Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
OK tumekusikia mkuu swala lako tutalifanyia kazi....nakumbuka kipindi ninamimba nilifungua Uzi fulani humu unawa sema single mother niliumia sana nililia karibu siku mzima nilikua naogopa kuondoka kwa X wangu kutokana na manyanyaso aliyokua akinipa nikiwaza naenda kua single mother ambapo kila siku nitakua nanyoshewa kidole niliamua acha nifie kwa huyuhuyu alienipa mimba ilipofikia siku analeta mwanamke chumba kingine maumivu yalizidi wakati huo ninamimba ya miez saba nakumbuka nilinunua variam 20 ninywe nife bahati mbaya mwanaume sijui alitoka wapi aakawa ameziona any way story ndefu mpaka sasa nikiona uzi wa hivi naumia sana namwambia Mungu kwann mimi kwann uliruhusu hali hii kwangu haya matusi mpaka lini kweli sikupanga maisha ya single mother... Mungu tu anitie nguvu niweze kuzoea haya masimango....Asante mtoa mada Mungu akuepushe na hiki kikombe katika uzao wako wote maana hata wazazi hakuna anaependa mtoto wake azalie nyumbani
Usimsingisie Mungu kabisa, Mungu alikupa utashi na akili wewe ndiye uliyeamua Kuwa single mother
 
Single Maza tena ........

Sijui hii league itaisha lini?

Kiuhalisia Single Maza hana shida yoyote, isipokua mtoto/watoto wake ndo wanaweza wakaleta shida kubwa sana

Wewe mwanaume ukishindwa kuendana na matakwa ya mtoto wake, mtoto huyo ataanza kuleta figisu kwa Mama yake na Mama kama mlinzi mkubwa wa mtoto kuliko Mume ataanza kujihami mapema.

Kifuatacho ni kale kawimbo ka UEFA CHAMPIONS LEAGUE!!!!!!!!!
Hapo kwenye kawimbo ka uefa umeniacha
 
Alikuja kurudi badae yule mwanamke aliekua nae kazaa nae na wameachana....magu kamnyoosha anataka tuunganishe nguvu maisha kama hayaelewi vile akakuta tayar ninamchumba mwingine
Halafu ukamkubalia, akuzalishe mara ya pili afu akuache uje kulia lia hapa
 
OK tumekusikia mkuu swala lako tutalifanyia kazi....nakumbuka kipindi ninamimba nilifungua Uzi fulani humu unawa sema single mother niliumia sana nililia karibu siku mzima nilikua naogopa kuondoka kwa X wangu kutokana na manyanyaso aliyokua akinipa nikiwaza naenda kua single mother ambapo kila siku nitakua nanyoshewa kidole niliamua acha nifie kwa huyuhuyu alienipa mimba ilipofikia siku analeta mwanamke chumba kingine maumivu yalizidi wakati huo ninamimba ya miez saba nakumbuka nilinunua variam 20 ninywe nife bahati mbaya mwanaume sijui alitoka wapi aakawa ameziona any way story ndefu mpaka sasa nikiona uzi wa hivi naumia sana namwambia Mungu kwann mimi kwann uliruhusu hali hii kwangu haya matusi mpaka lini kweli sikupanga maisha ya single mother... Mungu tu anitie nguvu niweze kuzoea haya masimango....Asante mtoa mada Mungu akuepushe na hiki kikombe katika uzao wako wote maana hata wazazi hakuna anaependa mtoto wake azalie nyumbani
I feel ur pain
 
kua na single mother ni ishara kua mwanamke ulie nae yupo na fertility kwahyo kazi kwako...siku hizi watu wanaona tu bila kujua fertility status zao kwa malengo ya kuzaa baada ya ndoa kumbe mtu yupo na sterility alishatoa mimba hata 100 bahati mbaya akatoa na kizazi
Labda nikupe njia moja kama upo na inlove na single mother ambae ana watoto 2 au 1 wewe jitahid uzae nae watoto zaid ya uliomkuta nae,,yan kama alikua na watoto 2 wewe ongeza 3 wawe 5 au hata 4 wawe 6 haraka haraka..hiii itasadia hata aliezaa nae hapo aone kua kashatumika so hata habar za kufuatana futana zitapungua
Lakin pia usiogope kuona kisa utasalitiwa hayo yapo tu hata usioe single mother au bikra hayo yapo tu,,,oa kwa upendo na kutokana na objectives zako ulizojiwekea katika maisha..
 
Haya mambo ndo yanapelekea Dada zetu kutoa mimba kwa wingi kwakua kila mwanaume sahizi anasema yeye hataki single mother
 
ahahahah Mkuu Duke Tachez unatuliaaaa jf unakuwa huonekani mkuu, ukiibuka unaweka bandiko linalokera kisha unatokomea!!! aisee Salute mkuuu
 
OK tumekusikia mkuu swala lako tutalifanyia kazi....nakumbuka kipindi ninamimba nilifungua Uzi fulani humu unawa sema single mother niliumia sana nililia karibu siku mzima nilikua naogopa kuondoka kwa X wangu kutokana na manyanyaso aliyokua akinipa nikiwaza naenda kua single mother ambapo kila siku nitakua nanyoshewa kidole niliamua acha nifie kwa huyuhuyu alienipa mimba ilipofikia siku analeta mwanamke chumba kingine maumivu yalizidi wakati huo ninamimba ya miez saba nakumbuka nilinunua variam 20 ninywe nife bahati mbaya mwanaume sijui alitoka wapi aakawa ameziona any way story ndefu mpaka sasa nikiona uzi wa hivi naumia sana namwambia Mungu kwann mimi kwann uliruhusu hali hii kwangu haya matusi mpaka lini kweli sikupanga maisha ya single mother... Mungu tu anitie nguvu niweze kuzoea haya masimango....Asante mtoa mada Mungu akuepushe na hiki kikombe katika uzao wako wote maana hata wazazi hakuna anaependa mtoto wake azalie nyumbani
Pole mamii
Sio kila kitu ni cha kufatilia humu vingine jaribu kupuuzia tuu japo vinaumiza.

Tazama kwa kina kauli zake hupaswi kumjibu ni kumuombea tuu.

Binadamu tupo tofauti sana tunapaswa tuwe na hofu ya Mungu jamani.

Muogope sana mtu anayefurahia magumu au mabaya ya mtu mwingine, sote ni waja wake Mola hakuna aijuaye kesho yake. Tuishi kwa imani tuu.
 
Uislam dini sahihi sana,waislam wenye kuijua dini hawatakagi upuuzi huu wa kuzaa nje ya ndoa.narudia wenye kuijua dini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Allah Akbar
 
Pole mamii
Sio kila kitu ni cha kufatilia humu vingine jaribu kupuuzia tuu japo vinaumiza.

Tazama kwa kina kauli zake hupaswi kumjibu ni kumuombea tuu.

Binadamu tupo tofauti sana tunapaswa tuwe na hofu ya Mungu jamani.

Muogope sana mtu anayefurahia magumu au mabaya ya mtu mwingine, sote ni waja wake Mola hakuna aijuaye kesho yake. Tuishi kwa imani tuu.
Sijafurahia hali ya single mothers ndo maana nikasema wajifunze na wajirekebishe wasirudie makosa nilichokifanya ni kwamba nimeeleza msimamo wangu kwamba siwezi kuoa single mother
 
ahahahah Mkuu Duke Tachez unatuliaaaa jf unakuwa huonekani mkuu, ukiibuka unaweka bandiko linalokera kisha unatokomea!!! aisee Salute mkuuu
Hahaaaa hamna [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hawa dada zetu wakikosea tunawaambia ukweli
 
kua na single mother ni ishara kua mwanamke ulie nae yupo na fertility kwahyo kazi kwako...siku hizi watu wanaona tu bila kujua fertility status zao kwa malengo ya kuzaa baada ya ndoa kumbe mtu yupo na sterility alishatoa mimba hata 100 bahati mbaya akatoa na kizazi
Labda nikupe njia moja kama upo na inlove na single mother ambae ana watoto 2 au 1 wewe jitahid uzae nae watoto zaid ya uliomkuta nae,,yan kama alikua na watoto 2 wewe ongeza 3 wawe 5 au hata 4 wawe 6 haraka haraka..hiii itasadia hata aliezaa nae hapo aone kua kashatumika so hata habar za kufuatana futana zitapungua
Lakin pia usiogope kuona kisa utasalitiwa hayo yapo tu hata usioe single mother au bikra hayo yapo tu,,,oa kwa upendo na kutokana na objectives zako ulizojiwekea katika maisha..
Umzalishe watoto sita na yule alietelekezwa anakuwa wa saba unaweza ukamuua mtoto wa watu, bora bikra kuliko single mother
 
Back
Top Bottom