Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
Ni maamuzi yake mtu mwenyewe, tatizo the way alivoongelea as if ni haifai kbs kuoa mwanamke aliyekwisha kuzaa
Aisee kama kusokota tu ni hivyo ukivuta kazi ipo.Uko sahihi kabisa mkuu,
Ni bora kuoa asiye na mtoto ila kazitoa za kutosha.
Sijavuta, ndo kwanza nasokota
Haina makombo!Makombo mwanamke. Mtoto wa nyongeza. Inaitwa buy 1, get 2.
Swali gani hilo nitake radhi kwanza alaaa weeWapo wazuri,kwani wewe mwanaume??? Au una jinsia mbili?
Wewe huyu huyu??Kweli braza mimi nimetulia sana yaan halaf nakutana na mwanamke tunaenda kila kitu ila ana mtoto. Ina add budern.
Halaf wenyewe wanachukuliaga simple et kama ume mpenda hutajali mtoto,ni kazi sana hii.
Sasa wale tulo tulia ndio tunaumia [emoji1]
Yaani anazalisha haoi hapo hapo anasema sioi mwanamke mwenye mtoto, je yule naye aliye achwa na mwanaye sio vizuriHahaaaa. Sema wewe mumy. Anavyoponda utadhania katika wanaomzunguka wote ni wasafi.
Halafu kweliIla jamani kufika miaka kama 15 ijayo
Tanzania itakuwa ni kizazi cha ma baba wa kambo na mama wa kambo. This is not good for our nation jamaani.
Wabongo punguzine mchezo huu, tumieni kinga basi, wengine tumetulia kwa hiyo kuja kuwa mababa wa kambo mtakuwa mnatuonea. Kuna kina dada wametulia kuwa mama wa kambo mna waonea.
Kina dada pia muwe makini usizae na mtu asiye na mpango na wewe. Wale walio fiwa sina tatzo nao.
HahahaWewe huyu huyu??
Tena wengi wao hawana hata adabu kwa wake zaoHahaha. Lol
Hahaha [emoji39] [emoji39] [emoji39]Hahahaa. Ni Me bwana
Kila siku watu wanalia wake zao wanacheat na makoloni ya zamani ili hali hawakuzaa na wengine wana anzisha mapya, tena mapya ndiyo mengi kweliMmh. Mie hata sielewi kwa nini mlio wengi hofu ni kwa aliyemzalisha kwamba wataendelea.
Kwani kwa mwanamke uliyemkuta ameshatumika hawezi kuingia ndoani halafu akawa na mahusiano na jimbo lake la nyuma?
Niliwahi majukumuNaona ulinikimbia
Du jamani kwanini kunyanyapaa single mother kwani si mliwapa mimba na kuwakimbia nyie me sasa afanye nini jamani?Hamna,single mother ni wa kuzaa nao tu na sio kuwaoa
Yaani umenishinda kwakweliSio kidogo,kuoa mwanamke mwenye mtoto ni sawa na kuvaa mabomu yanalipuka muda wowote
Watoto wote hao kwahiyo ni nyumba ndogo sasa naye ke ni kuumiza tu mwenzie mwenye mmeKUNA MMOJA NAMFAHAMU.
1. AMESOMA
2. ANA KAZ NZURI
3. AMEZAA NA MUME WA MTU TENA WATOTO WATATU AKIWA KAZN TENA HUYO MUME WA MTU NI MFANYAKAZ MWENZAKE
Mmh!Hahaha
Braza huamini au vipi?
Ukitulia street ukianza kuhesabu hali inaogopesha kati ya mabinti 10 ,tisa ni single mama and it had been a fashion aisee [emoji23][emoji23]Ila jamani kufika miaka kama 15 ijayo
Tanzania itakuwa ni kizazi cha ma baba wa kambo na mama wa kambo. This is not good for our nation jamaani.
Wabongo punguzine mchezo huu, tumieni kinga basi, wengine tumetulia kwa hiyo kuja kuwa mababa wa kambo mtakuwa mnatuonea. Kuna kina dada wametulia kuwa mama wa kambo mna waonea.
Kina dada pia muwe makini usizae na mtu asiye na mpango na wewe. Wale walio fiwa sina tatzo nao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukitulia street ukianza kuhesabu hali inaogopesha kati ya mabinti 10 ,tisa ni single mama and it had been a fashion aisee [emoji23][emoji23]
Me ndo maana naona bora hata uki date ki form six chenye akili uanze nae maisha akianza chuo (please mbegu ya akiba hailiwi[emoji23])