Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya kujibu tu. Atakayechukia shauri zake.ujana Bwana! raha sana!
nikijibu mtaona nawatukana wacha nitulie japo nakereketwa balaa
Kayamba ni niniMakabila yetu mengi huo ndio utamaduni. makabila mengi kuoa KAYAMBA siyo aibu , ni sawa kabisa na ndiyo maana mtu anatolewa mahari hata mara 20 idadi ya wanaume waliomuoa!...pwani yote , usukumani, and many more tribes!
Aolewe na aliezaa nae mimi ningekua rais ningepitisha sheria wanawake waolewe na waliozaa naoKwani nilazima mwanamke kuolewa na mwanaume aliyemzalisha? Huyu mwanamke yupo huru kuchagua nani wakumuoa
Haipingwi hyo mkuu!!!Najua jambo hili limezungumzwa hapa mara nyingi na hata baada yangu litajadiliwa mara nyingi kwa ustawi wa jamii yetu. Pia niweke wazi japo jambo lenyewe liko wazi ila kuna watu ni vinganganizi na mabish wasio na maarifa,
Japo pia andiko kangu halikusudii ati ndio uwachukie hapana tafadhali usifanye hivyo wamepitia mazito sana tayari ila tena unaweza kuwasupport financially au emotionally kwa kuwasikiliza madhila yao na kuwapa moyo ila KAMWE sio kuoa wala kudate nao utawaumiza yaidi na utaumia pia.
YOU CAN'T BE A WOMAN'S HERO WITHOUT ENHERITING HER PROBLEMS, NEVER.
1. Kwanini uendeleze matatizo ya mwanaume mwingine, kwamba wewe ndio una huruma sana no wewe ni mjinga sana.
2. Single mon daima priority yake ni mtoto/watoto wake period. Wewe kwake utakua namba mbili au tatu na hilo sio kwa ubaya ndio walivyoumbwa.
3. Hana uanamke ndani yake, kutokana na kulea mwenyewe single moms wanajikuta wanadevelop masculinity na kua na mwanamke wa kaliba hii ni sawa na kumuoa Rashidi (mwanaume mwenzako)
4. Broken beyond reppair. Hivi unajua maumivu aliyopitia ?! Single moms wamepitia maumivu makali na kuwahribu kabisa, hata ufanyie nini chuki dhidi ya wanaume haitomtoka kamwe. (Why would you chose to date such a woman who is like a time bomb ready to blow up)
5. Je unajua ni kwanini aliemzalisha alimuacha ?! Hongera kwa kujifanya kichwa maji marry her and you will soon find out, but hey, sorry for you it will be too late.
6. She will use you. Single moms akili yake hua inawaza mtoto make tu, yuko tayari kufanya lolote. Hata kuingia kwenye mahusiano hua ameshatazama uwezekano wa mwanae kupata mahitaji. Hakunaga eti single mom kakupenda NEVER kwao upendo ulishakauka.
Nirudie kusema usiwachukie maana wamepitia magumu mengi mimi na wewe hatujui ila huruma yako isikufanye umuoe UTAJUTA.
Basi kama hamtaki huyo mwanaume bora amekua muwazi mapema, ndoa na mtu usieridhika nae itakua na mabalaa tu.Sababu anazozitoa ni kama hizi
(I) anasema eti alitelekezwa na huyo jamaa
(II)anasema basi TU hamtaki huyo jamaa
N.b Jamaa Yuko serious anataka kutoa mahari kabisa na mahari ashalipa ila demu ndio hataki kuolewa naye.
Labda sheria ya kutozaa hadi ndoa ingekua poa zaidi.Aolewe na aliezaa nae mimi ningekua rais ningepitisha sheria wanawake waolewe na waliozaa nao
Wazo zuri Sana hili mkuu.Aolewe na aliezaa nae mimi ningekua rais ningepitisha sheria wanawake waolewe na waliozaa nao
Kama unamtazamo huo kuhusu single mother basi jitahidi sana na usiwe mmoja wa vijana wanaowapa watoto wa kike ujauzito na kuwakataa na pia unauhakika gani kama huyo uliyenaye yupo salama unaweza kuta ametumika kuliko hata huyo single mother, kikubwa jifunze kuheshimu wanawakeUnatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?
Pole sana utapata single father mwenzioEti asioe single mother...puuuh! Na wewe mwanaume mbona ushatumika saana. Una upya gani? Au kwa kuwa wewe mwanaume huzalishwiii?? Pyuuuuuu[emoji57]
Tatizo jamaa kashalipa na mahari kabisa😀Basi kama hamtaki huyo mwanaume bora amekua muwazi mapema, ndoa na mtu usieridhika nae itakua na mabalaa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Arudishiwe mahali yake, ndoa si ya kulazimisha.Tatizo jamaa kashalipa na mahari kabisa[emoji3]
Mkuu ume nena jambo rafikiangu alikutana na singo mother ambaye kiukweli moyo wa kupenda hauko ndani yake tena juzi ameniambia kwamba, yani kupenda single mother ni sawa na kujitwisha gunia la mavi ambalo Muda wowote lina kunukia.
Kuna nyuzi huwa zinaumiza na kujeruhi mno hisia za watu, hasa watoto wa kike. Ukiuliza tumefikaje huku, huwezi kupata majibu.....
Inahitaji ukomavu mkubwa wa akili kuelewa baadhi ya mambo.Zinaumiza in general
Aolewe na aliezaa nae mimi ningekua rais ningepitisha sheria wanawake waolewe na waliozaa nao
Monalisa kazaa na watu watatu 1. Tyson 2. Mwaka 3. Mpemba aolewe na Nani hapo?
NB: Hapo bado anatamani ndoa eti.
Aolewe na aliezaa nae mimi ningekua rais ningepitisha sheria wanawake waolewe na waliozaa nao