maringeni
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 3,197
- 3,896
Ndiyo gari nyingi used ila hiyo namba A.
Bro. Hakuna mtu mbaya na wa hatari kwako mwanaume kama mtu aliyemtoa bikira na aliyezaa na demu wako. Wakitokeza na wakitaka lazima wapewe.
Mamako mwanamke. Analijua hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro. Hakuna mtu mbaya na wa hatari kwako mwanaume kama mtu aliyemtoa bikira na aliyezaa na demu wako. Wakitokeza na wakitaka lazima wapewe.
Mamako mwanamke. Analijua hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app