Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Sio mbaya kuwa nao, ila ili kuwatengenesha kabisa na baba Mtoto wake Jitahidi ufanye hili..

Marufuku mkeo kuongea na baba mtoto wake, mnunulie simu house girl baba mtoto akitaka kujua hali ya mtoto wake ampigie house girl, hiyo inaenda sambamba na akitaka kumuona mtoto wake wewe isikuletwe usumbufu wowote, house girl ampeleke huyo mtoto kwa baba yake, kama ni stend sjui guest au hotel aende house girl.

Ni Marufuku mkeo kukutana na baba wa mtoto kwasababu yoyote ile..

Ukiona hataki hilo.. PIGA CHINI OA ASIYEZAA, MUANZE WOTE 0-0


Otherwise utachapiwa tu.
hihi hii kazi ngumu sana!

ambao hawana watoto si wapo jamani? au umepigwa juju?
 
Sio mbaya kuwa nao, ila ili kuwatengenesha kabisa na baba Mtoto wake Jitahidi ufanye hili..

Marufuku mkeo kuongea na baba mtoto wake, mnunulie simu house girl baba mtoto akitaka kujua hali ya mtoto wake ampigie house girl, hiyo inaenda sambamba na akitaka kumuona mtoto wake wewe isikuletwe usumbufu wowote, house girl ampeleke huyo mtoto kwa baba yake, kama ni stend sjui guest au hotel aende house girl.

Ni Marufuku mkeo kukutana na baba wa mtoto kwasababu yoyote ile..

Ukiona hataki hilo.. PIGA CHINI OA ASIYEZAA, MUANZE WOTE 0-0


Otherwise utachapiwa tu.
Jsma hauna house girl
 
😁😁 mkuu sasa mechi imeanza mwenzio aggregate inasoma 2-0 unawezaje kutenganisha hapo ukaribu wa watu walio zaa pamoja ningumu sana kutenganisha....watapasha tu kiporo kama sababu za kutokuwa pamoja haszikuwa na migogoro sana
 
Sio mbaya kuwa nao, ila ili kuwatengenesha kabisa na baba Mtoto wake Jitahidi ufanye hili..

Marufuku mkeo kuongea na baba mtoto wake, mnunulie simu house girl baba mtoto akitaka kujua hali ya mtoto wake ampigie house girl, hiyo inaenda sambamba na akitaka kumuona mtoto wake wewe isikuletwe usumbufu wowote, house girl ampeleke huyo mtoto kwa baba yake, kama ni stend sjui guest au hotel aende house girl.

Ni Marufuku mkeo kukutana na baba wa mtoto kwasababu yoyote ile..

Ukiona hataki hilo.. PIGA CHINI OA ASIYEZAA, MUANZE WOTE 0-0


Otherwise utachapiwa tu.
kwa sababu hii siwez oa single mother labda kma mwenzake kafariki.
 
Umeongea ukweli mtupuuu, hujaacha hata chembe. Leo nmeshuhudia picha za mahaba za mke wa mtu akimtumia baba mtoto wake kadai kammic sana, nikawaza sana hivi mumewe analijua hili. Nikaingia huruma tu
Ndio maana mie ntaoa "silidi wumani" kama miss powers tuanze wote 0-0[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom