Yaan nisawa namm nkae mbele ya mwanamke ,nianze kuzungumzia nakumlinganisha yeye na Ex wangu???
Acheni hzo mambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] loh!
Wanafanya mambo yanakua magumu, hawajui wanatengeneza mazingira ya kuachika, na wa aina hii kuolewa tena inakua ishuNadhan nihiki kizazi cha sasa + ukisasa mwingi .........,Wa mama huko zamani waliwezaje? Yaan nisawa namm nkae mbele ya mwanamke ,nianze kuzungumzia nakumlinganisha yeye na Ex wangu???
Badala ya kujenga ,unabomoa.
Usipende kuruhusu MTU kukupa changamoto inayoweza kukuathiri kimwili akili na kiroho.Wanafanya mambo yanakua magumu, hawajui wanatengeneza mazingira ya kuachika, na wa aina hii kuolewa tena inakua ishu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hao nilishawastukia kitambo, kwa sasa nikuwapitia tuuYeaah hamna kitu muhimu chakujali kama Moyo wako !!.Usipende kuruhusu MTU kukupa changamoto inayoweza kukuathiri kimwili akili na kiroho.
Nadhan nihiki kizazi cha sasa + ukisasa mwingi .........,Wa mama huko zamani waliwezaje? Yaan nisawa namm nkae mbele ya mwanamke ,nianze kuzungumzia nakumlinganisha yeye na Ex wangu???
Badala ya kujenga ,unabomoa.
Wanafanya mambo yanakua magumu, hawajui wanatengeneza mazingira ya kuachika, na wa aina hii kuolewa tena inakua ishu
Sent using Jamii Forums mobile app
sijawahi kumuona akienda kanisa so siwezi jua tulikuwa mda mwingi tupo nae maskani ye mwenyewe ukimuuliza dini anaamini ktk amani,upendo na kufanya matendo mazuri ndo dini
alimgharamikia sana yule single mama alimlelea mwanae kama mtoto wake vile na alisaidia sana ndugu wa mwanamke kumbe yule mama anaona kisirisiri na baba mtoto kiporo kinapashwa
Huyo kupashana kiporo ni changamoto, ila huyo mwanamke hatakaa kwa amani, laana ya chedi itamtafuna sanasijawahi kumuona akienda kanisa so siwezi jua tulikuwa mda mwingi tupo nae maskani ye mwenyewe ukimuuliza dini anaamini ktk amani,upendo na kufanya matendo mazuri ndo dini
alimgharamikia sana yule single mama alimlelea mwanae kama mtoto wake vile na alisaidia sana ndugu wa mwanamke kumbe yule mama anaona kisirisiri na baba mtoto kiporo kinapashwa
Kabisa mkuudaah we acha mkuu sio kama watu wakisema msiwaoe wanawanyanyapaa laa hasha hapana shida wengi wanakuwa si waaminifu