syllae
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,793
- 1,919
Tolea umu umu alaf jamaa atapeleka kule,ata ucjalNaomba nitag nikatoe povu langu huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tolea umu umu alaf jamaa atapeleka kule,ata ucjalNaomba nitag nikatoe povu langu huko.
bado wadogo mkikuwa mtaacha!Sio mbaya kuwa nao, ila ili kuwatengenesha kabisa na baba Mtoto wake Jitahidi ufanye hili..
Marufuku mkeo kuongea na baba mtoto wake, mnunulie simu house girl baba mtoto akitaka kujua hali ya mtoto wake ampigie house girl, hiyo inaenda sambamba na akitaka kumuona mtoto wake wewe isikuletwe usumbufu wowote, house girl ampeleke huyo mtoto kwa baba yake, kama ni stend sjui guest au hotel aende house girl.
Ni Marufuku mkeo kukutana na baba wa mtoto kwasababu yoyote ile..
Ukiona hataki hilo.. PIGA CHINI OA ASIYEZAA, MUANZE WOTE 0-0
Otherwise utachapiwa tu.
Shida zote za nn wanawake ambao hawajazaa wapo wengi tuuSio mbaya kuwa nao, ila ili kuwatengenesha kabisa na baba Mtoto wake Jitahidi ufanye hili..
Marufuku mkeo kuongea na baba mtoto wake, mnunulie simu house girl baba mtoto akitaka kujua hali ya mtoto wake ampigie house girl, hiyo inaenda sambamba na akitaka kumuona mtoto wake wewe isikuletwe usumbufu wowote, house girl ampeleke huyo mtoto kwa baba yake, kama ni stend sjui guest au hotel aende house girl.
Ni Marufuku mkeo kukutana na baba wa mtoto kwasababu yoyote ile..
Ukiona hataki hilo.. PIGA CHINI OA ASIYEZAA, MUANZE WOTE 0-0
Otherwise utachapiwa tu.
Kwan ww umeolewa?Tulioolewa na single father tunacomment wapi?
Sasa yy anaanza 2-0 kuna kushinda hapo??Mechi inatakiwa ianze 0-0
Hawana namna, maana hawana soko hivyo lazima wajikombe kombe.Wanajua thamani ya mwanaume
Suala la kutoa mimba kwa single mother ndiyo balaa. Yaweza kuwa katoa mimba 10, ya 11 ikashindikana ndiyo akaamua kuzaa.kuna walio toa mimba
Hii ni tabia ya mtu. Tabia ni kama ngozi, haibadilishwi na kuzaa.sio hivi vinuka mkojo ambavyo havijazaa usipokuwa hewani ukiwasha simu utakutana na sms poa tu umezima simu kisa wanawake zako umaraya utakuua na utakufa na ukimwi..
Mkuu siku hizi mchina hashindwi kitu, hata ukitaka bikra anakuwekea. Huo mnato ni fake.Japo amezaa ila engine yake ipo vzuri kitu bado mnato
Hawana namna, maana hawana soko hivyo lazima wajikombe kombe.
Suala la kutoa mimba kwa single mother ndiyo balaa. Yaweza kuwa katoa mimba 10, ya 11 ikashindikana ndiyo akaamua kuzaa.
Hii ni tabia ya mtu. Tabia ni kama ngozi, haibadilishwi na kuzaa.
Mkuu siku hizi mchina hashindwi kitu, hata ukitaka bikra anakuwekea. Huo mnato ni fake.
huyu sidhani kama atakujapata hamu ya kuwa na single maza tena! zari anewawakilisha single maza woteCc Diamond Platinum lol
pole sana mkuu kwa kuwa kipofu mbele ya single mazaWakwangu soko analo kwanza akipita sehemu huwezi kuamini kama amezaa,sura baby face,shape ipo tena sio ya kubabaisha sio bonge wala sio kimbaumbau,elimu anayo pesa anayo unataka awe na soko gani????kichwani yupo smart book smart na street smart.. Aaww huyu mwanamke ni mzuri jamani.
Mimba alipata akiwa form two hizo mimba 10 alizitolea wapi mkuu????
Kwa idadi ya wanawake niliowavua chupi siwezi kushindwa kutofautisha k og na fake..
Navyosema ya kwake bado mnato namaanisha mkuu k mnato Og inakua na vitu vingi mkuu..
Fake ukishalifyatua mara 5 tu tayari mdebwedo..
Kuhusu tabia nauhakika haigizi ni ya kwake tokea mdogo,hana mapepe haropoki hovyo,nikiwa naongea naye anatulia ananisikiliza hawezi kuongea namm huku anachezea simu...
Huyu sio embe dodo asee hichi kiumbe kina vinasaba vya malaika sio mwanamke wa kawaida kama naowafahamu mimi..
Huyu kenge aliyemzalisha popote alipo ajitangulize kwa allah mapema
Huyo kafata pesa hapopole sana mkuu kwa kuwa kipofu mbele ya single maza
ni issue ya muda tu, yakikukuta madhira huko usiache kutuletea mrejesho
Ka ukweli kanauma hapa....punguzeni povuHalafu hao ambao mnawaita ndo wapya mnajua background zao? Washatoa mimba kama utiriri huko nyuma! Washatumika zaisi ya mara elfu tena na wanaume tofauti[emoji57]. Halafu wewe unawakashfu single mothers. Nyooo..kafie mbele huko. Mfyuuuu[emoji9][emoji9]