Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
sahihi kabisa mkuu,ila pia umesahau hatama kama una haiba,wewe ni tajiri,wewe ni handsome ila kama haumpelekei moto kisawasawa bado atapigwa miti tu

Hiyo factor ni constant alafu Hii inahusu Faragha.
Kumbuka Mwanamke anahitaji Watoto WAZURI, na watoto wazuri wanapatikana ka mbegu za wanaume wazuri.
Pili, Mwanamke anahitaji Huduma zake na zawatoto wake. Hapo ndipo Pesa inapoingia.
 
Uwe na Pesa alafu uwe na haiba, kisha uwe na nguvu za KIUME.
Mwanamke hawezi kukusumbua.
Migogoro itakuwa NI Ile ya Maisha ya kawaida
Siamini kama unaweza kupata hata 1% ya wanaume wenye pesa + Haiba + Nguvu za kiume
Unajua sayansi ya kuwa na pesa ni kuwa UNCOMFORTABLE. Msidanganyike na ma Model wa kwenye TV wale ni masikini. Huwezi kuwa mtu busy na business zako alafu unawaza kumpiga demu magoli matano hizo ni ndoto za watu masikini.

Ndio maana nasema mwanamke hawaeleweki akipata mtu mwenye six pack atakosa pesa, akipata mtu mwenye pesa atapata kitambi sio mwonekano, Akipata mtu mwenye uwezo wa kupiga goli tano mtu huyo hataweza kumnunulia iphone 14

Kwahiyo Mwanamke kamili anajua hakuna mtu perfect awe mwenye hela au asie na pesa. Ndio maana case yako hai-apply
 
Single mother ni single mother tuu.

Hata kama aliyemzalisha amekufa, elewa kuna legacy yake Kwa huyo single mother lazima uizidi Kwa mbali Mno. Vinginevyo hataisha kukunyanyasa Dunia ingalipo.
Kila siku kumkumbuka aliyemzalisha,
Kujihusisha na familia ya aliyemzalisha.
Hivyo yaani
Kumbuka ukifa ukiwa kijana hivyo mkeo atakuwa single mother!! Au hata ukiachana nae pia

Kwahiyo utataka tumuache tu kiunyonge mpk akufe bila wasamaria wema kumnusuru..

Acha ubinafsi .Single mother Ni idealistic concept tu.. vijana wengi mliochini ya miaka 30 ndio mnatupigia kelele humu.
 
Kumbuka ukifa ukiwa kijana hivyo mkeo atakuwa single mother!! Au hata ukiachana nae pia

Kwahiyo utataka tumuache tu kiunyonge mpk akufe bila wasamaria wema kumnusuru..

Acha ubinafsi .Single mother Ni idealistic concept tu.. vijana wengi mliochini ya miaka 30 ndio mnatupigia kelele humu.

Ni MTU mjinga anayeshindwa kutofautisha single mother na A widow.

Pili, hakuna sehemu nimazuia mtu asieo single mothers

Tatu, kuoa Mwanamke single mother sio usamaria Wema, kuoa ni ishu ya upendo.
Hakunaga upendo wa huruma

Nne, Vijana WA umri huo ulioutaja ndio wengi wanawachapia wake zenu ninyi mnaojiona wakubwa kiumri
 
UKIOA SINGLE MOTHER HAKIKISHA MWANAUME ALIYEMZALISHA UMEMZIDI MAMBO HAYA!

Anaandika, Robert Heriel

Usije ukajichanganya, wala asije akakudanganya mtu yeyote. Single mother sio good match kwenye mahusiano hasa Kwa kijana mdogo mwenye umri Chini ya miaka 40.
Single mother wanahitaji mwanaume aliyekomaa kama Simba Bob Junior.

Elewa kuwa asilimia 90 ya single mother wanamajeraha makubwa na maumivu ya mapenzi, na tayari wanaathari za kisaikolojia katika mapenzi. Hivyo wengi ni wagonjwa wa kisaikolojia.
Hii ni kusema, Kabla hujamuoa single mother ni lazima uhakikishe unamtibu ugonjwa wake wa Kihisia Baada ya kuwa Disappointed na Mwanaume wa awali.
Sasa wewe jichanganye uone yupo Sawa Kwa vile anakuchekea, mnaongea vizuri, sio kweli, wengi ni wagonjwa.

Bila kupoteza muda, Kabla hujamuoa single mother hakikisha mwanaume aliyemzalisha umemzidi mambo yafuatayo;

1. Haiba, Mvuto na mwonekano.
Usije ukajichanganya hata siku Moja, Haiba na mwonekano wa mwanaume ni moja ya mambo ambayo Wanawake wote Duniani wanajivunia. Hakuna mwanamke asiyependa mwanaume asiye na Mvuto. Wasije wakakudanganya na unafiki wao.

Wanawake hawanaga ujanja Mbele ya wanaume wenye haiba, Mvuto na mwonekano mzuri. Tena huyo Mwanaume ATI ndio aliyemzalisha, hapo ndio kabisaa!

Ni lazima umzidi Mwanaume aliyemzalisha Haiba, Mvuto, na mwonekano.
Asije kukudanganya ati hawawasiliani, Huko ni kuzidiwa Akili na Mwanamke.
Elewa kuwa Single mother hata kama atakuwa anachuki vipi Kwa aliyemzalisha lakini kamwe hatoweza kujilaumu kuzaa na Mwanaume mwenye haiba, Mvuto na mwonekano.
Na sio ajabu akawa anajivunia Mbele ya ndugu, rafiki na watoto wake kuwa Mwanaume Fulani alistahili kuwa naye katika safari ya Maisha, hata kama haikuwa riziki kuoana.

Kingine, elewa kuwa ikiwa haujamzidi Aliyemzalisha Kwa haiba, Mvuto na mwonekano Kwa Mwanamke ataihesabu kama aibu kwake, na atakuona wewe sio hadhi yake, hivyo lazima akutese.
Yaani aache kuwasiliana na Mwanaume aliyekuzidi kisa wewe umemuoa😂😂 huwajui Wanawake wewe,

2. Umzidi kiuchumi na kifedha.
Wanawake hawajawahi kujuta kuzalishwa na wanaume wenye uchumi mkubwa na matajiri. Hata kama waachane na kugombana vipi. Bado Mwanamke atajivunia na kuona Sifa kuwa anamahusiano na Mzazi mwenza.
Uliona wapi Mwanamke akamsumbua mwanaume masikini aliyemzalisha? Uliona wapi?

Elewa kuwa Wanawake kwao ni ufahari kuchukua majina ya wanaume wenye sifa Fulani kubwa kama matajiri, Watu mashuhuri, Watawala n.k.
Elewa kuwa utakapomuoa mwanamke aliyezalishwa au aliyewahi kuachwa na Mwanaume mwenye uchumi mkubwa, kwake atataka kutambulika kwa jina la Yule mwanaume mwenye Pesa au tajiri kuliko wewe kapuku.

Kabla hajaoa single mother, jihakikishie kabisa mwanaume aliyemzalisha umemzidi kiuchumi, kifedha na kiutajiri.

Mwanamke hajawahi kuacha kitu Kizuri, fedha, na utajiri hata siku Moja.

Kitendo cha kuona Mwanamke uliyemuoa anawasiliana na Mwanaume aliyemzalisha Kwa kisingizio cha mzazi mwenza kitaalamu Sisi kina Taikon tutakuambia huyo Mwanaume anavigezo Fulani alivyokuzidi aidha ni Mzuri/handsome boy, anahaiba au mwonekano mzuri kukushinda au anafedha kukushinda.

Mwanamke akimpata Mwanaume wa hadhi anayoitaka yaani mzuri/handsome boy au mwenye kipato cha juu automatically ataleta dharau Kwa aliyemzalisha, yaani atataka ajitenge naye na kukata mawasiliano kabisa ili asijeharibu mahusiano yake yenye tija.

Single mother wanahitaji wanaume Heavy weight iwe kiuchumi au kimwonekano au kihadhi.

Na sio single mother tuu, hiyo ni kawaida na asili ya Wanawake wote Duniani.
Mwanamke hata ambaye hajazalishwa, ikiwa yupo sehemu nzuri na Mwanaume wa uchumi wa juu au mwenye mwonekano automatically huwadharau Watu wa hadhi ya Chini.

Ni kawaida mwanamke kwenda kushiriki kwenye matukio ya mwanaume aliyemzalisha kama matukio ya misiba, harusi n.k. ikiwa mwanaume huyo anauchumi mzuri.
Yeye naye atataka ajulikane naye aliwahi kuwa na umiliki Kwa huyo mwanaume.

Mwanamke haishii hapo, hata Watoto aliowazaa kwake ni Sifa kuitwa jina la tajiri au mwenye mamlaka ikiwa tuu alimzalisha.
Lakini wewe kapuku na usiye na Mbele wa Nyuma, sio ajabu Mwanamke hata jina la mtoto asiitwe ubin wako.

Nasisitiza, Mwanamke hajawahi kususa na kuacha kitu Kizuri na utajiri. Haipo hiyo.
Kama umezidiwa na aliyemzalisha Mwanamke uliyenaye alafu anakuambia hawasiliani naye. Jua anakudanganya.

Na hapo ndipo mnapoambiwa Wanawake wanawazidi Akili Kwa sababu ya kuamini maneno Yao kama wajinga wajinga.

Mwisho, Mwanamke anasikia aibu kuoelewa na wewe ikiwa aliyekuwa naye awali alikuwa amekuzidi Kwa mbali Mno.
Kudharauliwa katika mazingira hayo ni Constantly.

Sabato NJEMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Sawa kabisa mkuu heshima kwako .....
 
Ohoo. Hujui wewe. Yaani wewe ni kapuku huna mbele wala nyuma mwanamke alale na wewe kisa tu alishazaa na wewe? Thubutu! Tena atakuchukua mpaka utajichukia mwenyewe. Atabadilika kabisa kabisa na anaweza kukuitia polisi ukimkaribia. Hata watoto akiwa na uwezo wa kuwafanya waamini baba yao siyo wewe atafanya.
Wanaume,

Hii tabia ya "Kujiona Spesho/Wakipekee", imewapoteza Vijana wengi sana. Waliamini kisa wana Mali/mionekano kuzidi Baba watoto aliyezalisha, basi wanaweza kuwatuliza Single Mothers. ila cha Moto walikiona, wanakiona, na wengine wanaobisha hapa watakiona.

Women are loyal to their Feelings. Wanawake wanajali sana hisia zao kuliko kitu chochote. Hizi Materia things kwa Wanawake ni takataka tu. Linapokuja swala la hisia zao, Mwanamke analala na mtu yeyote, sio Kapuku tu. Ni yeyote

OA single Mother, at your own Risk.
 
Siamini kama unaweza kupata hata 1% ya wanaume wenye pesa + Haiba + Nguvu za kiume
Unajua sayansi ya kuwa na pesa ni kuwa UNCOMFORTABLE. Msidanganyike na ma Model wa kwenye TV wale ni masikini. Huwezi kuwa mtu busy na business zako alafu unawaza kumpiga demu magoli matano hizo ni ndoto za watu masikini.

Ndio maana nasema mwanamke hawaeleweki akipata mtu mwenye six pack atakosa pesa, akipata mtu mwenye pesa atapata kitambi sio mwonekano, Akipata mtu mwenye uwezo wa kupiga goli tano mtu huyo hataweza kumnunulia iphone 14

Kwahiyo Mwanamke kamili anajua hakuna mtu perfect awe mwenye hela au asie na pesa. Ndio maana case yako hai-apply

Hakuna mwanamke kamili😄😄 hiyo ikae kwenye Akili.

WANAWAKE NI VIUMBE wenye madhaifu mengi madogo madogo, Mwanamke anahitaji mwanaume aliyekamilika Kiakili, kihisia, kiuchumi, Kiroho, na kimaumbile ili kuficha madhaifu yake(madhaifu ya Mwanamke).
 
Wanaume,

Hii tabia ya "EXCEPT ME", imewapoteza Vijana wengi sana. Waliamini kisa wana Mali/mionekano kuzidi Baba watoto aliyezalisha, basi wanaweza kuwatuliza Single Mothers. ila cha Moto walikiona, wanakiona, na wengine wanaobisha hapa watakiona.

Women are loyal to their Feelings. Wanawake wanajali sana hisia zao kuliko kitu chochote. Hizi Materia things kwa Wanawake ni takataka tu. Linapokuja swala la hisia zao, Mwanamke analala na mtu yeyote, sio Kapuku tu. Ni yeyote

OA single Mother, at your own Risk.
safi wewe unajua


Nenda Magharibi rudi mashariki Wanawake wanaendeshwa na emotions na empathy wewe tafuta hela na uwe handsome sijui haiba kama hamconnect emotionally hamtafika.
 
Wanaume,

Hii tabia ya "EXCEPT ME", imewapoteza Vijana wengi sana. Waliamini kisa wana Mali/mionekano kuzidi Baba watoto aliyezalisha, basi wanaweza kuwatuliza Single Mothers. ila cha Moto walikiona, wanakiona, na wengine wanaobisha hapa watakiona.

Women are loyal to their Feelings. Wanawake wanajali sana hisia zao kuliko kitu chochote. Hizi Materia things kwa Wanawake ni takataka tu. Linapokuja swala la hisia zao, Mwanamke analala na mtu yeyote, sio Kapuku tu. Ni yeyote

OA single Mother, at your own Risk.

Ndio maana Wanawake inasadikika wanaakili katika Muktadha wa Aina hiyo.
Kuaminisha wanaume wajinga Kwa maneno Yao ya Uongo
 
Back
Top Bottom