Ktk masuala sensitive na yanahitaji kutokusikia kila analokuambia mtu haijalishi baba ama mama mzazi, ni suala la kuoa, upendo wako kwa huyo unayeona unahitaji kuwa naye, hauwez kubadilishwa na mama hata kama amekuzaa, na ndo mana siku hiz hatuchaguliwi wake, mama ana nafasi yake ktk kukushauri hatukatai lkn kuna masuala mengine anatakiwa akae kimya, mm nina ndoa ya miaka minne na mwenyewe niliwah kusema kwamba HATA MWANAMKE MWENYE WATOTO WATATU ANAYEJITAMBUA NAWEZA KUOA, na ndivyo ilivyokuja, nikakutana na mwanamke nikapenda mtoto wa watu sana haijawah tokea kwa mwanamke mwingine, wakat tunaendelea na mahusiano mwanzon sana kanitahadharisha kwamba pls faham kwamba nina mtoto mmoja na ana miaka kumi sasa, nilijibu bila hata kusita, nikamwambia, nitampenda sana mtoto cox unaishi naye na mm nimekupenda wewe...hakuna shaka, angalia hapa....SIKUWAAMBIA WAZAZ WANGU KWAMBA MTU NAYEOA ANA MTOTI, COZ NAFAHAM MOST OF PARENTS DONT LIKE SITUTAION KAMA HZO, funga ndoa mpka sasa nina amani ya kutosha na tumezaa wengine wawili, sifaham kukosa aman ndan ya ndoa kwangu, wazaz nililuja waambia baada ya miaka miwil ya ndoa, nikagundua ningewaambia kabla wangekataa.....lkn walinipa go ahead na kuniambia uzur wake bint anamfaham Mungu just endeleen ma maisha vyema.....BUT kikubwa, ukweli ndoa bila Mungu wa kweli kuna shida sana...namshukur Mungu kunipa mke, na naishi ndan ya mapenzi yake kila siku......Dhambi kwetu tunaichukia sana sana...tunaikimbia......Damu ya Yesu ndo kila kitu....usikate tamaa kama umependa chukua kama yangu.