Lazima atakuwa wa dar huyu...mwenyewe kaniuzi sana!!
Kwanini uoee single mother, wanawake wameishaaa,wee falaa nini acha kutuaibisha wanaume rejali kama sisi najua kabisaa wewe ni mwanaume wa daaa maana huwa sijui mnalishwa niniiii
 
Kuoa single mother sio tatizo tatizo ni pale atakapo anza kukutana na baba wa mtoto ili wajadili kuusu mtoto wao [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Dah mkuu..natamani nikufuate inbox nizungumze nawe zaidi ila kwa sasa nikuulize tu;

1. Unajua na mmeshazunumza kuhusu baba wa mtoto? Yupo hai? kafa? anafanya nini? ulikuwaje uhusiano wao, ulianzaje na kwa nini ulikufa? huduma kwa mtoto? ni mtu mstaarabu? na mambo yafananayo na hayo.

2. Mmezungumza na kukubaliana juu ya malezi ya mtoto iwapo mkiwa pamoja? esp suala la nidhamu

3. Anakuheshimu?
 
So tuseme wasichana ambao hawajazaa umekosa kabisa mpaka unataka kukosana na ndugu zako?,au umesharogwa tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo statement ya mzee (baba ) yako ina mengi, muulize vizuri baba kama mwanaume mwenzio. Hataki lawama lakini pia hataki uje ujilaumu baadae, go back to him and ask him what did he mean on that statement.
 
Mzazi ni Mungu wa pili. Huwa wanaona mbali sana! Tafuta mke mwingine kiongozi
 
We dogo, ukijibu vizuri maswali ya huyu jamaa hapa then utakua pia umeondoa UTATA wa baba yako hapo juu as well, nahisi kama baba yako nae hajapenda maamuzi yako but pia hataki kuingilia maamuzi yako as well, hofu ya mzee wako nahisi ipo kwenye haya maswali. Mjibu huyu jamaa either humu au PM
 
Mzazi mwenzie yupo hai

Sent using Jamii Forums mobile app
Bhasi Hiyo bhangi uliyovutaa subiri ikiisha ndo ufanye maamuzi ya Kuoaa.. Ilaa achaa huo upuuzi!! Single maza wa miaka hiii sio kabisaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yanii jakaa atakuwa anamlaa kwa kisingizio cha mtoto... jiandae kupataa tabuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…