Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
ujana Bwana! raha sana!
nikijibu mtaona nawatukana wacha nitulie japo nakereketwa balaa
 
Makabila yetu mengi huo ndio utamaduni. makabila mengi kuoa KAYAMBA siyo aibu , ni sawa kabisa na ndiyo maana mtu anatolewa mahari hata mara 20 idadi ya wanaume waliomuoa!...pwani yote , usukumani, and many more tribes!
Kayamba ni nini
 
Najua jambo hili limezungumzwa hapa mara nyingi na hata baada yangu litajadiliwa mara nyingi kwa ustawi wa jamii yetu. Pia niweke wazi japo jambo lenyewe liko wazi ila kuna watu ni vinganganizi na mabish wasio na maarifa,

Japo pia andiko kangu halikusudii ati ndio uwachukie hapana tafadhali usifanye hivyo wamepitia mazito sana tayari ila tena unaweza kuwasupport financially au emotionally kwa kuwasikiliza madhila yao na kuwapa moyo ila KAMWE sio kuoa wala kudate nao utawaumiza yaidi na utaumia pia.

YOU CAN'T BE A WOMAN'S HERO WITHOUT ENHERITING HER PROBLEMS, NEVER.

1. Kwanini uendeleze matatizo ya mwanaume mwingine, kwamba wewe ndio una huruma sana no wewe ni mjinga sana.

2. Single mon daima priority yake ni mtoto/watoto wake period. Wewe kwake utakua namba mbili au tatu na hilo sio kwa ubaya ndio walivyoumbwa.

3. Hana uanamke ndani yake, kutokana na kulea mwenyewe single moms wanajikuta wanadevelop masculinity na kua na mwanamke wa kaliba hii ni sawa na kumuoa Rashidi (mwanaume mwenzako)

4. Broken beyond reppair. Hivi unajua maumivu aliyopitia ?! Single moms wamepitia maumivu makali na kuwahribu kabisa, hata ufanyie nini chuki dhidi ya wanaume haitomtoka kamwe. (Why would you chose to date such a woman who is like a time bomb ready to blow up)

5. Je unajua ni kwanini aliemzalisha alimuacha ?! Hongera kwa kujifanya kichwa maji marry her and you will soon find out, but hey, sorry for you it will be too late.

6. She will use you. Single moms akili yake hua inawaza mtoto make tu, yuko tayari kufanya lolote. Hata kuingia kwenye mahusiano hua ameshatazama uwezekano wa mwanae kupata mahitaji. Hakunaga eti single mom kakupenda NEVER kwao upendo ulishakauka.

Nirudie kusema usiwachukie maana wamepitia magumu mengi mimi na wewe hatujui ila huruma yako isikufanye umuoe UTAJUTA.
Haipingwi hyo mkuu!!!
 
Sababu anazozitoa ni kama hizi
(I) anasema eti alitelekezwa na huyo jamaa
(II)anasema basi TU hamtaki huyo jamaa
N.b Jamaa Yuko serious anataka kutoa mahari kabisa na mahari ashalipa ila demu ndio hataki kuolewa naye.
Basi kama hamtaki huyo mwanaume bora amekua muwazi mapema, ndoa na mtu usieridhika nae itakua na mabalaa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?


Kama unamtazamo huo kuhusu single mother basi jitahidi sana na usiwe mmoja wa vijana wanaowapa watoto wa kike ujauzito na kuwakataa na pia unauhakika gani kama huyo uliyenaye yupo salama unaweza kuta ametumika kuliko hata huyo single mother, kikubwa jifunze kuheshimu wanawake
 
Aolewe na aliezaa nae mimi ningekua rais ningepitisha sheria wanawake waolewe na waliozaa nao



Sasa unakuta hayakuwepo makubaliano ya kuzaa kati ya hao wapenzi wawili.
Mwanaume alijua wanafanya ngono tu Na kupita kumbe Mwanamke ametegesha mimba au ni mzembe hajijui kalenda yake unategemea Mwanaume atakuwa tayari kubeba majukumu au kuoa?!
 
Back
Top Bottom