Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
Sawa lakini, hii ishu imekuwa kubwa sku hizi at least kasi ipungueMuwapende anko tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa lakini, hii ishu imekuwa kubwa sku hizi at least kasi ipungueMuwapende anko tu
Kunawanawake wanajua kusimamia maamuz yao bhana na hayumbishwi na mtuHiyo ni kwa muda tu ila huwez kutowasiliana nae milele
wananikera na hizi nyuzi zao utadhani hizo mimba huwa tunazitengeneza wenyewe! badala hata kutupongeza kwa uvumilivu wa kulea peke yetu wanalazimisha watu kupta dhambi ya mauwaji kwa kuogopa society itamjudge vipiHahahahahahahaha mamamayooo
Tufungue basi foundation ya kuelimisha watoto wa kikeSawa lakini, hii ishu imekuwa kubwa sku hizi at least kasi ipungue
nna mpango wa kumpeleka kwa mkuu wa mkoaIla matumiz Kwa mtt anatoa
Kuna mmoja huyo katulia tatizo ni kwamba kaanza kuniamishia majukumu ya malez ya mwanae hata kabla hatuja date. Alaf yeye ndie anaefukuzia, ni ile ukarib tu lakin anataka ninunue viatu vya mtoto. Wtf manKweli braza mimi nimetulia sana yaan halaf nakutana na mwanamke tunaenda kila kitu ila ana mtoto. Ina add budern.
Halaf wenyewe wanachukuliaga simple et kama ume mpenda hutajali mtoto,ni kazi sana hii.
Sasa wale tulo tulia ndio tunaumia [emoji1]
Si single mothers wote ni wabaya. Yes wapo walioruka ruka ndio aamefika hapo walipo. Wengine si kwamba walikuwa wahun.. ila tu mazingira yalibadilika. So ni kuangalia na mtu mwenywe yukoje.
Kuwa na mtoto si kwamba ni mbaya.
lazima iwe kubwa wanaume hamtaki majukumu yenu na kizazi hiki bahati mbaya hatujajaaliwa uvumilivu kama bibi zetu mi kuliko kulea toto kubwa ni bora nikukimbize nilee watoto wangu bila bugudhaSawa lakini, hii ishu imekuwa kubwa sku hizi at least kasi ipungue
Kuna mmoja huyo katulia tatizo ni kwamba kaanza kuniamishia majukumu ya malez ya mwanae hata kabla hatuja date. Alaf yeye ndie anaefukuzia, ni ile ukarib tu lakin anataka ninunue viatu vya mtoto. Wtf man
Hzo znatakaga uwe na Yule wakoNdiyo maana yake
lazima iwe kubwa wanaume hamtaki majukumu yenu na kizazi hiki bahati mbaya hatujajaaliwa uvumilivu kama bibi zetu mi kuliko kulea toto kubwa ni bora nikukimbize nilee watoto wangu bila bugudha
Heeee huyu ndo kat ya walenna mpango wa kumpeleka kwa mkuu wa mkoa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna mmoja huyo katulia tatizo ni kwamba kaanza kuniamishia majukumu ya malez ya mwanae hata kabla hatuja date. Alaf yeye ndie anaefukuzia, ni ile ukarib tu lakin anataka ninunue viatu vya mtoto. Wtf man
Aiseee hii iskie tu Kwa jiranhahaha komaa hapo mkianza date anaongea na baba mtoto mbele yako .
Wavulana wa jf wanajipambambanua na kujiona wasafi
Wanaume wamejikalia kimyaa
Aiseee hii iskie tu Kwa jiran
Nliipitia 2015 aiseee
Na ndo maana nasema ntakaa
bila mke kuliko kuoa aliezaa
Mie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.
Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.
Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
Watu wanapenda ofa hata haulizi nikufakamia tuHzo znatakaga uwe na Yule wako
Wa sku zote
Usiseme hivyo jamani mbona wapo tu wazuri mbona?Aiseee hii iskie tu Kwa jiran
Nliipitia 2015 aiseee
Na ndo maana nasema ntakaa
bila mke kuliko kuoa aliezaa