Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Mara paaap baba wa mtoto kapiga simu "mama swalehe tukutane Kilimanjaro hotel tujadili swala la mtoto kuhusu shule"

Sitaki huu upuuzi mimi

Hahaha unaweza banwa na mkojo ghafla mkuu ni kama dharau Fulani hivi na mwanamke anamuita dogo aje kumsalimia BABA
 
Ila jamani kufika miaka kama 15 ujayo
Tanzania itakuwa ni kizazi cha ma baba wa kambo na mama wa kambo. This is not good for our nation jamaani.
Wabongo punguzine mchezo huu, tumieni kinga basi, wengine tumetulia kuwa mababa wa kambo mtakuwa mnatuonea. Kuna kina dada wametulia kuwa mama wa kambo mna waonea.
Kina dada pia muwe makini usizae na mtu asiye na mpango na wewe. Wale walio fiwa sina tatzo nao.
Wanasemaga mimba n ya Bahat
Mbaya Sasa nashindwa kuelewa


Kwan wanalazimishwa pupanua
Miguu wakt huo wanajua kabsa
Wako kwenye sku za hatar
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yuzdii tamu balaa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee nongwa nakuona
 
Hahahaha
Hii kitu si kweli
Kuna sehemu makosa ya ki ufundi yanafanyika ndio inatokea hiyo
Yan UIe wakat ndo wazungu wanatoka
Sasa uanze kung'ang'ana kutoa nje

Benafs swez hili maana stim
Yote inakata

Raha ya kale kamchezo bhana
Uunganishe wazungu double double
 
Back
Top Bottom