Barieda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 1,808
- 2,470
Kijana kuwa makini sana, hawa wanawake waliozaa waweza kuoa ila wanamatatizo makubwa sana, saivi unaona ni sawa kwa kuwa mpo katika kipindi cha uchumba ila ukishaanza kuishi naye furaha yako itakata.
Mwanamke aliyezaa anaheshimu wanaume wawili aliyezaa naye akimpigia simu atamjibu kwa heshima kwa kuwa ana mtoto wake, wewe pia akimpigia simu atakujibu kwa heshima kwa kuwa unaishi naye, na katika maisha mwenye wivu zaidi huwa ni Sisi wanaume kwa kuwa tumeagizwa upendo kwa wake zetu, tafakari na uchukue hatua.
Mwanamke aliyezaa anaheshimu wanaume wawili aliyezaa naye akimpigia simu atamjibu kwa heshima kwa kuwa ana mtoto wake, wewe pia akimpigia simu atakujibu kwa heshima kwa kuwa unaishi naye, na katika maisha mwenye wivu zaidi huwa ni Sisi wanaume kwa kuwa tumeagizwa upendo kwa wake zetu, tafakari na uchukue hatua.