Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Hivi unaweza kushea penzi kwa mke wako na lijamaa lingine? "nampa tu mara moja ananisumbua sana"

"kwani nikimpa inaisha?"
hayo ni baadhi tu ya maneno ya mke wangu sasa ivi imekuwa ugomvi tu, hivi ukigundua mke wako amenyanduliwa na mtu wake wa zamani, unaweza kuishi nae kama hakujatokea kitu chochote?
Haya majibu ni ya kijeuri, kifedhuli na yamejaa dharau!! Piaga chini umbwa hiyo, haijui thamani ya ndoa
 
Hivi siku hizi wanaume wameenda wapi jamani,kha!Yani unakubali mkeo akampe x mzigo halafu bado awe na sifa za kuwa mkeo.Mnakwama wapi baadhi yenu?
 
Hivi unaweza kushea penzi kwa mke wako na lijamaa lingine? "nampa tu mara moja ananisumbua sana"

"kwani nikimpa inaisha?"
hayo ni baadhi tu ya maneno ya mke wangu sasa ivi imekuwa ugomvi tu, hivi ukigundua mke wako amenyanduliwa na mtu wake wa zamani, u kuishi nae kama hakujatokea kitu chochote?

Ni kati ya mambo haya:

1. Anakulisha na wewe ni zoba.
2. Ni mchawi na kakudhibiti.
3. Hauna akili timamu!

Usitafute faraja, tafakari haya maneno yangu Halafu kama unaona bado una sababu ta kuishi naye, then ni kweli haiishi akimpa mara moja!
 
Mkuu na majibu hayo huyo mwanamke bado karibu yako hadi sasa?

Tatizo huwa tunakaza sana vichwa ila hivyo ndivyo walivyo!
 
Ushapigwa limbwata ndo maana unashindwa kufanya maamuzi magumu...piga chini utakufa kwa pressure...alafu mabaharia kwenye vile vikao vyetu moja ya agenda zetu tuliazimia kuto kuoa ma single mama ikiwa ni sambamba na kutosomesha mchumba..we umeanzaje????
Hakuhudhuria kikao, alizuiwa na singo maza wake.
 
Hivi unaweza kushea penzi kwa mke wako na lijamaa lingine? "nampa tu mara moja ananisumbua sana"

"kwani nikimpa inaisha?"
hayo ni baadhi tu ya maneno ya mke wangu sasa ivi imekuwa ugomvi tu, hivi ukigundua mke wako amenyanduliwa na mtu wake wa zamani, unaweza kuishi nae kama hakujatokea kitu chochote?
duuuuuuuuuuhhh
 
Tatizo sio single mother, maana ata walio olewa wakiwa bado hawajazaa nao wanalika vizuri. Umalaya ni tabia ya mtu haijalishi ulimkuta ni single mother au la.

We hapo mruhusu tu aende huko anakotaka ww baki na life lako Utafte mwingne las hvyo utakuja kutangazwa mtaan kuwa una kibamia na humidhishi
Single Mother ni habari nyingine Mkuu, kuna mmoja jirani yangu kapigwa mimba na jamaa 4yrs ago na jamaa akaikana mimba mpaka Leo hajawahi kutoa hata 100 ya matunzo. Lakini akitaka K anapewa na bado akishaliwa anaambiwa huyo mtoto si wangu, ananuna lakini ukiisha mwezi anatoa K tena.
 
Dawa ya mtu kama huyo, ni moja tu anza kurudi usiku na asikuuliize kitu,lewa gonga pombe ukirudi nyumbani chakali but play smart sio lazima ajue ukitoka unakula swala za nje, yani piga gambe na utakachokutana nacho huko nje shughulikia vilivyo gonga nyapu stress zitahama, ukirudi home umekua mwepesiiii akikuuliza mwambie you are the reason i ave changed , maisha ni mafupi sana kwa mpuzi mmoja kuuchezea akili.. Kiume zaidi
Sikubaliani na ushauri huu. Utakufa bure kwa kuishi maisha yasiyo yako. Kama mmeshindwana muachane kwa amani tu. Kwa hayo majibu aliyopewa jamaa hamna ndoa hapo hata mkeo akiwa na kichaa hawezi kukujibu hivyo labda uwe unamtegemea kwa kila kitu na huna jinsi ya kuishi bila yeye
 
Ni sawa, nilikuwa nazungumzia kwa upande mwingine. Mke hadi afikie hatua ya kukutamkia maneno kama hayo ujue wewe mume ni dhaifu sana.
Hivi naanzaje kwa mfano? Mimi huyu huyu nimtamkie huyu mwamba wangu maneno kama hayo?[emoji848] Hata in my dreams nashindwa kufikiria nini kitatokea. Kimoyomoyo may be..
Mwanamke wa kuwa na hizo guts ni style ya Shishi ambaye ana uwezo wa kufuga dume ndani. Otherwise hakuna namna ingine mwanamke anayetunzwa na mwanaume alete ngendembwe.
 
Hiv mkuu unahis huyo jamaa ana hata guts za kuanzisha ugomvi...yan kwa jins jamaa alivoandika tu anaonekana ni bushoke plus huyo mama ndo anamweka mjin

Mwanamke ajuaye kuwa anakutegemea wew kila kitu hawez tamka maneno hayo...jamaa ndio anamtegemea mwanamke hapo
Hahahah atakuwa analelewa maana huo ni zaidi ya u Zowber,😂
 
Tatizo sio single mother, maana ata walio olewa wakiwa bado hawajazaa nao wanalika vizuri. Umalaya ni tabia ya mtu haijalishi ulimkuta ni single mother au la.

We hapo mruhusu tu aende huko anakotaka ww baki na life lako Utafte mwingne las hvyo utakuja kutangazwa mtaan kuwa una kibamia na humidhishi
Hihihihihi fedhea iko njiani😂!!! Hivi sielewi kwanini vidume waaminifu wenye mapenz ya dhati huwa tunaangukia kwa malaya wabovu
 
Back
Top Bottom