kwetumasoko
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 866
- 510
Mkuu mi nachangia tu hapa, sio mleta thread!Heri yako mkuu, ila baba mwenye mtoto akiwepo, ndo huwa panaleta shida kidogo maana hapo mtoto bado atakuwa anawaunganisha. Hapo na kuchapiwa ukubali kwa 100%
Familia zetu za kiswaili ni balaa aisee...mtu hataki nduguze waoe wanawake wenye watoto wakati huo huo akija mtu anataka kuoa ndugu zao wenye watoto hata watatu huwa hawakatai kwamba ndugu yao ana mtoto.Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie, huyo mama pengine ana binti ambaye anaweza akawa single mother mtarajiwa na hajui hatma yake.
Kubaliana na mwenza wako abebe mimba, Mimba ikiwa changa pitisha ndoa hata km ya mkeka.
Hahaha umefanya nicheke sana mkuu, nadhani wewe umeshafunga mjadala.Hata Dogo janja si alio single mother, ajifunze kutoka kwake........
Sent using Jamii Forums mobile app
"Single Mothers are very complicated to any new relationship"uko sahihi sana...Nasoma comment za Single Mother humu nabaki nacheka tu....Yaani mtu amepigwa mimba hakuolewa na aliyempa Mimba leo hii unataka ujiingiza kichwa kichwa, au unakutana na Mwanamke alishindwa kujenga ndoa yake au mahusiano yake akamua kufunga virago leo hii unadhani utamuweza kweli? Ninachojua Aliyewahi kula Nyama ya Binadamu hawezi acha kamwe..
Case Study, Flora Mbasha ile ndoa ya pili ya Mbwembwe nayo ipo chali ..Single Mothers are very complicated to any new relationship
Mimi nina experience na hao watu, nimejifunza mambo mengi sana kuhusiana na single mother, na hapa ninvyokueleza ni karibuni tu tangu nimeachana naye, namshukuru Mungu koz sikufikia hatua ya kufunga naye ndoa, suala la kuoa ni sensitive sana siyo la kukurupuka, ili ninyi muweze kuoana na kuishi mjue ni matokeo ya agreement ya wazazi wa pande zote mbili, tofauti na hivyo baada ya miaka utakuja kuitwa single father na itakugharimu maisha.Wajomba na ndugu zangu wote wa kiume wameniambia hivyo hivyo,kama tulikuwa wote vile
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo ndo pananipaga maswal asee mana miaka kadhaa nyuma alikuwa na mashauz flan kuwa haez kuwa na mtu mwenye mwil mdgo mdgo ila later baada ya umr kusogea akaanza kulia lia kuwa familia wanamuulza ataolew linHii yako ni safe kama anakupenda na umeliona hilo. Asijekuwa naye anaolewa kutimiza masharti tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua hutapendezwa na hilo ila ndiyo uhalisia. Kwanza mwanamke kakuzidi umri, pili ana mtoto wa mtu. Hawa wanawake wa JF wanashinikiza kuwa usimsikilize mama yako ni wale wale. Achana nao. Wanaume wa JF wanaokushauri ati sikiliza moyo wako, ni wanafiki wanataka uoe na yakikufika wakucheke. Mwanaume kuoa mke ambaye anakuzidi kipato, urefu, umri, kisomo hata akiwa na kiumbe cha mwanamme mwingine muogope kama ukoma.Yap,kaniambia hivyo hivyo,kasema anawajua sana wanawake kwasababu yeye mwenyewe Ni mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika? Kwani ulimpima DNA? Kwani kuna tatizo gani akikueleza baba yake alikufa ili aolewe na akishaolewa baba anafufuka!!!Mi nasoma maoni ya wadau tuu mana mi pia nna mpango wa kuoa mdada mwenye mtoto lkn yy jamaa ake alishatangulia mbele ya haki
ha ha ha,, noma sana asee, kuna wakt alivonambiaga jamaa ake alivuta skumuamin nkahis labd ana hasira nae tuu, ila pia sijawah pata uthibitisho wowote aseeUna uhakika? Kwani ulimpima DNA? Kwani kuna tatizo gani akikueleza baba yake alikufa ili aolewe na akishaolewa baba anafufuka!!!
Mkuu single mother hawajutii Kuchukuwa Umazi wa kucancell aina yoyote ya mahusiano, pia ni wepesi wa kulinganisha matukio ya Nyuma yaliyomkuta kwenye mahusiano mama na hayo Mapya aliyomo. In short ile dhambi ya kukimbia mahusiano yake ya kwanza yanakuwa kama laana kwake hivyo haoni hofu tena kuachika na kuwa kama alivyokuwa Mwanzoni."Single Mothers are very complicated to any new relationship"uko sahihi sana...
Emmanuel Mbasha amelieleza hilo kuwa hata yule aliyemnyanganya mke na yeye kanyanganywa kwa hiyo wote wanasota kibachella
I like youI like this
Same hereI like you
Naunga mkono hoja. Halafu asilimia kubwa ya Single mother ni wepesi wa kutamka nioe au tufunge ndoa. Yaani unashangaa haraka haraka tu analitamka hilo neno. Hapo akili kumkichwa! Yapasa mwanaume kutafakari hapa.Mwanzoni unaweza kuona kama iko poa lakini kadri siku zinavyoenda ndio utaona hasara ya hiyo kitu,wazazi wanajua ndio maana wanakuonya.Unajua shida hapo ni kuwa hao watu wengi wao wanakuwa wana majeraha ya kuachwa na jamaa zao,sasa kinachofuata anajikuta anafanya malipizi bila ya kujua kuwa wewe sio muhusika wa kuachwa kwake,kichwani mwake anakuwa anaona kila mwanaume ni mtu katili,behaviour zake ni tofauti sana na mwanamke ambaye hajakutana na hiyo hali,sisemi wote ila wengi wao ni majanga na hata ukifuatilia thread nyingi hapa JF kuhusu single mothers zinawaponda sana,hawako vyema kisaikolojia..
Wanawake sisi jamani, huwa tunawalaumu tu wanaume humu kusimanga single moms ila wazazi pia ni changamoto haswa wa kike. Nililishuhudia hili wakati kaka yangu fulani alipotaka kuoa mwanamke mwenye mtoto, mama yake ndio alikuwa wa kwanza kunyanyua mdomo.Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie, huyo mama pengine ana binti ambaye anaweza akawa single mother mtarajiwa na hajui hatma yake.
Kubaliana na mwenza wako abebe mimba, Mimba ikiwa changa pitisha ndoa hata km ya mkeka.