Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Endelea kubaki hivyo hvyo wenzako wanawekwa kwenye mabango wew ht kwenye status hauonekani..[emoji847]
 
Hiv mbona umeongelea sana hisia za single mother, we unazijuaje na wakati jins yako ni mwanaume! Angeongea hizi habar za hisia zao alitakiwa awe single mother mwenyew wala siyo mwanaume
 
Full stop single mothers sio wa kuoa mtie mimba uhudumie mwanao ni wajinga sana wengi wao wanakariri mwanaume akimpa pesa ndo anampenda wanawaacha wenye mapenzi ya kweli kwa vile hawako vizuri sana kiuchumi

Wengi nimeona ni wajinga hawana akili mwanaume kamuacha hataki kumoa eti anampost katika father's day imagine we umuoe ndo uone huku kwny status

Kati ya ujinga sifany hata mahusiano sitaki kwanza yanashobo sana ji mtu unataka kulioa unaagalia kwenye simu yule jamaa kamtelekeza kamsave my love ni wajinga sana

Kampeni kwa sisi wanaume tafuta mwanamke mbichi anzisha mahusiano nae hao single mothers achana kingine usidare na mwanamke kama hauna malengo nae kwanza unajichoresha kila demu ulale nae kip cha maana kaa tulia ili ukimpa mimba umuoe wanao waishi vizuri

Sometime ukiwa unajielewa ukishakuwa na wanao ndo furah tafuta pesa hudumia familia sio kila demu unataka umeone uchi wake mingine mikosi kwenye maisha usawa mbovu
Umeongeaa point
 
Mimi naona unawakosea kwasababu hamna mwanamke ambae anapenda kuwa single mother, ni huenda kuna mwanaume alimuahidi ndoa afu akachomoka.
Pia wanaume wengi sikuhizi wanatabia ya kuwaambia dada zetu kuwa tuzae kwanza mambo yakikaa poa nitakuoa.

Mimi naona ni kuangalia tabia ya mtu, kama ana tabia mbovu achana nae.. ila unaweza enda oa bikra wako na akakusumbua ukaona afadhari ya yule single mother.

Faida za kumpa stara single mother anaejielewa
1. Atakuheshimu sana maana umemstiri
2. Baraka na riziki za yule mtoto zitapitia mikononi mwako.
3. Utapata baraka hata kutoka kwa Mungu kwa kumlea yule mtoto na kumfanya asijihisi kua hana baba.
4. Umesaidia kizazi kijacho kujifunza kutoka kwako kutokumuhukumu mtu kisa alizalishwa.
5. Itasaidia watoto wa kike kupunguza kutoa mimba

Tusihukumu wote, tuangalie chanzo cha yeye kuwa single mother kwanza, tabia zake, jinsi anavyokufanya ujisikie kama mwanaume, jinsi anavyokuheshimu, baraka zake maana kuna wanawake wengine wananyota yani ukiwa nae tu unatajirika, nk
Single maza anafat msaada sio upendo ndomana unatakiwa kuwa na carefully
 
wew jamaa sasa hukuwa na hisia na demu inakuwaje mpaka ukamgegeda, mbona unataka kutuenjoy mwanawane

Hiv wewe ufukir wote wanao kugegeda wanahisia na wewe je wewe haujawah kumpa tu mtu usie mpenda ili maisha tu yaende kwa wakat huo ndugu
 
Shida hapa sio maisha kuwa na formula ama vipi, shida ni kuoa single mother hawa wa kisasa ambao wanaishi kwa kuhisi mahusiano ni biashara ya nipe nikupe.

Sasa wewe unaongelea story hizi za moja katika mia moja. Sisi tunakwambia yanayojiri. Mimi nilishajaribu na hawa viumbe. So nikisema naongea niliyoyaobserve.....
Ni sawa. Ila kujaribu kwako na kufeli hakumchafui kila single mother aliyepo dunia hii.
 
sasa ikinyweka kidogo haishukiii!! ndo maana mnadanganywa ok! huyu kazaa watoto watatu! lkn mwngine hana mtoto kweli ila alitoa mimba saba! na kizazi kango'a utapiga mashine weeee olaaa!

siku umri umeenda na unawaza kwenda nje unaishia kwa huyohuyo mwenye watoto saba!.....huyu huku hamna kitu! na mali utamgawia, no bora uchukue huyu una uhakika atakuzalia tu sababu kizazi kipo ushahidi ni hao watoto wake!

lkn ambae hana mtoto na wewe huna!!...... hata wewe hutajiamini km una kizazi! hata km unae mmoja huko nje hutaamini ni wako mbaya zaidi km yuko km mama yake!! beba huyu mwenye watoto dogo uwe na uhakika!
Acha uninga wewe kwani unaoa bila kupima afya? Doctor lazima apime vyote hadi circumference ya mbususu yenuewe lazima ipimwe
 
Acha uninga wewe kwani unaoa bila kupima afya? Doctor lazima apime vyote hadi circumference ya mbususu yenuewe lazima ipimwe
Looo!! unampelekea doctor mbususu hivi hivi lazima akuzalie mtoto hapo usijidanganye!!! Afya unapima kwa mcho yako tu usijirengeshe kwa madaktari vijana!! watakuchapia sana tu tuulize sisi
 
Looo!! unampelekea doctor mbususu hivi hivi lazima akuzalie mtoto hapo usijidanganye!!! Afya unapima kwa mcho yako tu usijirengeshe kwa madaktari vijana!! watakuchapia sana tu tuulize sisi
Kama mwanamke anataka kuliwa ataliwa tuu so wala usiumize kichwa kwa kiumbe ambaye anatembea n mgodi wake katikati ya mapaja
 
Akiongezea na picha za wakati wa kuaga mwili wa marehemu na picha wakiwa wapenzi trna moto moto
Kumbukeni nanyi ni maex wa watu wengine, aijalishi akuna kinachoonekana (mtoto) maana mlitoa sana mimba.
Wengine ni baba wa watoto zaidi ya wanne marehemu.
Wengine mnao mpka 10 ila amuwafahamu maana mlikataa mimba.
Wekeni akiba ya maneno
Kuwa single mother sio dhambi kuliko kuwa baba muhoga wa majukumu
 
Back
Top Bottom