Ndiyo gari nyingi used ila hiyo namba A.
Bro. Hakuna mtu mbaya na wa hatari kwako mwanaume kama mtu aliyemtoa bikira na aliyezaa na demu wako. Wakitokeza na wakitaka lazima wapewe.
Mamako mwanamke. Analijua hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuoa hata mimi nakushauri big no,na usipokuwa mwangalifu utategeshewa mimba umkimbie awe double maza,tuliza akili na punguza hisia.
 
Ndoa si kufanya mapenzi
 
Hakuna hata mama mmoja atakaekuambia ujunga uliouainisha

Hakuna cha laana kwa sababu huna mama, pengine una mzazi tu wa kike

Kuwa mwangalifu na nyege zako
 
Mtu kamzidi umri wa nini sasa, kala maisha huko ndo aje kumalizia stress kwa dogo, hao wanafaaga kuwa mchepuko tu si wa kuweka ndani
Hapo sasa
Halafu dogo asikii wala haambiwi
Sijui ndo hawa ambao wanaambiwa wasiingie kwenye mapenzi hadi wamalize chuo na wapate kazi
 
Nahisi wanafahamu kwa uzoefu wao kero za mama/mtoto

mie kwa uzoefu wangu mdg watoto wa single maza hata umsomeshe umuhudumie vp akili zao huwa wanawaza kutengwa tu
No matter how much they have experience na haya mambo waace kutuchagulia watu wa kuoa au kuolewa nao na kama tukiendekeza hili kuna baadhi yetu tusingekua duniani leo hii
Ukipenda boga penda na ua lake
Huo ndo uchawi wa single mazaZ
Hakikisha unalea mtoto kama wako n cut off all the expenses from mzazi mwenzie!
Maoni yangu ndo hayo

Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
 
alafu mkizaa mtoto mwenye matatizo mnawasukumia tena wazazi wawasaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…