Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makabila yetu mengi huo ndio utamaduni. makabila mengi kuoa KAYAMBA siyo aibu , ni sawa kabisa na ndiyo maana mtu anatolewa mahari hata mara 20 idadi ya wanaume waliomuoa!...pwani yote , usukumani, and many more tribes!Najua jambo hili limezungumzwa hapa mara nyingi na hata baada yangu litajadiliwa mara nyingi kwa ustawi wa jamii yetu. Pia niweke wazi japo jambo lenyewe liko wazi ila kuna watu ni vinganganizi na mabish wasio na maarifa,
Japo pia andiko kangu halikusudii ati ndio uwachukie hapana tafadhali usifanye hivyo wamepitia mazito sana tayari ila tena unaweza kuwasupport financially au emotionally kwa kuwasikiliza madhila yao na kuwapa moyo ila KAMWE sio kuoa wala kudate nao utawaumiza yaidi na utaumia pia.
YOU CAN'T BE A WOMAN'S HERO WITHOUT ENHERITING HER PROBLEMS, NEVER.
1. Kwanini uendeleze matatizo ya mwanaume mwingine, kwamba wewe ndio una huruma sana no wewe ni mjinga sana.
2. Single mon daima priority yake ni mtoto/watoto wake period. Wewe kwake utakua namba mbili au tatu na hilo sio kwa ubaya ndio walivyoumbwa.
3. Hana uanamke ndani yake, kutokana na kulea mwenyewe single moms wanajikuta wanadevelop masculinity na kua na mwanamke wa kaliba hii ni sawa na kumuoa Rashidi (mwanaume mwenzako)
4. Broken beyond reppair. Hivi unajua maumivu aliyopitia ?! Single moms wamepitia maumivu makali na kuwahribu kabisa, hata ufanyie nini chuki dhidi ya wanaume haitomtoka kamwe. (Why would you chose to date such a woman who is like a time bomb ready to blow up)
5. Je unajua ni kwanini aliemzalisha alimuacha ?! Hongera kwa kujifanya kichwa maji marry her and you will soon find out, but hey, sorry for you it will be too late.
6. She will use you. Single moms akili yake hua inawaza mtoto make tu, yuko tayari kufanya lolote. Hata kuingia kwenye mahusiano hua ameshatazama uwezekano wa mwanae kupata mahitaji. Hakunaga eti single mom kakupenda NEVER kwao upendo ulishakauka.
Nirudie kusema usiwachukie maana wamepitia magumu mengi mimi na wewe hatujui ila huruma yako isikufanye umuoe UTAJUTA.
Huko ndan kuna povu la hatari!Najua jambo hili limezungumzwa hapa mara nyingi na hata baada yangu litajadiliwa mara nyingi kwa ustawi wa jamii yetu. Pia niweke wazi japo jambo lenyewe liko wazi ila kuna watu ni vinganganizi na mabish wasio na maarifa,
Japo pia andiko kangu halikusudii ati ndio uwachukie hapana tafadhali usifanye hivyo wamepitia mazito sana tayari ila tena unaweza kuwasupport financially au emotionally kwa kuwasikiliza madhila yao na kuwapa moyo ila KAMWE sio kuoa wala kudate nao utawaumiza yaidi na utaumia pia.
YOU CAN'T BE A WOMAN'S HERO WITHOUT ENHERITING HER PROBLEMS, NEVER.
1. Kwanini uendeleze matatizo ya mwanaume mwingine, kwamba wewe ndio una huruma sana no wewe ni mjinga sana.
2. Single mon daima priority yake ni mtoto/watoto wake period. Wewe kwake utakua namba mbili au tatu na hilo sio kwa ubaya ndio walivyoumbwa.
3. Hana uanamke ndani yake, kut
Unazijua sababu za yeye kukataa au unamlaumu tu?Kuna Single mother alizalishwa 2018 Sasa mwanaume aliyemzalisha anataka kumuoa Cha ajabu singo mother hataki anataka kuolewa na mwanaume mwingine, singo mother akili zao wanazijua wenyewe.
Anawezaje kuwa na hizo tabia akawa single mom?Sio kosa mwanaume kuoa single mom....tatizo akili zenu zafikiria bikira tu....sifa kubwa za mwanamke ni kuwa na upendo wa dhati,mwenye tabia njema,mwenye huruma,mchamungu,mwenye busara...sasa kama mwanamke single mom anazo hizo kwanini nisimuoe? DONT JUDGE A BOOK BY ITS COVERS
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahari hutolewa kwa Mwali (mwanamke Bikra) kama shukrani kwa Wazazi na Binti mwenyewe kwa kutunzwa na kujitunza.
Sababu anazozitoa ni kama hizi
Kwani nilazima mwanamke kuolewa na mwanaume aliyemzalisha? Huyu mwanamke yupo huru kuchagua nani wakumuoaKuna Single mother alizalishwa 2018 Sasa mwanaume aliyemzalisha anataka kumuoa Cha ajabu singo mother hataki anataka kuolewa na mwanaume mwingine, singo mother akili zao wanazijua wenyewe.
Tuwe wakweli tu tatizo huwa linanzia kwenye Hela Wala si single mother,Cc Diamond Platinum lol
-ni vizuri kuolewa na aliyekuzalisha japo unao uhuru WA kuchagua.Kwani nilazima mwanamke kuolewa na mwanaume aliyemzalisha? Huyu mwanamke yupo huru kuchagua nani wakumuoa
Katika Uislam, mahari ni wajibu kutolewa na haisihi ndoa bila mahari. Huyo mwanamke awe mwali au sio mwali, ni wajibu kupewa mahari yake.Mahari hutolewa kwa Mwali (mwanamke Bikra) kama shukrani kwa Wazazi na Binti mwenyewe kwa kutunzwa na kujitunza.
Kwa hiyo Kwa Sisi mikurubembe ndo kusemaje?
Afadhali wewe umetutia Moyo....Yani kisa single mother ndo ubebwe Kama embe lililojidondokea?!! Bila mahariKatika Uislam, mahari ni wajibu kutolewa na haisihi ndoa bila mahari. Huyo mwanamke awe mwali au sio mwali, ni wajibu kupewa mahari yake.
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?
Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.
Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.
Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao
WITO: raha ya soda ukute haijaonjwa
********** Mwenye mtazamo sawa na mwanzisha mada*********
Ushauri kwa waliooa Single Mothers
********** Mama yake amemkata asioe single Mother**********
********** Madhara ya mtoto wa kiume kulelewa na Single Mother**********
******** Kauli zilizowauzi waliokuwa kwenye mahusiano na Single Mothers**********