Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Hahahahah jamaa hela hana basi hata mkwara kuonesha uanaume wake napo pia chenga?

Yan jamaa limetafuta namna ya kutuambia he is BROKE and a JIGOLO sasa ndio kaja na alternative story ila wafungua code tumeelewa, This homie needs motivation speech on how to GRIND HARD...SIO USHAURI WA KUENDELEA NA HUYO MWANAMKE....
 
Hivi unaweza kushea penzi kwa mke wako na lijamaa lingine? "nampa tu mara moja ananisumbua sana"

"Kwani nikimpa inaisha?" Hayo ni baadhi tu ya maneno ya mke wangu sasa ivi imekuwa ugomvi tu, hivi ukigundua mke wako amenyanduliwa na mtu wake wa zamani, unaweza kuishi naye kama hakujatokea kitu chochote?
Watu kama ninyi wapare huwaita "cuckold".
Unaweza ku google mkuu,ila pole sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan jamaa limetafuta namna ya kutuambia he is BROKE and a JIGOLO sasa ndio kaja na alternative story ila wafungua code tumeelewa, This homie needs motivation speech on how to GRIND HARD...SIO USHAURI WA KUENDELEA NA HUYO MWANAMKE....
My niggah😂!!! Lets drop some grown folk teach...
 
Duuuuh..... Wanaume design yako wanapatikana wapi Jamani...maana Mimi nakutanaga na wanaume wanao jielewa...Dooh Mungu usinipe mwanaume Kama Huyu...Mdhaifu..

Pole Kaka...
Hivi kwenye hii mada asiejielewa ni Mwanaume au Mwanamke?

Mwanaume ana kosa gani lililoainishwa hapo?

Hapo tumeoneshwa ubaya wa huyo Mwanamke kuwa ni Muhuni, Malaya, mwenye maneno machafu, hajieshimu

Kama huyo Mwanamke angeleta mada labda ndio angesema Jamaa ni dhaifu

Kuna wanawake hata wakutane na Strongest n Aggressive Men kama hawakulelewa vizuri kwao ataendelea tu na Umalaya popote aendapo.
 
Mkuu..shida Sio single mother, shida Ni Huyu mwanaume... Mwanamke unatoa wapi UJASIRi wakumwambia mwanaume...naenda KUTOMBWA tu Mara mojaa...nikimpa haiishi....Inamaana Huyu mwanaume Ni dhaifu Tena udhaifu uliopitiliza
Jamaa anaweza kuwa sio dhaifu ila Mwanamke ndio Malaya na ana maneno machafu na malezi ya hovyo.

Itakuwa ndio sababu ya kuachana / kuachwa na aliyemzalisha mwanzoni
 
Jamaa anaweza kuwa sio dhaifu ila Mwanamke ndio Malaya na ana maneno machafu na malezi ya hovyo.

Itakuwa ndio sababu ya kuachana / kuachwa na aliyemzalisha mwanzoni
Sasa Kwanini asimuache?..Katika Hali ya kawaida mwanamke hawezi kutamka hayo maneno....

Nahuyu hawezi tukua kaanza ...kashafanya mengi mwanaume ..kimya so anamjua Huyu mwanaume .hata umuingizie kudole machoni. Atakasirika kidogo alafu akuombe msamaha.
 
Mkuu jinsi siku ile ulivyokuwa mchangiaji bora kwenye kile kikao chetu cha mwisho,sikutegemea leo kusikia umedata kwa 'single mother' nakumbuka wewe ndio ulisisitiza sana kwamba tusioe singo maza,nasi sote tukalipitisha hilo.
Ila ok fine huenda huyu singo maza alikudanganya,ukaja gundua baadaye kuwa ana mtoto.

#Ushauri wa baharia: Nenda kwa mganga kategue ilo 'tegoLimbwata'
 
Amekudharau, statement ya namna hiyo maana yake nafasi yako huifanyii kazi.
 
Hivi unaweza kushea penzi kwa mke wako na lijamaa lingine? "nampa tu mara moja ananisumbua sana"

"Kwani nikimpa inaisha?" Hayo ni baadhi tu ya maneno ya mke wangu sasa ivi imekuwa ugomvi tu, hivi ukigundua mke wako amenyanduliwa na mtu wake wa zamani, unaweza kuishi naye kama hakujatokea kitu chochote?
Pole sana ndugu.Piga chini hiyo nyama.
Anza upya!Pumbavu zake
 
Ukigundua pasipo shaka mke anachepuka muache kiroho Safi tu maana mwanamke huhama jumla wala huwa harudi

Usipogundua jua mwanamme aliyenaye namchochea akuheshimu wewe
 
Kwa kauli hizi ni dhahiri shahiri mkeo ni Muhaya.Wale wanawake ni majasiri na pia wanakauli chafu sana,kuhusu chini ndio usiseme na mambo ya mila kwao ni jadi ijapokuwa wengi wao wameelimika.
Acha huyo singo maza!
 
Back
Top Bottom