Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Na utakuta hao wanaopiga zogo wengi washazalisha huko nje ila hapa wanajifanya hao wanawake hawawafai.Hajielew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na utakuta hao wanaopiga zogo wengi washazalisha huko nje ila hapa wanajifanya hao wanawake hawawafai.Hajielew
Mara paaap baba wa mtoto kapiga simu "mama swalehe tukutane Kilimanjaro hotel tujadili swala la mtoto kuhusu shule"
Sitaki huu upuuzi mimi
Siku zote kitanda hakizai haramu na daima mtoto hana makosa,na mwanamke hapend kulea mtoto mwenyew ila ikibidi analeaNa utakuta hao wanaopiga zogo wengi washazalisha huko nje ila hapa wanajifanya hao wanawake hawawafai.
Na utakuta hao wanaopiga zogo wengi washazalisha huko nje ila hapa wanajifanya hao wanawake hawawafai.
Wamezalisha bila kuoa na hapo wana tunza watoto wa dada zao ambaoa hata baba zao hawajulikaniNa utakuta hao wanaopiga zogo wengi washazalisha huko nje ila hapa wanajifanya hao wanawake hawawafai.
Wanasemaga mimba n ya BahatIla jamani kufika miaka kama 15 ujayo
Tanzania itakuwa ni kizazi cha ma baba wa kambo na mama wa kambo. This is not good for our nation jamaani.
Wabongo punguzine mchezo huu, tumieni kinga basi, wengine tumetulia kuwa mababa wa kambo mtakuwa mnatuonea. Kuna kina dada wametulia kuwa mama wa kambo mna waonea.
Kina dada pia muwe makini usizae na mtu asiye na mpango na wewe. Wale walio fiwa sina tatzo nao.
Siku zote kitanda hakizai haramu na daima mtoto hana makosa,na mwanamke hapend kulea mtoto mwenyew ila ikibidi analea
HahahahaWanasemaga mimba n ya Bahat
Mbaya Sasa nashindwa kuelewa
Kwan wanalazimishwa pupanua
Miguu wakt huo wanajua kabsa
Wako kwenye sku za hatar
Wamezalisha bila kuoa na hapo wana tunza watoto wa dada zao ambaoa hata baba zao hawajulikani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yuzdii tamu balaa...Mwambie kitamu hakionjwi
Halafu wanao ongea saana ni watoto wa mama yawezekana hata baba zao hawajawahi waona
Hahahaha sasa hzo pressure si kujitakia kifo mapemaHahaha unaweza banwa na mkojo ghafla mkuu ni kama dharau Fulani hivi na mwanamke anamuita dogo aje kumsalimia BABA
Tena kichwa cha chini kikichukia anakwambia nivae kinga ya nini kwani huniaminiWanasemaga mimba n ya Bahat
Mbaya Sasa nashindwa kuelewa
Kwan wanalazimishwa pupanua
Miguu wakt huo wanajua kabsa
Wako kwenye sku za hatar
Hii kwang haiwezekan kabsa
Mabinti n wengi ambao hawajazaa
Ya nn kwenda kujitesa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yuzdii tamu balaa...
Yan UIe wakat ndo wazungu wanatokaHahahaha
Hii kitu si kweli
Kuna sehemu makosa ya ki ufundi yanafanyika ndio inatokea hiyo