Dezoizo52
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 528
- 1,070
Niliwahi ambiwa kuwa mwanamke akiwa na mtoto ni pasua kichwa nikakaidi nikaoa ndoa yetu ilikuwa na misukosuko tukipanga kitu tufanye pamoja ananiambia naenda muandalia maisha mwanangu mara ya mwisho alisepa zake.Usioe mwanamke mwenye mtoto utakuja kujuta