Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Nimeongea hali halisi mkuu Bila bila mapenzi huwa yanafikia stage yanaisha inabaki kuvumilia viapoOh! Usicheze na Singeli wewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeongea hali halisi mkuu Bila bila mapenzi huwa yanafikia stage yanaisha inabaki kuvumilia viapoOh! Usicheze na Singeli wewe!
Nao ni rahis kusaliti au sio?
Dongo limekupata?Aisee huna kazi ya kukuweka bizze
Hata mimi ninamshangaa swaiba yangu japo awali alikuwa anaficha but hakuna siri dunianiUkioa single mother ni ishara ya udhaifu yaani wanawake wote wabichi duniani nikaoe aliezalishwa?
Big no
Sent using Jamii Forums mobile app
Shigongo je?Unafaa kuajiriwa FBI au MOSSAD
Single mama wa kuoa ni mjane tu aliyefiwa na mumewe.Swaiba yangu wa karibu sana anaishi Mombasa but familia yake ipo Dar huwa anakuja once in a month!
Mke wake aliwahi kuzaa before marriage na bahati mbaya sasahivi mkewe na baba mtoto wake wa kwanza/ex wamerudiana kimya kimya na wanapasha viporo.
Swaiba yangu alikuwa haishi kuniambia kama kuna mtaalamu wa natural herbs nimconnect apate dawa za kupunguza kitambi sikumwelewa!
Kumbe mkewe hapendi kitambi na huyo baba watoto wake ana six packs mbavu nene.
Nilivyobahatika kumwona kwenye birthday ya huyo mwanaye ndipo nilipopata picture baada ya kumwona yule ex amejaza kifua na six packs za hawa vijana ambao mostly are jobless nikaconnect dots.
Ikanibidi nianze kufanya uchunguzu yakinifu nikaanza kujenga ukaribu na house girls wake nikapata some info though sikutosheka ikabidi niwe ninafatilia nyendo za huyu shemeji yangu ebhana sikuamini kuwa yule six packs analala mule mule ndani ya nyumba ya swaiba yangu na gari anatumia ya shemeji yangu.
Sio siri nimeumia sana but I can't manage to tell the truth to my friend.
Ninahofia nikimwambia ukweli;
1,Nitaharibu ndoa yao
2, Nitaharibu maisha yao
3, Nitaharibu maisha ya watoto wao
4, Nitasababisha vita kali sana.
Mnanishauri nini wadau juu ya huyu swaiba yangu?
Mimi ninawashauri msioe single mothers ambao baba zao wapo hai jamani hawa watu hawaachanagi jumla na baba watoto wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ww mleSwaiba yangu wa karibu sana anaishi Mombasa but familia yake ipo Dar huwa anakuja once in a month!
Mke wake aliwahi kuzaa before marriage na bahati mbaya sasahivi mkewe na baba mtoto wake wa kwanza/ex wamerudiana kimya kimya na wanapasha viporo.
Swaiba yangu alikuwa haishi kuniambia kama kuna mtaalamu wa natural herbs nimconnect apate dawa za kupunguza kitambi sikumwelewa!
Kumbe mkewe hapendi kitambi na huyo baba watoto wake ana six packs mbavu nene.
Nilivyobahatika kumwona kwenye birthday ya huyo mwanaye ndipo nilipopata picture baada ya kumwona yule ex amejaza kifua na six packs za hawa vijana ambao mostly are jobless nikaconnect dots.
Ikanibidi nianze kufanya uchunguzu yakinifu nikaanza kujenga ukaribu na house girls wake nikapata some info though sikutosheka ikabidi niwe ninafatilia nyendo za huyu shemeji yangu ebhana sikuamini kuwa yule six packs analala mule mule ndani ya nyumba ya swaiba yangu na gari anatumia ya shemeji yangu.
Sio siri nimeumia sana but I can't manage to tell the truth to my friend.
Ninahofia nikimwambia ukweli;
1,Nitaharibu ndoa yao
2, Nitaharibu maisha yao
3, Nitaharibu maisha ya watoto wao
4, Nitasababisha vita kali sana.
Mnanishauri nini wadau juu ya huyu swaiba yangu?
Mimi ninawashauri msioe single mothers ambao baba zao wapo hai jamani hawa watu hawaachanagi jumla na baba watoto wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
WORD!!!Mkuu, kuna tofauti kubwa kati ya "umalaya" na being a "single parent"
Kwaleo naomba niishie hapa...
Asante sana mkuu...WORD!!!
Nakutakia Heri, Baraka na Fanaka kwa kipindi hichi cha Sikukuu
Kuoa single mother(mke wa mtu) kwanza ni tusi kubwa sana kwa mabinti waliojitunza hawajazalishwa bado, wanasubiri wanaume wa kujenga nao familia.Ukioa single mother ni ishara ya udhaifu yaani wanawake wote wabichi duniani nikaoe aliezalishwa?
Big no
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ambao walibanjuana bila kuzaa mtoto wanamisiana sana tu,kinachowafanya wamisiane ni hisia za mapenzi wala sio mtoto/watoto waliozaaUkweli ndo huo mzee
Mwanamke ukisha zaa nae, hata ni wewe huwezi kumuacha. Kuna muda mna misiana.
Yaani kwa mtindo huu acha single mother wapambane tuu na hali zao.
Labda bwana awe keshapigwa chepe (danjaring)
Unayaona ya masingle mother tu kweli?[emoji3][emoji3] ukweli mchungu mkuu. Tunayaona sana humu uraiani