Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Hivi unaweza kushea penzi kwa mke wako na lijamaa lingine? "nampa tu mara moja ananisumbua sana"

"Kwani nikimpa inaisha?" Hayo ni baadhi tu ya maneno ya mke wangu sasa ivi imekuwa ugomvi tu, hivi ukigundua mke wako amenyanduliwa na mtu wake wa zamani, unaweza kuishi naye kama hakujatokea kitu chochote?
hapo huna mke kabisa
hiyo ni dharau ya hali ya juu
achana nae aendelee na huyo anaempa mara moja

jiulize kwa nn akufanyie hivyo, au wewe ni mwanaume suruali maana na sisi wanawake tunaonesha mno dharau kwa mwanaume asie na hela ndio unaweza kumjibu utakavyo na kushea penzi
 
Mkuu..shida Sio single mother, shida Ni Huyu mwanaume... Mwanamke unatoa wapi UJASIRi wakumwambia mwanaume...naenda KUTOMBWA tu Mara mojaa...nikimpa haiishi....Inamaana Huyu mwanaume Ni dhaifu Tena udhaifu uliopitiliza
huyu mwanaume inaelekea analelewa na mke wake.
mwanamke akimlea mwanaume huwa anamchoka na anamfanyia vitimbwi.
 
Hiv mkuu unahis huyo jamaa ana hata guts za kuanzisha ugomvi...yan kwa jins jamaa alivoandika tu anaonekana ni bushoke plus huyo mama ndo anamweka mjin

Mwanamke ajuaye kuwa anakutegemea wew kila kitu hawez tamka maneno hayo...jamaa ndio anamtegemea mwanamke hapo
exactly
 
Aloo mmmh nilivyovurugwa hivi ningemvuruga respectively sio kwa majibu hayo...kuna rafiki yangu ana kauli moja akishakuta mwanaume anaendeshwa na mwanamke basi urafiki unakufa,maana hawezi kuwa na rafiki shoga!!!
 
Mwenza ukisikia sehemu yupo wa hivyo nishtue, namtaka
Kwakeli unajipigia TU limwanaume fimbo za matako...Tena unamwabia lala chini Mshenzi Wewe...mwenzako katoa hela ya mboga tunakula Wewe unakuna pumbu...unamtandika vibaya..ukimaliza anakuomba msamaha[emoji3]
 
Kwakeli unajipigia TU limwanaume fimbo za matako...Tena unamwabia lala chini Mshenzi Wewe...mwenzako katoa hela ya mboga tunakula Wewe unakuna pumbu...unamtandika vibaya..ukimaliza anakuomba msamaha[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume wanaisha ati
 
Kwakeli unajipigia TU limwanaume fimbo za matako...Tena unamwabia lala chini Mshenzi Wewe...mwenzako katoa hela ya mboga tunakula Wewe unakuna pumbu...unamtandika vibaya..ukimaliza anakuomba msamaha[emoji3]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] We kitoto nikukukamata nitakuchapa nazo usoni hizo unazozitaja
 
Hivi unaweza kushea penzi kwa mke wako na lijamaa lingine? "nampa tu mara moja ananisumbua sana"

"Kwani nikimpa inaisha?" Hayo ni baadhi tu ya maneno ya mke wangu sasa ivi imekuwa ugomvi tu, hivi ukigundua mke wako amenyanduliwa na mtu wake wa zamani, unaweza kuishi naye kama hakujatokea kitu chochote?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwanaume Kuna namna ukijiweka kwa mwanamke wako atakua anakupa majibu

sampuli ya mke wa mtoa mada,yani mimi mke wangu unanijibu "nampa tu mara moja" hiiiiii

kitu yangu mimi uniambie unampa tu mara moja,haki najiskia kutukana tusi moja hiloooo...
 
Hivi unaweza kushea penzi kwa mke wako na lijamaa lingine? "nampa tu mara moja ananisumbua sana"

"Kwani nikimpa inaisha?" Hayo ni baadhi tu ya maneno ya mke wangu sasa ivi imekuwa ugomvi tu, hivi ukigundua mke wako amenyanduliwa na mtu wake wa zamani, unaweza kuishi naye kama hakujatokea kitu chochote?
Sema huyo mwanamke akili zake fupi sana
siyo mwanamke wakuishi nae
Nadhani sio kila mwanamke ni wakuoa wengine ni mapambo tu ya dunia
 
Back
Top Bottom