Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Mie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.

Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.

Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
Wala huhitaji kumtuma THE BADDEST akatafakari upya, yeye hataki wanawake wa aina hiyo, basi. Wanaume wengi hawataki wanawake wa aina hiyo, hasa kama ni ndoa ya kwanza. Wanaotaka kuoa wa hivyo sawa, hilo ni juu yao, watajua wenyewe watakapokutana na changamoto zake. Maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga.
 
akiwa dadako hutapenda apate mwenza?
Maisha ya kimapenzi ya dadako unafuatilia ya nini akipata sawa asipopata pia sawa kwani lazima si atulie tu alee mtoto wake .kama alizalishwa na mjomba akakimbia basi kashapata mume itahesabika tu kuwa mume wake kakimbia majukumu.
 
Hahahaaaa. Jamani wanaume nyie ni waoga sana yaani kila mnachoandika ndani mnaogopa kwamba watakumbushia, sijui kupasha viporo mmh.

Kiukweli kabda mkiamua kuwa na familia muwe na wanawake ambao hawajaguswa kabisa ila hawa ambao tayari walikuwa na watu wao nyuma wanaweza kukumbushia pia. Lol
Na tuombe kweli kweli kuwapata hao mabikra maana ni adimu sana
 
Nonsense kabisa

Unayeoa hana mtoto jua:

1. Alishatoa mimba;

2. Na hivyo ashaua watoto kibao kupitia abortion. Hivyo unaoa criminal(mhalifu)

3. Haimaanishi kuwa ambaye hana mtoto yupo sealed. No! Ashakwanyuliwa.

Afadhari aliyezaa utajua anawatoto wangapi.

Ambaye hana lakini unakuta matiti yashakuwa madaso, mahala penyewe napo mpaka pashakuwa na masikio fulani ( nyama zinazoning'inia), yaani afadhari nioe mwenye mtoto.
Haohao waliozaa wapo waliotoa mimba nyingi tu. Baada ya kuzaa mtoto wa kwanza eti ndio akapata funzo, mimba zote zilizofuata ni abortion tu.
Kwa hiyo kipi bora:
  1. Uoe aliyezaa akafatisha abortions kibao
  2. Uoe mwenye abortions kibao lakini hajazaa
 
Daaaah!! Ilo nalo neno ila imani ya kuibiwa ata Mali wakaanza kuwekeza kisili sili ni kubwa sana na akiona umeishiwa atasepa wakaanze maisha na huyo jamaa ni kubwa sana!!, Imani nao mie binafsi haipo kabisa!!
haaaaaa kuna jamaa yangu mmoja aliwahi pata msichana mwenye miaka 22's ana mtoto mdogo sana ananyonyesha jamaa kamsaidia kwa sababu aliyezaa naye kamkataa,sasa jamaa yangu akawa anakaa na yule msichana chumba kimoja lakini alikuwa apigi mambo kwa sababu alikuwa ana mtoto mdogo sana anaogopa kubemenda(as he said),basi siku jamaa yuko mishemishe yule dada akatafuta gari akachukua vyombo vyote anarudi anakuta chumba cheupeeee!!kuanza kumtafuta wakaja kumkamata yule dada kumbe wamerudiana na mshikaji aliyemzalisha..
 
kuna mzee mmoja mtaani aliniambia ukioa mwanamke mwenye mtoto,umeoa mke wa mtu!!aiseee nikamuangalia yule mzee....
Yuko sahihi 100%. Mwanaume anaweza kumtunzia mwanaye hapohapo nyumbani kwako, mkeo anatumiwa hela za matumizi ya mtoto. Na tena siku hizi kuna M-pesa ndiyo kabisaaaa!
Mtoto akikua akaanza shule babake anamtembelea shuleni kutunza 'bond'.
Akikua zaidi akafikia kuoa au kuolewa ndipo utaelewa uligeuzwa 'fala' kiasi gani, babamtu atakapokalishwa high table na mkeo! Halafu wanaambiwa walishane keki (ma MC wote si unajua mambo yao ni copy and paste?)
 
Yuko sahihi 100%. Mwanaume anaweza kumtunzia mwanaye hapohapo nyumbani kwako, mkeo anatumiwa hela za matumizi ya mtoto. Na tena siku hizi kuna M-pesa ndiyo kabisaaaa!
Mtoto akikua akaanza shule babake anamtembelea shuleni kutunza 'bond'.
Akikua zaidi akafikia kuoa au kuolewa ndipo utaelewa uligeuzwa 'fala' kiasi gani, babamtu atakapokalishwa high table na mkeo! Halafu wanaambiwa walishane keki (ma MC wote si unajua mambo yao ni copy and paste?)
duh hiyo mbaya sana hiyo...
 
kwahiyo vijana walio oa single mother wafanyeje sasa?
 
Nonsense kabisa

Unayeoa hana mtoto jua:

1. Alishatoa mimba;

2. Na hivyo ashaua watoto kibao kupitia abortion. Hivyo unaoa criminal(mhalifu)

3. Haimaanishi kuwa ambaye hana mtoto yupo sealed. No! Ashakwanyuliwa.

Afadhari aliyezaa utajua anawatoto wangapi.

Ambaye hana lakini unakuta matiti yashakuwa madaso, mahala penyewe napo mpaka pashakuwa na masikio fulani ( nyama zinazoning'inia), yaani afadhari nioe mwenye mtoto.
Aya ya mwisho uloandika wanadai ni maumbile tu
 
Kilichoumbwa na Mungu ni kuzaa hizo ndoa zako wewe kaa nazo mwenyewe.Mradi agizo la Mungu linaendelea kama kawaida.Agizo ni "nendeni mkazaane" nasio mkaoane.Kwaiyo wewe endelea kukariri.
 
Tunasahau ni mara ngapi tumewakung'uta wake za watu, tena kwa kuanza nao mahusiano wakiwa ndoani humo humo
Hapo sasa tena unauliza kwani wasio olewa si wapo wengi kwanini mke wa mtu eti mapenzi hayachagui
 
haaaaaa kuna jamaa yangu mmoja aliwahi pata msichana mwenye miaka 22's ana mtoto mdogo sana ananyonyesha jamaa kamsaidia kwa sababu aliyezaa naye kamkataa,sasa jamaa yangu akawa anakaa na yule msichana chumba kimoja lakini alikuwa apigi mambo kwa sababu alikuwa ana mtoto mdogo sana anaogopa kubemenda(as he said),basi siku jamaa yuko mishemishe yule dada akatafuta gari akachukua vyombo vyote anarudi anakuta chumba cheupeeee!!kuanza kumtafuta wakaja kumkamata yule dada kumbe wamerudiana na mshikaji aliyemzalisha..
Hahahaaa hiyo kali ya mwaka mjomba kimyaa[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Back
Top Bottom