Ukitaka kufurahia mahusiano, tafuta mtu ambaye anaweza kukupa Faraja na Amani,
usiangalie kuwa ni single mother au vipi,
Unaweza ukawa na single mother na mkaishi kwa Amani na furaha na pia unaweza ukaishi na ambaye ni pure lakini usipate Amani kila siku unaishia kuumia tuu,

Ukiona upo na single mother halafu anakupa kauli usizozipenda jua huyo hamuendani naye muache coz kila unachomfanyia yeye anachukulia kipimo kuanzia kwa Baba Corona,

Hizi issues za kuwa na mahusiano na single mothers zinahitaji moyo wa kipekee na kama haupo committed acha kabisa, mana utaingia kufanya maamuzi magumu kwa kila jambo, utaishia kukonda na kukosa Amani ya moyo, ukifuata na kauli za mtaani "ushawahi ona wapi mechi inaanza 0:1"

Tafuta hela, fanya ibada sana, toa sadaka, jiheshimu na uuheshimu mwili wako maana Mungu anakupa unachoendana nacho "Ukiwa mchezaji utampata aliyechezewa na wenzako"

(MUOMBE MUNGU UPATE MKE MWEMA WA KUKUPA AMANI, FARAJA, NGUVU NA UJASIRI KWA KILA JAMBO)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuwahi kukwambia kuwa utombaji wako unakaribia kidogo kwa baba mtoto wake?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nimeoa singo maza maisha mazuri na ya amani....


Sent using Jamii Forums mobile app


ngoja nikuweke sawa mkuu watu wanatofautiana maybe unaweza mpata single mmaza mwaminifu Mara nyingi wanakua 1 katika 1000 ambapo hapo utakuta mjane japo simuhesabii kwenye hili kundi au aliebakwa ni wachache mno almost 99% wanakuwa na tabia mbovu ziliowashinda wanaume wenzetu sasa mkuu kama mtoto anaunganisha wazazi ni zao la upendo kwa nini wenzetu wakimbie ?


kwakua wengi ni vivuruge ndo maana tunaamua kufanya generalization sio kama tunapenda ila ndo hivi inabidi tuwe makini
 
Swali zuri, kama mwanaume mwenzako kamshindwa wewe unatakiwa ujipange

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehe! Mimi siku tuko Kitandani, hapo anakatika nkagusa sehemu akasema "aisee we mwanaume umenikumbusha baba Corona" [emoji3][emoji3][emoji3]

Uzuri nadate naye kwa kupunguziana stress sio mipango ya maisha na ndoa na yeye anajua so ni win win situation, maana ingine ni mchepuko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…