Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Najua jambo hili limezungumzwa hapa mara nyingi na hata baada yangu litajadiliwa mara nyingi kwa ustawi wa jamii yetu. Pia niweke wazi japo jambo lenyewe liko wazi ila kuna watu ni vinganganizi na mabish wasio na maarifa,

Japo pia andiko kangu halikusudii ati ndio uwachukie hapana tafadhali usifanye hivyo wamepitia mazito sana tayari ila tena unaweza kuwasupport financially au emotionally kwa kuwasikiliza madhila yao na kuwapa moyo ila KAMWE sio kuoa wala kudate nao utawaumiza yaidi na utaumia pia.

YOU CAN'T BE A WOMAN'S HERO WITHOUT ENHERITING HER PROBLEMS, NEVER.

1. Kwanini uendeleze matatizo ya mwanaume mwingine, kwamba wewe ndio una huruma sana no wewe ni mjinga sana.

2. Single mon daima priority yake ni mtoto/watoto wake period. Wewe kwake utakua namba mbili au tatu na hilo sio kwa ubaya ndio walivyoumbwa.

3. Hana uanamke ndani yake, kutokana na kulea mwenyewe single moms wanajikuta wanadevelop masculinity na kua na mwanamke wa kaliba hii ni sawa na kumuoa Rashidi (mwanaume mwenzako)

4. Broken beyond reppair. Hivi unajua maumivu aliyopitia ?! Single moms wamepitia maumivu makali na kuwahribu kabisa, hata ufanyie nini chuki dhidi ya wanaume haitomtoka kamwe. (Why would you chose to date such a woman who is like a time bomb ready to blow up)

5. Je unajua ni kwanini aliemzalisha alimuacha ?! Hongera kwa kujifanya kichwa maji marry her and you will soon find out, but hey, sorry for you it will be too late.

6. She will use you. Single moms akili yake hua inawaza mtoto make tu, yuko tayari kufanya lolote. Hata kuingia kwenye mahusiano hua ameshatazama uwezekano wa mwanae kupata mahitaji. Hakunaga eti single mom kakupenda NEVER kwao upendo ulishakauka.

Nirudie kusema usiwachukie maana wamepitia magumu mengi mimi na wewe hatujui ila huruma yako isikufanye umuoe UTAJUTA.
 
Najua jambo hili limezungumzwa hapa mara nyingi na hata baada yangu litajadiliwa mara nyingi kwa ustawi wa jamii yetu. Pia niweke wazi japo jambo lenyewe liko wazi ila kuna watu ni vinganganizi na mabish wasio na maarifa,

Japo pia andiko kangu halikusudii ati ndio uwachukie hapana tafadhali usifanye hivyo wamepitia mazito sana tayari ila tena unaweza kuwasupport financially au emotionally kwa kuwasikiliza madhila yao na kuwapa moyo ila KAMWE sio kuoa wala kudate nao utawaumiza yaidi na utaumia pia.

YOU CAN'T BE A WOMAN'S HERO WITHOUT ENHERITING HER PROBLEMS, NEVER.

1. Kwanini uendeleze matatizo ya mwanaume mwingine, kwamba wewe ndio una huruma sana no wewe ni mjinga sana.

2. Single mon daima priority yake ni mtoto/watoto wake period. Wewe kwake utakua namba mbili au tatu na hilo sio kwa ubaya ndio walivyoumbwa.

3. Hana uanamke ndani yake, kutokana na kulea mwenyewe single moms wanajikuta wanadevelop masculinity na kua na mwanamke wa kaliba hii ni sawa na kumuoa Rashidi (mwanaume mwenzako)

4. Broken beyond reppair. Hivi unajua maumivu aliyopitia ?! Single moms wamepitia maumivu makali na kuwahribu kabisa, hata ufanyie nini chuki dhidi ya wanaume haitomtoka kamwe. (Why would you chose to date such a woman who is like a time bomb ready to blow up)

5. Je unajua ni kwanini aliemzalisha alimuacha ?! Hongera kwa kujifanya kichwa maji marry her and you will soon find out, but hey, sorry for you it will be too late.

6. She will use you. Single moms akili yake hua inawaza mtoto make tu, yuko tayari kufanya lolote. Hata kuingia kwenye mahusiano hua ameshatazama uwezekano wa mwanae kupata mahitaji. Hakunaga eti single mom kakupenda NEVER kwao upendo ulishakauka.

Nirudie kusema usiwachukie maana wamepitia magumu mengi mimi na wewe hatujui ila huruma yako isikufanye umuoe UTAJUTA.
Makabila yetu mengi huo ndio utamaduni. makabila mengi kuoa KAYAMBA siyo aibu , ni sawa kabisa na ndiyo maana mtu anatolewa mahari hata mara 20 idadi ya wanaume waliomuoa!...pwani yote , usukumani, and many more tribes!
 
Kuna Single mother alizalishwa 2018 Sasa mwanaume aliyemzalisha anataka kumuoa Cha ajabu singo mother hataki anataka kuolewa na mwanaume mwingine, singo mother akili zao wanazijua wenyewe.
 
Najua jambo hili limezungumzwa hapa mara nyingi na hata baada yangu litajadiliwa mara nyingi kwa ustawi wa jamii yetu. Pia niweke wazi japo jambo lenyewe liko wazi ila kuna watu ni vinganganizi na mabish wasio na maarifa,

Japo pia andiko kangu halikusudii ati ndio uwachukie hapana tafadhali usifanye hivyo wamepitia mazito sana tayari ila tena unaweza kuwasupport financially au emotionally kwa kuwasikiliza madhila yao na kuwapa moyo ila KAMWE sio kuoa wala kudate nao utawaumiza yaidi na utaumia pia.

YOU CAN'T BE A WOMAN'S HERO WITHOUT ENHERITING HER PROBLEMS, NEVER.

1. Kwanini uendeleze matatizo ya mwanaume mwingine, kwamba wewe ndio una huruma sana no wewe ni mjinga sana.

2. Single mon daima priority yake ni mtoto/watoto wake period. Wewe kwake utakua namba mbili au tatu na hilo sio kwa ubaya ndio walivyoumbwa.

3. Hana uanamke ndani yake, kut
Huko ndan kuna povu la hatari!
nimesoma pages 8 tu[emoji3]
 
Haya mambo hayana uhalisia

By my side naona ili uishi na single mother kwanza kabisa mfanye kuwa na amani ya moyo

Hakuna mwanamke ambae anaweza kuacha amani ya moyo

Wengi wao huwa wanarudi kwa wazazi wenza ili wapate value kama wanawake wengine
Sometime men tunakosea tunadhani ukioa single mother basi umepata mwanamke aliyekamilika (hatutaki wakosee hata kidogo)

Merry her mpe amani ya moyo kwa kuwa yeye anakupenda basi mlipe na yeye upendo kwa kumpenda mtoto wake

For single mother kama mzazi mwenzio hana msaada kwa mtoto na hafanani na mtoto mwambie kuwa huyo sio mwanae itakusaidia yeye kuondoka kwenye life lako........inahitaji roho ngumu saana kuowa mwanamke ambae bado anaitwa wifi na watu ambao sio dada zako
255652353819_status_1ec888c5e9834249a0b77cf1aac09d20.jpg
 
Sio kosa mwanaume kuoa single mom....tatizo akili zenu zafikiria bikira tu....sifa kubwa za mwanamke ni kuwa na upendo wa dhati,mwenye tabia njema,mwenye huruma,mchamungu,mwenye busara...sasa kama mwanamke single mom anazo hizo kwanini nisimuoe? DONT JUDGE A BOOK BY ITS COVERS

Sent using Jamii Forums mobile app
Anawezaje kuwa na hizo tabia akawa single mom?
 
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?

Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.

Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.

Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao

WITO: raha ya soda ukute haijaonjwa

********** Mwenye mtazamo sawa na mwanzisha mada*********





Ushauri kwa waliooa Single Mothers



********** Mama yake amemkata asioe single Mother**********



********** Madhara ya mtoto wa kiume kulelewa na Single Mother**********



******** Kauli zilizowauzi waliokuwa kwenye mahusiano na Single Mothers**********

 
Back
Top Bottom