Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
Hatukatai kuwa walezi wazuri wapo.. Ila tatzo walezi wabovu wamezidi idadiNadhani hapa unaongelea wale wadada wa mjini kutwa nzima wako club au wanashinda saloon,hawana mpango.ila kumbuka suala la malezi ni aina ya mwanamke ulie nae.Mama ndio anasiamamia malezi ya watoto kwa 80%.Unaweza kuwepo kama baba na bado mtoto akapotea pia,achana na hizo mentality .kuna wanawake wanajielewa hata kama yuko single ila hawezi onesha mahusiano yake kimapenzi na mtu wake kwa watoto wake.
Upumbavu tu huu, mi najua watu kibao waliolelewa na single mama wapo straight, mfano mtu kama Fid Q, Kanumba, Diamond, Q chief, 50 cent, Diddy, Obama, Jayz, Kanye West etc wote hawa wamelelewa na mama zao, na wapo straightKwa nini mnapenda kutunga story zenu kichwani na kuwalaumu watu wasiohusika maana Sijawahi kuona single mama kampaka mwanae lip gloss, wanja au poda ili awe handsome. sio fair kabisa na hamjui ni ngumu kiasi gani kwao kulea watoto wa kiume na wengine huwa wakatili kabisaa kwa sababu hakuna fatherly figure around.
MUHIMU:MAADA HAIJALENGA SINGLE MAMA WOTE, NI BAADHI, SIO WOTE
Habari wadau, siku hizi kumekuwa na kundi kubwa la wanawake kwenda kuomba haki sawa ofisi za ustawi wa Jamii kuhusu kulea mtoto pale baba anapomtelekeza mama.
Zamani kabla ya hizi haki Mara nyingi mtoto alikuwa anaenda kuishi na baba yake au kuishi na ndugu wa baba au mama vijijini ambako mila na desturi zinazingatiwa mno
Sasa siku hizi mambo ya kutupiana mizigo kwa ndugu imekuwa ngumu maana kila moja anapambana na hali ya maisha yake maana kila kitu ni pesa kitu kinachopelekea watoto wengi kuishia kuishi na mama zao bila malezi ya baba.
Ghafla mtoto wa kiume wanaweza kuanza kuona kila kitu anachofanya mama yake ni sahihi kuanzia kuongea, kitembea na hata Nguo, Wa kumfundisha jinsi ya kuishi kama mwanaume anakuwa hayupo matokeo yake kidogo kidogo anaweza kuanza kupigwa mabusu na wavulana wenzake ye akaona sawa tu maana anamuona sana mama anavyopigwa busu na rafiki zake.
Pia wamama hawa wengi naona wanapenda sana watoto wao kwa nia nzuri ila inaweza kuwa mbaya kwa mtoto, unakuta mama anataka mtoto wake aonekane Hb unaanza kumpaka poda, make up, lip gloss na hata kusuka, hiki kitu kinaweza kumuweka mtoto matatizo ni maana anaweza kuanza kujaribiwa kidogo kidogo na wenzake.
Kadri miaka inavyoenda mambo yanachanganya na inakuwa ngumu sana kurudisha nyuma tabia zilizogeuka mazoea.
Kwa ushauri Wangu katika malezi mtoto wa kiume inabidi awe mazingira atayolelewa kwa umakini na baba ama ndugu wa kiume
Mtoa, maada kaanza kwa kusema SIKU HIZI.. sasa ww umeataja Fid Q na wengine.. Ni sawa na kusema hapo zamani.Upumbavu tu huu, mi najua watu kibao waliolelewa na single mama wapo straight, mfano mtu kama Fid Q, Q chief, 50 cennt, Diddy, Obama, Jayz, Kanye West etc wote hawa wamelelewa na mama zao, na wapo straight
Ushoga ni kitu inborn, mwanaume kama umezaliwa na viungo vyako vyote vinavyohusika kutoa homoni wakati wa balehe huwezi kumtamani mwanaume mwenzako, mtoto wa kiume akilelewa na mama yake kuna muda utafika tu mwenyewe ataona sio poa kukaa na mama
Mimi nimelelewa na wazazi wote wawili lakini malezi yote kanipa mama, mzee alikuwa busy sana, na huo ushoga sina
Tupe mifano ya waliolelewa na single mother wakawa mashoga, mimi nawajua wengi tu wapo kamiliMkuu inaelekea unajifungia sana ndani na simu yako au hujichanganyi, Tembea uone, Watoto wadogo kabisa wa kiume wanawaiga hadi mama zao wnavyokata mauno, Baba akiwepo hawezi kuvumilia kuona mtoto wake wa kiume anakata kiuno
na hawa mashoga watu wazima waliopo sasa hivi walilelewa na single mother? siku hizi na zamani malezi ya singke mother yamebadilikaje, kwa utafiti na sio hisiaMtoa, maada kaanza kwa kusema SIKU HIZI.. sasa ww umeataja Fid Q na wengine.. Ni sawa na kusema hapo zamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
wapo wengi tu.usipinge kitu usichokijuaExactly amekuza vitu sana na kutupia wamama wa watu lawama. Hakuna mwanamke mjinga atampaka make up mwanae ili awe handsome zaidi. Sijawahi kuona na labda alete uthibitisho
Wapo wengi !!... itabidi unielekeze walipo nikawaone mkuu maana sijawahi kuona
Una bahati sana.Mimi ni mfano hai,sio shoga wala sitokaa niwe shoga
ila tukija kwenye maswala ya urembo na usafi "mtoto wa kike akasome"
Hamna mtoto wa kike anaeweza kuta mataka taka ya dressing table yangu.
Mimi nachamba hata Asha boko akasome,Asha ngedere akija namflotisha
hii yote ni kulelewa pamoja na watoto wakike,yani kama sio kuokolewa kupelekwa
shule za BOYS tupu nahisi ningekuwa kitu ya ajabu,Maisha nayo ndio yakanitia ugumu
ila kulelewa na mama TU bila baba kwa mtoto wa kiume asee hapana,mleta mada upo sahihi.
Huwa hawajui. Baba ni rahisi sana kufahamu mtoto anafanya upuuzi kuliko mama,. Mama anaweza kuwa mzuri kwe almost kila kitu ktk malezi zaidi ya baba ila akashimdwa kunotice jambo dogo sana linaloenda kuharibu maisha ya mtoto.Single mother watabaki kuwa juu tu ungelelewa na single mother we mtoa mada usingekuja na hii thread
Hakuna mama anayetaka mtt wake aharibikiwe kama wapo basi ni wachache sana yani afanye mtt wake aweshoga wakati wao huwa wanafurahi sana kuwaona wakwe zao mm nimelelewa na single mother najua ni maisha gani nimekulia kuna umri fulani nilikuwa napewa mpaka hela ya kuongea 😂 alafu ndio atake mm niweshoga loh 😥
Shure thing samtaimz unapiga kikonzi ukisindikizia na Kofi pale mtoto wa kiume anapo leta swaga kama hizi za kubenjua benjua viuno,mikono na Mikao isiyo eleweka