Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
Dua la kukuUtayakuta hayo katika familia zako,sjui utafurahia kuona Dada zako wanazeekea nyumban,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dua la kukuUtayakuta hayo katika familia zako,sjui utafurahia kuona Dada zako wanazeekea nyumban,
Kapo kwao Bunda huko mkoani mara, kanaishi kwao tu na mtoto wake jamaa yule mwarabu koko aliyekazalisha hata hana mpango nae wala mtoto. Na hao ndio aina ya single mothers wasioisha kutafuta huruma.Hahaaaaa!!!! Hako kabinti kalikozaa na mwarabu kako wapi maana hata mimi kuna kabinti nakafahamu kamecheza mchezo huo huo kasije kakawa ndo hako
Hamna namna wapambane na hali zaoKapo kwao Bunda huko mkoani mara, kanaishi kwao tu na mtoto wake jamaa yule mwarabu koko aliyekazalisha hata hana mpango nae wala mtoto. Na hao ndio aina ya single mothers wasioisha kutafuta huruma.
Usiache kumla....Mimi nalea mtoto wa kike wa mchepuko wangu tangu ana miaka 3 nimemsomesha tangu std 1 mpaka f4 na amemaliza diploma ualimu maths and scie
Hapana aisee Naomba nauliza kwani mimi kusema kwamba siwezi kuoa single mother hiyo ni dhambi???KAMA UKOO WENU WOTE NI MANGOSHA BASI HAUTAPATWA NA HILI JAMBO UNALOLIKASHFU ILA KUMBUKA KITU KIMOJA BWANA MDOGO MAMA YAKO MPAKA ANAKULETA WEWE DUNIANI UNADHANI HAKUWAHI KUCHAPWA NA KUZAA NJE NDANI? ?
TENA MIMI NAHISI KABISA KWA MANENO YAKO YA NAMNA HIYO , NINA UHAKIKA UMEKOSA MALEZI YA BABA AU MAMA AU WOTE KWA PAMOJA.
SijakataaPambana na hali yako, chunga sana maneno yako, Single Mother nao ni binadamu kama wewe.
Katafute mpya kama hutaki mtumba. Ila miaka 30 jela itakuwa inakutafuta na weweNinunue nguo mtumba
Viatu mtumba
Gari mtumba
Na mke pia nioe mtumba.
Kwani nimemkosea nini mungu?
Unafuata utaratibu anaweza akaolewa hata akiwa na miaka 14Katafute mpya kama hutaki mtumba. Ila miaka 30 jela itakuwa inakutafuta na wewe
[emoji121]Sio mbaya kuwa nao, ila ili kuwatengenesha kabisa na baba Mtoto wake Jitahidi ufanye hili..
Marufuku mkeo kuongea na baba mtoto wake, mnunulie simu house girl baba mtoto akitaka kujua hali ya mtoto wake ampigie house girl, hiyo inaenda sambamba na akitaka kumuona mtoto wake wewe isikuletwe usumbufu wowote, house girl ampeleke huyo mtoto kwa baba yake, kama ni stend sjui guest au hotel aende house girl.
Ni Marufuku mkeo kukutana na baba wa mtoto kwasababu yoyote ile..
Ukiona hataki hilo.. PIGA CHINI OA ASIYEZAA, MUANZE WOTE 0-0
Otherwise utachapiwa tu.