Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Doooh sitaki mwanaume Dhaifu anisogleee...komaa na huyo KAHABA WAKO ULIE OA..simnasemaga huyo ni chaguo lako...hata Kama Ni kahaba..

Heshima utaiskia kwenye vikao tu vya CCM..ndungu mheshimiwa wazir nk.
haya
 
We nae itakuwa sijui ukoje yaani nimekutafakari sijapata jibu. Mke wako kabisa wa ndoa anakwambia maneno kama hayo? Kaanzaje yaani? Ni mkeo halali au mmeokotana?
 
Haya matatizo ya kukutana na singel mothers yasingekuwepo kama kila mwanaume anae dondosha DNA zake angekua baba bora. Unamzalisha mtoto wa mtu unasema si type yako huwezi kumuoa, unategemea ataolewa na nani?
Uzuri ni kwamba yanawarudia wenyewe, wanavuna walichokipanda.
 
We nae itakuwa sijui ukoje yaani nimekutafakari sijapata jibu. Mke wako kabisa wa ndoa anakwambia maneno kama hayo? Kaanzaje yaani? Ni mkeo halali au mmeokotana?
Kwa ufupi tu nijuavyo mm na uzoefu nilionao kwa viumbe hawa ni kwamba mwanamke ukimzalisha hamuwezi kuachana Kama mwanaume utahitaji kuendelea nae hata kama kaolewa na nani,kuachana nae itatokana na msimamo wako ww baba wa mtoto kuto kumuhitaji tena kimapenzi na pia busara yako kujua unacho mfanyia mwenzako siyo kizuri
 
Mhu hii ni mada nyingine ifungulie siledi yake, tujadiliane jinsi ya kufundisha watoto watunze bikra zao.
Pia msisahau kuwafumdisha watoto wa kiume kuwa wababa bora, jamiii imekazana kufundisha watoto wa kike zaidi kuhusu ndoa na maisha kwa ujumla, tunawasahau watoto wetu wa kiume ambao ndio vichwa vya familia.
Ndio maana vijana wa kiume wa sasa hivi ni majanga..hawawezi kusimama imara kwenye ndoa zao na hawana uwezo kufanya maamuzi
 
Haya matatizo ya kukutana na singel mothers yasingekuwepo kama kila mwanaume anae dondosha DNA zake angekua baba bora. Unamzalisha mtoto wa mtu unasema si type yako huwezi kumuoa, unategemea ataolewa na nani?
Halafu akitokea wa kukuoa ndio unamtenda!?
 
Tatizo sio single mother, maana ata walio olewa wakiwa bado hawajazaa nao wanalika vizuri. Umalaya ni tabia ya mtu haijalishi ulimkuta ni single mother au la.

We hapo mruhusu tu aende huko anakotaka ww baki na life lako Utafte mwingne las hvyo utakuja kutangazwa mtaan kuwa una kibamia na humidhishi
 
Kwa ufupi tu nijuavyo mm na uzoefu nilionao kwa viumbe hawa ni kwamba mwanamke ukimzalisha hamuwezi kuachana Kama mwanaume utahitaji kuendelea nae hata kama kaolewa na nani,kuachana nae itatokana na msimamo wako ww baba wa mtoto kuto kumuhitaji tena kimapenzi na pia busara yako kujua unacho mfanyia mwenzako siyo kizuri
Ni sawa, nilikuwa nazungumzia kwa upande mwingine. Mke hadi afikie hatua ya kukutamkia maneno kama hayo ujue wewe mume ni dhaifu sana.
Hivi naanzaje kwa mfano? Mimi huyu huyu nimtamkie huyu mwamba wangu maneno kama hayo?[emoji848] Hata in my dreams nashindwa kufikiria nini kitatokea. Kimoyomoyo may be..
 
Pia msisahau kuwafumdisha watoto wa kiume kuwa wababa bora, jamiii imekazana kufundisha watoto wa kike zaidi kuhusu ndoa na maisha kwa ujumla, tunawasahau watoto wetu wa kiume ambao ndio vichwa vya familia.
Ndio maana vijana wa kiume wa sasa hivi ni majanga..hawawezi kusimama imara kwenye ndoa zao na hawana uwezo kufanya maamuzi
Hii kwel. Tena bora ss vijana wa sahv tunajitaidi hivyo vizaz vijavyo ndio vitakuwa hatar sana
 
Hiv mkuu unahis huyo jamaa ana hata guts za kuanzisha ugomvi...yan kwa jins jamaa alivoandika tu anaonekana ni bushoke plus huyo mama ndo anamweka mjin

Mwanamke ajuaye kuwa anakutegemea wew kila kitu hawez tamka maneno hayo...jamaa ndio anamtegemea mwanamke hapo
Muachane kwa amani kabla ugomvi haujaanza maana mkiendelea we jamaa utaishia jela
 
Let her go brother, uking'ang'ania maumivu Kama hayo itakua sehem ya maisha yako, so why stressing yourself wakat mwenzio anaenjoy life!!!
 
Ushapigwa limbwata ndo maana unashindwa kufanya maamuzi magumu...piga chini utakufa kwa pressure...alafu mabaharia kwenye vile vikao vyetu moja ya agenda zetu tuliazimia kuto kuoa ma single mama ikiwa ni sambamba na kutosomesha mchumba..we umeanzaje????
Siku hizi sio mchumba tu, hata mke hatusomeshi. Kama alishindwa kusomeshwa na wazazi wake hiyo imetoka
 
Mkuu..shida Sio single mother, shida Ni Huyu mwanaume... Mwanamke unatoa wapi UJASIRi wakumwambia mwanaume...naenda KUTOMBWA tu Mara mojaa...nikimpa haiishi....Inamaana Huyu mwanaume Ni dhaifu Tena udhaifu uliopitiliza
Kwamba.."ANAENDA KUTOA-MBWA NJE"
hatat sana
 
Ni sawa, nilikuwa nazungumzia kwa upande mwingine. Mke hadi afikie hatua ya kukutamkia maneno kama hayo ujue wewe mume ni dhaifu sana.
Hivi naanzaje kwa mfano? Mimi huyu huyu nimtamkie huyu mwamba wangu maneno kama hayo?[emoji848] Hata in my dreams nashindwa kufikiria nini kitatokea. Kimoyomoyo may be..
Eti mwamba wangu![emoji23][emoji23][emoji23]......Rafiki una mbwembwe sana
 
Back
Top Bottom