Umejenga hoja vizuri sana MkuuShida ni mtoto wake? kabla hamjakutana huyo mtoto alikua analelewa vipi? na je mtoto wake ataathiri vipi mahusiano yako na yake au yake na familia yako??
Shida ni umri wake? je anakua anakubeba mgongoni na kutangazia uma kua amekuzidi umri au umri wake unaathiri nini mahusiano yako na yake au yako na familia yako?
Kuna anko wangu alipingwa vikali kuoa single mom, anko akaziba masikio kaweka kitu ndani, huu ni mwaka wa 9 wapo wote, na watoto wao.
Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
Kwanza baba yako hakubaliani na wewe ndo maana anasema uwe mwangalifu. Mama yako anakutakia mema maana anajua mateso utakayopata ukioa single mother. Msikilize mama yako tafuta asiye na mtotoHii ishu imekuwa ikinisumbua Sana kutoka mwaka jana,Kuna mwanamke single mother nataka kumuoa,tangu siku ya kwanza nimwambie mama angu hizo habari alionesha kwa wazi kabisa kutokukubaliana nami, ananiambia yeye Kama hakuniweka tumboni miezi Tisa Basi nimuoe huyu single mother,mashangazi nao na dada zangu nao wananisema chini chini,
mdogo wangu wa kike ndo huwa ananivujishia hizo habari kuwa shangazi huwa anasema Mimi Ni mwanaume niliyesoma na kukamilika inakuaje naoa single mother,mama mdogo ndiyo ameniita Mimi mpumbavu,hiyo nimeinyaka kwenye group lao la whatsapp kupitia simu ya mdogo wangu
Baba yangu kaniambia niwe makini Sana kuoa mwanamke mwenye mtoto ila uamuzi nichukue mwenyewe,hii inaniweka njia panda Sana ,najua humu Kuna wamama watu wazima na wazee wenye umri mkubwa na busara,naombeni maoni yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana mtoto mmoja wa 4 years,kiukweli najiweza hela + nyumba nzuri + gari ninavyo,kibongo bongo hivi ndo viashiria vya mtu anaejiweza, kuhusu historia kwa kweli sijawaambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawatomwelewa ng'o ....wanaweza kuitikia kuanua ngoma juani ila hakuna atakaempenda huyo mwanamke....Nimekuelewa mkuu tafuta wazee wa hekima muelezee mkasa wote,waombe wakawaelezee wazazi...amini mambo yatakua poa..
Labda kama huyo single mother alizaa na ndugu yako au ni mchepuko wa baba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kukuzidi umri sio shida, shida iko kwenye tabia na mapito aliyopitia
Kuvaa suruali na enyewe ni kigezo eti cha kutokumuoa mtu? Labda ungesemea mengine hayo mkuu watu tumevaa suruali toka utotoni mpaka tunaolewa tuna watoto suruali tunavaa haijawai husiana na tabia ya mtu iyoMoja nilitaka kuoa,akanzia keep niletea mambo yake pamoja na kutaka kujua mshahara wangu,nifanye haraka nipeleke mahali kwao,amezoea kuvaa jeans aina ya suruali na mambo mengi,
Nikasema asante mungu huyu umenionesha tabia yake mapema ,mwanaume nikapiga kimya ila bado ananiomba ela
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi ni mtoto wa mchungaji na nimekulia dini kwa hiyo ni dhambi kwa mwanamke kuvaa surualiKuvaa suruali na enyewe ni kigezo eti cha kutokumuoa mtu? Labda ungesemea mengine hayo mkuu watu tumevaa suruali toka utotoni mpaka tunaolewa tuna watoto suruali tunavaa haijawai husiana na tabia ya mtu iyo
Shukrani sana Cole.Umejenga hoja vizuri sana Mkuu
Sidhani kama ni sahihi kusema kuvaa suruali ni dhambi, sema kimaadili haipendezi kwa mwanamke kuvaa nguo zinazochora maungo yake. Inaleta matamanio na ushawishi wa ngono kwa hata wasio stahili kuona.Mi ni mtoto wa mchungaji na nimekulia dini kwa hiyo ni dhambi kwa mwanamke kuvaa suruali
Sent using Jamii Forums mobile app
AhaahaahaaKwahiyo umeshindwa kabisa kupata mwanamke ambaye hajazaa?
Huyo mama ako mdogo aliyekuita mpumbavu yupo sahihi!