Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
hujakosea bro, and we are very happy...... na mimi nlikuwa single dad
Hujawahi sikia mtu ana mume na watoto ila kuna njemba inamchanganya huko nje hata hajali tena? Anaiwaza njemba tu mpaka wakati mwingine anatoroka watoto na mume akaione njemba yake? Single mothers wanaweza kutulia kabisa if you are a man enough for her. Mm mifano ipo mingi naifahamu. Mwanamke hata ukioa bikra, kama you are not man enough for her sali sana asikutane na man anayemuelewa. Utaibiwa tu. Still mtu akiniomba ushauri kati ya single mom na asiye single mom ntamshauri asiende kwa single mom maana ni hatari. Unnecessary compitition.
 
Sijasikia mkiongelea single father au wao hawana matatizo kama wengine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke ahudumii, mwanaume ndo anahudumia. Wanawake wengi si waoga wa kugongewa ila ni waoga wa kuibiwa mume kabisa kwamba asirudi tena, wanaume wengi wanaogopa sana kugongewa hata kidogo tu, wanataka mwanamke awe kama pua, saa zote ni yake anapengea kamasi yeye tu. Kutokana na hayo tegemea povu la wanaume kwa single mothers kuliko upande wa pili. Wanaume tulio huru tuna burudani sana, maana tunajichagulia tutakaye uwe single mom, bikra au ulitoa. Mpo wengi sanaaaaaa kutupa presha.
 
Hujawahi sikia mtu ana mume na watoto ila kuna njemba inamchanganya huko nje hata hajali tena? Anaiwaza njemba tu mpaka wakati mwingine anatoroka watoto na mume akaione njemba yake? Single mothers wanaweza kutulia kabisa if you are a man enough for her. Mm mifano ipo mingi naifahamu. Mwanamke hata ukioa bikra, kama you are not man enough for her sali sana asikutane na man anayemuelewa. Utaibiwa tu. Still mtu akiniomba ushauri kati ya single mom na asiye single mom ntamshauri asiende kwa single mom maana ni hatari. Unnecessary compitition.
sawa kabisa...Inzi ni Nyuki mpumbavu...sorry mjinga......but am telling you umecomment kwa uelewa wa hali ya juu,,,vijana wanaotaka kuoa wajitambue...
 
Mwanamke ahudumii, mwanaume ndo anahudumia. Wanawake wengi si waoga wa kugongewa ila ni waoga wa kuibiwa mume kabisa kwamba asirudi tena, wanaume wengi wanaogopa sana kugongewa hata kidogo tu, wanataka mwanamke awe kama pua, saa zote ni yake anapengea kamasi yeye tu. Kutokana na hayo tegemea povu la wanaume kwa single mothers kuliko upande wa pili. Wanaume tulio huru tuna burudani sana, maana tunajichagulia tutakaye uwe single mom, bikra au ulitoa. Mpo wengi sanaaaaaa kutupa presha.
mlio huru kivipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asikudanganye mtu single mother siyo wanawake wa kuoa wangu niliye zaa naye tunapasha kiporo kila anapokuja na mwanae!!full kunililia kwa mahaba kuwa huko aliko ni basi tu,na jamaa ana mtonyo mwingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2] jamaa kaingia cha kike unaweza ukaona ndo huyo huyo humu kwenye comment anadai anaisha maisha ya furaha na huyo single mother ambaye unajipigia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama haujadanganya kwa ajili ya chuki basi ulikuwa uki date na punguani, ndege wafananao huruka pamoja, pengine na wewe upo hivyo hivyo
 
mlio huru kivipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuru ni hali ya kutokuishi na hofu katika jambo flani. Mfano" umempenda single mother ila huwezi kuwa nae sababu una hofu atagongwa na mzazi mwenzake.

Kwenye mapenzi Ukiwa huru, kugongewa haiwezi kuwa hofu kwako. Uwe una mpenzi bikra au mwenye watoto hutakaa ukiwaza kugongewa maana unajiamini na ikitokea utapima madhara na utajua nn cha kufanya kama ni kumuacha au la. Binadamu tupo tofauti na hofu zinatofautiana.

Mfano Ccm iliingiwa hofu na nwenendo wa kachero ikamtimua. Ni hofu tu si kingine, angeweza akaachwa na asiwe na madhara ila hofu ya kuleta madhara chamani ikasababisha atimuliwe.
 
Na ukute Wewe Hapo mama ake Wewe ni single mother...[emoji4]
Hii ni kwa wale tuliowahi kujilipua na kua na mahusiano na hawa wanawake wenye watoto tayari (single mothers).

[emoji23][emoji23][emoji23] aisee nikikumbuka nasikitika sanaaa!

Ok kwa upande wangu yule mwanamke niliyewahi kua nae alikua na mtoto mmoja, ila hizi kauli zake zilikua zinaniboa sana na nilikua namwambia aachane nazo maana ipo siku tutaachana kwa ajili ya kauli zake za kijinga kama zile maana nilikua najihisi kama nipo na MKE WA MTU.

kauli zake zilikua kama :-

1. Yaani we mtoto unaroho mbaya sijui umeitoa wapi, mbona baba yako ana roho nzuri tuu?!! (wakati anamgombeza mtoto wake hapo)

2. Yaani huyu mtoto wangu ana lips [emoji182] nzuri kama za babaake

3. Yaani unafanyia mimi hivyo?! Hata baba Corona tumeishi nae sana lakini hakuwahi kunifanyia hivyo?! (mkigombana tuu kidogo anamsifia baba wa mtoto wake)

4. Leo baby hivi viatu ulivyonunua vizuri hata baba Corona alikua navyo kama hivi ila vyake vilikua vipya kabisa alinunulia dukani!


Nikaona isiwe tabu, Ngoja nitafute ambae hajazaa.

Kama nawewe ulishawahi kuishi na single mother hembu shusha kauli hapo alizokua anazitoa lakini kwa upande wako ilikua anakukera sana!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom