Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Msipende kutulaumu, wewe umepewa mimba huko then mimi nije nikuoe,kuoa mwanamke aliyezaa ni sawa tu na kuoa mke wa mtu mwisho wa siku niitwe baba wa kambo au nina roho mbaya, hamjitunzi mnafanya umalaya huko, unakuta mwanamke ametumika, amechakaaa weee amezaa na kuzaa afu duke nimuoe,bora tu nisioe kuliko kuoa single mother, hivi nyie mnaooa single mothers hamjisikii kinyaa,
Kuna ki single mother kinansumbua kweli eti nikioe labda sio mimi duke


Mapovu ruksa
Hahahaaa wamekusikia wenyewe
 
Single mother wengi ni malaya tu.
Wengi waliwakataa wanaowapenda na kufuata au kujipendekeza kwa wanaume wenye mali nyingi.
Wakizaaa na kulea watoto wao wakiwa peke yao single mother malaya na maneno kibao,wakitoa mimba ili waendlee kula maisha hajawahi zaa huyu ndio anafaa kumbe n muuwaji mzuri.

Uwe unatafakari yaweza ikawa una ndugu wa kike,either dada na wengije na mambo kma hayo hutokea tu katika maisha na hakuna anaeomba kuwa single mother ila kuna situation ambazo zinawaforce wao kuwa katika hali waliyo nayo kwa sasa,kulikoni mtu akae katika ndoa yenye kumepeleka katika kifo n bora abakie yeye na maisha ya na watoto wake.

Natamani sana kuujua mwisho wako nione utaoa mke wa design gani,na si ajabu mungu akakupiga kibao huyo unaemtaka ambae sio single mother akaja kukuletea kizingumkuti hadi ukahis kaburi hili hapo na ukatamani hata ungemuoa yule single mother ulie mkataa.

Think twice kabla hujatenda.
 
Msipende kutulaumu, wewe umepewa mimba huko then mimi nije nikuoe,kuoa mwanamke aliyezaa ni sawa tu na kuoa mke wa mtu mwisho wa siku niitwe baba wa kambo au nina roho mbaya, hamjitunzi mnafanya umalaya huko, unakuta mwanamke ametumika, amechakaaa weee amezaa na kuzaa afu duke nimuoe,bora tu nisioe kuliko kuoa single mother, hivi nyie mnaooa single mothers hamjisikii kinyaa,
Kuna ki single mother kinansumbua kweli eti nikioe labda sio mimi duke


Mapovu ruksa
Watch your tongue, usimtukane mamba hujavuka mto
 
Msipende kutulaumu, wewe umepewa mimba huko then mimi nije nikuoe,kuoa mwanamke aliyezaa ni sawa tu na kuoa mke wa mtu mwisho wa siku niitwe baba wa kambo au nina roho mbaya, hamjitunzi mnafanya umalaya huko, unakuta mwanamke ametumika, amechakaaa weee amezaa na kuzaa afu duke nimuoe,bora tu nisioe kuliko kuoa single mother, hivi nyie mnaooa single mothers hamjisikii kinyaa,
Kuna ki single mother kinansumbua kweli eti nikioe labda sio mimi duke


Mapovu ruksa
Siku ukikua mtazamo wako utabadilika.
 
Kulelewa na single
mother haimaanishi kwamba ndo
uoe single mother, eti tu kwasababu mama yako na dada zako ni single mothers, wewe wa wapi wewe
kila mtu ana vipaumbele
Kama kila mtu anavipaumbele vyake,kwanini wewe unalazimishia vipaumbele vyako kwa watu wengine?
 
Muda mwingine kuwaonea Huruma hawa single mothers ni sawa na kuendekeza ujinga.

Kuna binti mimi na mfahamu alizalishwa na kijana wa kiarabu eti kwa sababu tu alitaka kuzaa katoto kazuri keupe alafu huyo kijana kiarabu hana habari na yeye kabisa alishooa na kuoa mwarabu mwenzie.

Na pia kuna mwingine alipewa mimba na mme wa jirani yake akashindwa hata kuendelea na shule na sasa hivi anawachukia wanaume kweli eti wamekatisha ndoto zake.

Sasa watu kama hawa ukisema eti tuwaonee huruma mimi nitakuona wewe ni mwendowazimu tu. Acha wapambane na hali zao
 
Muda mwingine kuwaonea Huruma hawa single mothers ni sawa na kuendekeza ujinga.

Kuna binti mimi na mfahamu alizalishwa na kijana wa kiarabu eti kwa sababu tu alitaka kuzaa katoto kazuri keupe alafu huyo kijana kiarabu hana habari na yeye kabisa alishooa na kuoa mwarabu mwenzie.

Na pia kuna mwingine alipewa mimba na mme wa jirani yake akashindwa hata kuendelea na shule na sasa hivi anawachukia wanaume kweli eti wamekatisha ndoto zake.

Sasa watu kama hawa ukisema eti tuwaonee huruma mimi nitakuona wewe ni mwendowazimu tu. Acha wapambane na hali zao
Hahaaaaa!!!! Hako kabinti kalikozaa na mwarabu kako wapi maana hata mimi kuna kabinti nakafahamu kamecheza mchezo huo huo kasije kakawa ndo hako
 
Back
Top Bottom