Umekosea mzee,kwa hiyo kama mtu mama ake alikuwa single mother na yeye ndo aoe single mother???Ukijaribu kufuatilia undani wake si ajabu ukakuta hata yy mama yake ni hivohivo na si ajabu kashawajaza mimba na pengine kuwazalisha watoto mabinti za watu mitaani huko, hajui kama anaweza kuzaa watoto wa kike wakaja kuwa single mamaz,
Ni kujitoa ufahamu sana kututukania mama zetu waliotuzaa ,wakatuhangaikia na leo hii tunafanya kila tunaloliweza kuwawezesha na kuwajwamua na shida za hapa na pale. Mnawasema sema mama zetu kila kukicha oooh single mama ,single mama! Hao watoto kwani ni wao wenyewe walijipachika mimba!?
Ni sisi wenyewe wanaume ndio tunawajaza mimba kisha tunawatelekeza na hata watoto ambao ni damu zetu wenyewe tunawatelekeza refer akina diamond, ommy dimpoz na wengineo. Shame on us!!
Daa!! Kweli umeona mbali aiseeMara chache sana watoto wa mama/baba tofauti kuelewana
We single mother tulia wewe,ulivua chupi mwenyewe ukazalishwa ukaachwa pambana na hali yako,mwanamke unasKauli kama hii utakuja kuifuta miaka 30 ijayo pale mabinti zako watakapozalia nyumbani. Ogopa sana ulimi ni kiungo kidogo sana lakini kina simu Kali ambayo inaweza penya mpk kwa wajukuu zako. Be careful. Unless ni mgumba usiseme watoto wa watu angali uko na kizazi.
Bora aliyetoa mimba unakuwa hujuiHeri kuoa aliyezaa maana walio wengi wasichana siku hizi anakuwa katembea na wanaume wengi halafu wametoa mimba sana. Siku ukimuoa mnakaa hampati mtoto. Fikiria kuoa mwanamke early 20's mwenye Mtoto, na mwingine ana late 20's halafu uajua kabisa huyu ni cha wote. Uwezekano kuzaa kwa hawa wanaojiita socialites ni mdogo, wanakuwa wameshatoa mimba kibao. Ila kama umechunguza kuwa ni mwadiifu , ambaye hajazaa ni bora zaidi, na wako wachache sana . you can count them on your finger tips.
Wife material alafu kazaa kabla ya ndoa???Kuna mdada alizalishwa na jamaa akiwa chuo likakataa mimba, yaan mdada ametulia zake ni "wife material" kabsa hana papara kabsa tangu apatwe mkasa ule inaonekana alijifunza sana yaan ningemuoa sema ndio hivyo tena
Huyo single mother anakumwagia mapovu,alivua chupi mwenyewe akazalishwa akaachwa anakuja kukwambia sijui nini nini,apambane na hali yake,kwani wewe ndo ulimwambia afanye umalaya apate mimba?mkuu nielewe nachomaanisha mtu kupata mimba hilo ni juu yake yeye.. Ila mm sioi mwanamke aliyezalishwa.
watoto wangu kuzalizwa haina uhusiano mimi kuoa mwanamke aliyezalishwa .
Ni maamuzi yake mtu mwenyewe, tatizo the way alivoongelea as if ni haifai kbs kuoa mwanamke aliyekwisha kuzaaUmekosea mzee,kwa hiyo kama mtu mama ake alikuwa single mother na yeye ndo aoe single mother???
R???
A
Hivi kuna kijana gani bongo hajui namna za kujikinga na mimba jaman!! Hapa mna wasingizia wahanga.We ice tutuee ,,ndio vijana waanze kueleimishwa toka wadogo kujikinga na kutumia condom waelezwe ukweli
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Nakuombea uoe single mom najua una akili nyingi na upendo mwingi
Wajane hawana hatia kwenye hili.Eti inauma jamani wengine baba zao wamekufa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]eeh aisee we pole Sana vipi alikulazimisha ?
Punguzeni usipo ufanya hufi. Na hata kama una ufanya jitahidi usikechi ki zygot basi.Ati nini? Tupunguze huo mchezo? Tutapunguzaje wakati ndio starehe pekee tunayoimudu kwa sasa?[emoji12][emoji12]
Mkuu kila mtu ana kitu aliwah kuteleza kwenye maishaWife material alafu kazaa kabla ya ndoa???
Umekosea mzee,kwa hiyo kama mtu mama ake alikuwa single mother na yeye ndo aoe single mother???
R???
A
Kuna demu alidanganya eti ana mtoto mmoja kumbe ana watoto wawili...kadanganya ana umri wa miaka 27 kumbe ana 32 sema ana umbo zuri ( hawa dada zetu wa kimachame) shida saana hapo anataka mwanaume wa kumuoa..kadanganya kila kitu
Ukimuoa mtu kama huyo bila kumfanyia uchunguzi wa kutosha..hapa unakuwa umeingia choo cha kike..kwanini mtu asiwe mkweli..na historia yake inaonesha aliolewa akaachika..now anatafuta ndoa kwa kasi ya 4G
Kwa kudanganya ana 27 kumbe ana 32 by age..issue ya kuolewa kwake kwa harusi hasemi hata kidogo
Wanaume tuwe makini...hawa wenye watoto wana siri kibao why wapo single mother..kwanini walio wazalisha waliwakimbia..kuna shida sana nyuma ya carpate
Nilipokuwa kijana niliapa kutokuoa single mother. Kuna mama wa Mtwara (alikuwa na mtoto 1 wa kike) alininipenda sana ila nilikataa kumuoa. Haiwezekani uibe mpaka ukutwe na kidhibiti red handed.
Nilimpata binti 1 tukaenda kwa wazazi hadi ndoa kanisani. Amenizalia watoto 2 mpaka sasa nina familia yenye furaha. Single mothers siyo wote wabaya ila ukiamua kumuoa, jiandae kwamba kuna tukio fulani maishani litamuunganisha na X wake hasa kuhusu mtoto, hivyo control your jealous.
Dada zangu, kuweni makini. Hakuna mwamme kamili anayependa mmeoana leo anaanza majukumu ya kulea mtoto asiye wake. Kumbukeni na wanyama, hasa wa kike, hawataki kabisa watoto wasioeleweka. Furaha ya mapenzi inapungua. Single mother akioana na mimi mwenye watoto pia, hakuna shida tunaishi ila msiwabebeshe kazi vijana wadogo.
Epuka mimba za utotoni na ngono zembe.