Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Kama kuna waliokwazika na huu uzi ninaomba radhi sana aisee.
Nisameheni sana Jobless sikukusudia kuwakwaza imetokea tu bahati mbaya
Nisameheni sana single mothers kwa kuwakwaza
Nisameheni sana mlioa single mothers ninaona mapovu kama yote.

Nimalize kwa kuwashukuru wote waliotoa ushauri na maoni na pia wale waliousikiliza ushauri wangu.
Ninaimani watanishukuru sana baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi vijana tunaoa single mama, ila kwa masharti.

Hivi mshawahi kujiuliza kwanini kuna single mama na nini kitasaidia kuondoa au kupunguza hawa watu ?

Kwa ufupi single mama wamegawanyika katika makundi tofauti tofauti. Narudi kuwataja.
 
Swaiba yangu wa karibu sana anaishi Mombasa but familia yake ipo Dar huwa anakuja once in a month!
Mke wake aliwahi kuzaa before marriage na bahati mbaya sasahivi mkewe na baba mtoto wake wa kwanza/ex wamerudiana kimya kimya na wanapasha viporo.

Swaiba yangu alikuwa haishi kuniambia kama kuna mtaalamu wa natural herbs nimconnect apate dawa za kupunguza kitambi sikumwelewa!
Kumbe mkewe hapendi kitambi na huyo baba watoto wake ana six packs mbavu nene.

Nilivyobahatika kumwona kwenye birthday ya huyo mwanaye ndipo nilipopata picture baada ya kumwona yule ex amejaza kifua na six packs za hawa vijana ambao mostly are jobless nikaconnect dots.

Ikanibidi nianze kufanya uchunguzu yakinifu nikaanza kujenga ukaribu na house girls wake nikapata some info though sikutosheka ikabidi niwe ninafatilia nyendo za huyu shemeji yangu ebhana sikuamini kuwa yule six packs analala mule mule ndani ya nyumba ya swaiba yangu na gari anatumia ya shemeji yangu.

Sio siri nimeumia sana but I can't manage to tell the truth to my friend.
Ninahofia nikimwambia ukweli;
1,Nitaharibu ndoa yao
2, Nitaharibu maisha yao
3, Nitaharibu maisha ya watoto wao
4, Nitasababisha vita kali sana.

Mnanishauri nini wadau juu ya huyu swaiba yangu?


Mimi ninawashauri msioe single mothers ambao baba zao wapo hai jamani hawa watu hawaachanagi jumla na baba watoto wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Single mama wa kuoa ni mjane tu aliyefiwa na mumewe.

Hawa wengine aisee.
 
Nav
Swaiba yangu wa karibu sana anaishi Mombasa but familia yake ipo Dar huwa anakuja once in a month!
Mke wake aliwahi kuzaa before marriage na bahati mbaya sasahivi mkewe na baba mtoto wake wa kwanza/ex wamerudiana kimya kimya na wanapasha viporo.

Swaiba yangu alikuwa haishi kuniambia kama kuna mtaalamu wa natural herbs nimconnect apate dawa za kupunguza kitambi sikumwelewa!
Kumbe mkewe hapendi kitambi na huyo baba watoto wake ana six packs mbavu nene.

Nilivyobahatika kumwona kwenye birthday ya huyo mwanaye ndipo nilipopata picture baada ya kumwona yule ex amejaza kifua na six packs za hawa vijana ambao mostly are jobless nikaconnect dots.

Ikanibidi nianze kufanya uchunguzu yakinifu nikaanza kujenga ukaribu na house girls wake nikapata some info though sikutosheka ikabidi niwe ninafatilia nyendo za huyu shemeji yangu ebhana sikuamini kuwa yule six packs analala mule mule ndani ya nyumba ya swaiba yangu na gari anatumia ya shemeji yangu.

Sio siri nimeumia sana but I can't manage to tell the truth to my friend.
Ninahofia nikimwambia ukweli;
1,Nitaharibu ndoa yao
2, Nitaharibu maisha yao
3, Nitaharibu maisha ya watoto wao
4, Nitasababisha vita kali sana.

Mnanishauri nini wadau juu ya huyu swaiba yangu?


Mimi ninawashauri msioe single mothers ambao baba zao wapo hai jamani hawa watu hawaachanagi jumla na baba watoto wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ww mle
 
Ukioa single mother ni ishara ya udhaifu yaani wanawake wote wabichi duniani nikaoe aliezalishwa?

Big no

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuoa single mother(mke wa mtu) kwanza ni tusi kubwa sana kwa mabinti waliojitunza hawajazalishwa bado, wanasubiri wanaume wa kujenga nao familia.

Yaani unaacha wanawake fresh kabisa halafu unaenda kuoa mtu ambaye tayari ameshaingizwa labor na mwanaume mwenzio!??? Haloo no fedhea kubwa sana, kwanza hata wanawake wenyewe huwa wanatushangaa sana, sema wanaume wengi hawajui tu.

Kuna sister mmoja mtu mzima kidogo niliwahi kumuuliza kuhusiana na hili suala la kuoa single mother, aliniambia bila kificho kabisa pamoja na kwamba yeye mwenyewe ni single mother lakini hawezi kabisa kumshauri mtoto wake aoe single mother.

Imagine single mother mwenyewe anakwambia hivyo, halafu wewe kidume eti ndio unajitia una busara eti ntaishi vizuri tu..!!!

Pamoja na hayo... Acha wanaooa waoe tu maana ni maisha yao na sisi hayatuhusu

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Washauri vijana waoe bikra tu,masingle mother's na wasiokuwa na bikra lao moja,aliyeoa aliyetumika bila kuzaa asimcheke aliyeoa single mother,hao wote wanapasha viporo vizuri sana wakiamua
 
Ukweli ndo huo mzee

Mwanamke ukisha zaa nae, hata ni wewe huwezi kumuacha. Kuna muda mna misiana.

Yaani kwa mtindo huu acha single mother wapambane tuu na hali zao.

Labda bwana awe keshapigwa chepe (danjaring)
Hata ambao walibanjuana bila kuzaa mtoto wanamisiana sana tu,kinachowafanya wamisiane ni hisia za mapenzi wala sio mtoto/watoto waliozaa
 
Back
Top Bottom