Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Wewe ndiye mwanaume sasaAbadani
Katuuu
Kamwee
Hata iwejee
Piga ua
Hata itokee nini
.......SIWEZI KUOA SINGLE MOTHER.
Na kwahuyo rafiki yako Time will tell
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiye mwanaume sasaAbadani
Katuuu
Kamwee
Hata iwejee
Piga ua
Hata itokee nini
.......SIWEZI KUOA SINGLE MOTHER.
Na kwahuyo rafiki yako Time will tell
Asante kwa mawazoTafuta mtu mzima ili amweleze jamaa kwa hekima, wakati huo wewe tafuta uthibitisho zaidi.
Ikiwezekana andaeni mazingira ili jamaa aje mwenyewe athibitishe.
Kwanini kaka unaficha jambo hili, ungefichwa wewe je?
[emoji3]Kuna single mother mwingine huko anajifikiria kuandika Uzi wa kutafuta mwenza
Defending your nature!!.Mi nashauri hata usimwambie kausha tu ipo siku mambo yatajulikana tu. Afu huo ushauri kwa wanaume wenzio sidhani kama ni sawa single moms wengi tu mbona wanajiheshimu huku mitaani mwetu why wasiolewe?, akikosea 1 si wote bana, kuna ambao si single moms ila ndiyo CV zao chafu bora hata hao. Wanaume oeni mtu unayependana naye na mmechunguzana vya kutosha whether single moms or siyo mtadumu tu[emoji120]
[emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji870][emoji870][emoji870]Mi nashauri hata usimwambie kausha tu ipo siku mambo yatajulikana tu. Afu huo ushauri kwa wanaume wenzio sidhani kama ni sawa single moms wengi tu mbona wanajiheshimu huku mitaani mwetu why wasiolewe?, akikosea 1 si wote bana, kuna ambao si single moms ila ndiyo CV zao chafu bora hata hao. Wanaume oeni mtu unayependana naye na mmechunguzana vya kutosha whether single moms or siyo mtadumu tu[emoji120]
"fimbo ya mbali haiuwi nyoka" Mwanamke anapenda ukaribu zaidi kuliko hata ngono yenyewe. Ngono ni ziada tu. Sa kama umeoa hata ka ni bilionea kama Mo utapigiwa tu na wauza mkaa kama upo mbali naeSwaiba yangu wa karibu sana anaishi Mombasa but familia yake ipo Dar huwa anakuja once in a month!
Hofu ya Mungu muhimu sana kwenye maisha ya sasa....Una muda sana aisee.....
Na kwa vile huyu mmoja yuko hivi, ina maana single parents wote wako hivyo? Ninaye rafiki yangu kaoa single parent tena wa watoto wawili wote na baba tofauti lakini ndiyo role model wangu wa ndoa yenye furaha, amani na maelewano. Ni power couple moja matata sana!
Umalaya ni tabia ya mtu na sidhani kama kuna causal relationship kati ya kuwa single parent na umalaya. Wewe oa ambaye siyo single parent lakini kama ni kuchapiwa utachapiwa tu!
six packs za hawa vijana ambao mostly are jobless nikaconnect dots.
Ikanibidi nianze kufanya uchunguzu yakinifu nikaanza kujenga ukaribu na house girls wake nikapata some info
sikutosheka ikabidi niwe ninafatilia nyendo za huyu shemeji yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Being jobless it's not a disease or disaster but temporary life situation!
Speaking of jobless every time means inferiority complex meaning you got no job!
I wish you could know what I do and what I have you motherfucker.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika gani kama huyu mleta mada ni mwanaume Rijali mkuu?Kabisaa mwanaume mzima tena rijali unakua buzzy kufatilia maisha ya ndoa ya rafiki yako lol? Heeeeh mbna mapya haya mweeeeeh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
Oh! Usicheze na Singeli wewe!Hata asiye single mother huweza kurudiana na ex tu.
Haya mapenzi hayatabiriki, sababu kubwa nadhani ni binaadamu kutokuwa static linapokuja suala la hisia za kimapenzi.
Mapenzi huanza , hukolea, hushuka na hatimaye huisha, nothing lasts forever.
Sasa si kasema mwenyewe, na anavo shadadia kutooa single mothers, nkajua n shababy tena mwenye uchungu na na wanawake.Una uhakika gani kama huyu mleta mada ni mwanaume Rijali mkuu?