamke early 20's mwenye Mtoto, na mwingine ana late 20's halafu uajua kabisa huyu ni cha wote. Uwezekano kuzaa kwa hawa wanaojiita socialites ni mdogo, wanakuwa wameshatoa mimba kibao. Ila kama umechunguza kuwa ni mwadiifu , ambaye hajazaa ni bora zaidi, na wako wachache sana . you can count them on your finger tips.
Bora aliyetoa mimba unakuwa hujui
 
mkuu nielewe nachomaanisha mtu kupata mimba hilo ni juu yake yeye.. Ila mm sioi mwanamke aliyezalishwa.

watoto wangu kuzalizwa haina uhusiano mimi kuoa mwanamke aliyezalishwa .
Huyo single mother anakumwagia mapovu,alivua chupi mwenyewe akazalishwa akaachwa anakuja kukwambia sijui nini nini,apambane na hali yake,kwani wewe ndo ulimwambia afanye umalaya apate mimba?
 
Nilipokuwa kijana niliapa kutokuoa single mother. Kuna mama wa Mtwara (alikuwa na mtoto 1 wa kike) alininipenda sana ila nilikataa kumuoa. Haiwezekani uibe mpaka ukutwe na kidhibiti red handed.
Nilimpata binti 1 tukaenda kwa wazazi hadi ndoa kanisani. Amenizalia watoto 2 mpaka sasa nina familia yenye furaha. Single mothers siyo wote wabaya ila ukiamua kumuoa, jiandae kwamba kuna tukio fulani maishani litamuunganisha na X wake hasa kuhusu mtoto, hivyo control your jealous.

Dada zangu, kuweni makini. Hakuna mwamme kamili anayependa mmeoana leo anaanza majukumu ya kulea mtoto asiye wake. Kumbukeni na wanyama, hasa wa kike, hawataki kabisa watoto wasioeleweka. Furaha ya mapenzi inapungua. Single mother akioana na mimi mwenye watoto pia, hakuna shida tunaishi ila msiwabebeshe kazi vijana wadogo.
Epuka mimba za utotoni na ngono zembe.
 
Umekosea mzee,kwa hiyo kama mtu mama ake alikuwa single mother na yeye ndo aoe single mother???
R???
A
Ni maamuzi yake mtu mwenyewe, tatizo the way alivoongelea as if ni haifai kbs kuoa mwanamke aliyekwisha kuzaa
 
Nakuombea uoe single mom najua una akili nyingi na upendo mwingi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Yaan umeweka kwenye maombi kabsaa! Ushindweee na ulegee!
Ikitokea nime mpenda ntamuoa but its a budern si wish nchi iwe ina mababa wengi au mama wengi wa kambo.
 
Kuna demu alidanganya eti ana mtoto mmoja kumbe ana watoto wawili...kadanganya ana umri wa miaka 27 kumbe ana 32 sema ana umbo zuri ( hawa dada zetu wa kimachame) shida saana hapo anataka mwanaume wa kumuoa..kadanganya kila kitu

Ukimuoa mtu kama huyo bila kumfanyia uchunguzi wa kutosha..hapa unakuwa umeingia choo cha kike..kwanini mtu asiwe mkweli..na historia yake inaonesha aliolewa akaachika..now anatafuta ndoa kwa kasi ya 4G

Kwa kudanganya ana 27 kumbe ana 32 by age..issue ya kuolewa kwake kwa harusi hasemi hata kidogo

Wanaume tuwe makini...hawa wenye watoto wana siri kibao why wapo single mother..kwanini walio wazalisha waliwakimbia..kuna shida sana nyuma ya carpate
 
Kuna demu alidanganya eti ana mtoto mmoja kumbe ana watoto wawili...kadanganya ana umri wa miaka 27 kumbe ana 32 sema ana umbo zuri ( hawa dada zetu wa kimachame) shida saana hapo anataka mwanaume wa kumuoa..kadanganya kila kitu

Ukimuoa mtu kama huyo bila kumfanyia uchunguzi wa kutosha..hapa unakuwa umeingia choo cha kike..kwanini mtu asiwe mkweli..na historia yake inaonesha aliolewa akaachika..now anatafuta ndoa kwa kasi ya 4G

Kwa kudanganya ana 27 kumbe ana 32 by age..issue ya kuolewa kwake kwa harusi hasemi hata kidogo

Wanaume tuwe makini...hawa wenye watoto wana siri kibao why wapo single mother..kwanini walio wazalisha waliwakimbia..kuna shida sana nyuma ya carpate

aisee kiukweli tuwe makini nao.

na kawaida yao wengi wao huwa hawasemi kwanini waliachwa na waliowazalisha wanajing'ata tu
 
Nilipokuwa kijana niliapa kutokuoa single mother. Kuna mama wa Mtwara (alikuwa na mtoto 1 wa kike) alininipenda sana ila nilikataa kumuoa. Haiwezekani uibe mpaka ukutwe na kidhibiti red handed.
Nilimpata binti 1 tukaenda kwa wazazi hadi ndoa kanisani. Amenizalia watoto 2 mpaka sasa nina familia yenye furaha. Single mothers siyo wote wabaya ila ukiamua kumuoa, jiandae kwamba kuna tukio fulani maishani litamuunganisha na X wake hasa kuhusu mtoto, hivyo control your jealous.

Dada zangu, kuweni makini. Hakuna mwamme kamili anayependa mmeoana leo anaanza majukumu ya kulea mtoto asiye wake. Kumbukeni na wanyama, hasa wa kike, hawataki kabisa watoto wasioeleweka. Furaha ya mapenzi inapungua. Single mother akioana na mimi mwenye watoto pia, hakuna shida tunaishi ila msiwabebeshe kazi vijana wadogo.
Epuka mimba za utotoni na ngono zembe.

maisha ni kuamua/kupanga .
Mimi kuweka msimamo wangu kuto_oa mwanamke aliyezalishwa
watu wanasena bado immature.
 
Back
Top Bottom