Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
UKIOA SINGLE MOTHER HAKIKISHA MWANAUME ALIYEMZALISHA UMEMZIDI MAMBO HAYA!

Anaandika, Robert Heriel

Usije ukajichanganya, wala asije akakudanganya mtu yeyote. Single mother sio good match kwenye mahusiano hasa Kwa kijana mdogo mwenye umri Chini ya miaka 40.
Single mother wanahitaji mwanaume aliyekomaa kama Simba Bob Junior.

Elewa kuwa asilimia 90 ya single mother wanamajeraha makubwa na maumivu ya mapenzi, na tayari wanaathari za kisaikolojia katika mapenzi. Hivyo wengi ni wagonjwa wa kisaikolojia.
Hii ni kusema, Kabla hujamuoa single mother ni lazima uhakikishe unamtibu ugonjwa wake wa Kihisia Baada ya kuwa Disappointed na Mwanaume wa awali.
Sasa wewe jichanganye uone yupo Sawa Kwa vile anakuchekea, mnaongea vizuri, sio kweli, wengi ni wagonjwa.

Bila kupoteza muda, Kabla hujamuoa single mother hakikisha mwanaume aliyemzalisha umemzidi mambo yafuatayo;

1. Haiba, Mvuto na mwonekano.
Usije ukajichanganya hata siku Moja, Haiba na mwonekano wa mwanaume ni moja ya mambo ambayo Wanawake wote Duniani wanajivunia. Hakuna mwanamke asiyependa mwanaume asiye na Mvuto. Wasije wakakudanganya na unafiki wao.

Wanawake hawanaga ujanja Mbele ya wanaume wenye haiba, Mvuto na mwonekano mzuri. Tena huyo Mwanaume ATI ndio aliyemzalisha, hapo ndio kabisaa!

Ni lazima umzidi Mwanaume aliyemzalisha Haiba, Mvuto, na mwonekano.
Asije kukudanganya ati hawawasiliani, Huko ni kuzidiwa Akili na Mwanamke.
Elewa kuwa Single mother hata kama atakuwa anachuki vipi Kwa aliyemzalisha lakini kamwe hatoweza kujilaumu kuzaa na Mwanaume mwenye haiba, Mvuto na mwonekano.
Na sio ajabu akawa anajivunia Mbele ya ndugu, rafiki na watoto wake kuwa Mwanaume Fulani alistahili kuwa naye katika safari ya Maisha, hata kama haikuwa riziki kuoana.

Kingine, elewa kuwa ikiwa haujamzidi Aliyemzalisha Kwa haiba, Mvuto na mwonekano Kwa Mwanamke ataihesabu kama aibu kwake, na atakuona wewe sio hadhi yake, hivyo lazima akutese.
Yaani aache kuwasiliana na Mwanaume aliyekuzidi kisa wewe umemuoa😂😂 huwajui Wanawake wewe,

2. Umzidi kiuchumi na kifedha.
Wanawake hawajawahi kujuta kuzalishwa na wanaume wenye uchumi mkubwa na matajiri. Hata kama waachane na kugombana vipi. Bado Mwanamke atajivunia na kuona Sifa kuwa anamahusiano na Mzazi mwenza.
Uliona wapi Mwanamke akamsumbua mwanaume masikini aliyemzalisha? Uliona wapi?

Elewa kuwa Wanawake kwao ni ufahari kuchukua majina ya wanaume wenye sifa Fulani kubwa kama matajiri, Watu mashuhuri, Watawala n.k.
Elewa kuwa utakapomuoa mwanamke aliyezalishwa au aliyewahi kuachwa na Mwanaume mwenye uchumi mkubwa, kwake atataka kutambulika kwa jina la Yule mwanaume mwenye Pesa au tajiri kuliko wewe kapuku.

Kabla hajaoa single mother, jihakikishie kabisa mwanaume aliyemzalisha umemzidi kiuchumi, kifedha na kiutajiri.

Mwanamke hajawahi kuacha kitu Kizuri, fedha, na utajiri hata siku Moja.

Kitendo cha kuona Mwanamke uliyemuoa anawasiliana na Mwanaume aliyemzalisha Kwa kisingizio cha mzazi mwenza kitaalamu Sisi kina Taikon tutakuambia huyo Mwanaume anavigezo Fulani alivyokuzidi aidha ni Mzuri/handsome boy, anahaiba au mwonekano mzuri kukushinda au anafedha kukushinda.

Mwanamke akimpata Mwanaume wa hadhi anayoitaka yaani mzuri/handsome boy au mwenye kipato cha juu automatically ataleta dharau Kwa aliyemzalisha, yaani atataka ajitenge naye na kukata mawasiliano kabisa ili asijeharibu mahusiano yake yenye tija.

Single mother wanahitaji wanaume Heavy weight iwe kiuchumi au kimwonekano au kihadhi.

Na sio single mother tuu, hiyo ni kawaida na asili ya Wanawake wote Duniani.
Mwanamke hata ambaye hajazalishwa, ikiwa yupo sehemu nzuri na Mwanaume wa uchumi wa juu au mwenye mwonekano automatically huwadharau Watu wa hadhi ya Chini.

Ni kawaida mwanamke kwenda kushiriki kwenye matukio ya mwanaume aliyemzalisha kama matukio ya misiba, harusi n.k. ikiwa mwanaume huyo anauchumi mzuri.
Yeye naye atataka ajulikane naye aliwahi kuwa na umiliki Kwa huyo mwanaume.

Mwanamke haishii hapo, hata Watoto aliowazaa kwake ni Sifa kuitwa jina la tajiri au mwenye mamlaka ikiwa tuu alimzalisha.
Lakini wewe kapuku na usiye na Mbele wa Nyuma, sio ajabu Mwanamke hata jina la mtoto asiitwe ubin wako.

Nasisitiza, Mwanamke hajawahi kususa na kuacha kitu Kizuri na utajiri. Haipo hiyo.
Kama umezidiwa na aliyemzalisha Mwanamke uliyenaye alafu anakuambia hawasiliani naye. Jua anakudanganya.

Na hapo ndipo mnapoambiwa Wanawake wanawazidi Akili Kwa sababu ya kuamini maneno Yao kama wajinga wajinga.

Mwisho, Mwanamke anasikia aibu kuoelewa na wewe ikiwa aliyekuwa naye awali alikuwa amekuzidi Kwa mbali Mno.
Kudharauliwa katika mazingira hayo ni Constantly.

Sabato NJEMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kitu ambacho unapaswa kujua kwa mwanamke ni kwamba anatumia zaidi hisia kuliko logic. Mwonekano na fedha hizo zote ni logic maana wapo wengi ni wazuri na wana pesa ila wanagongewa.

Mwanamke akishakuvulia chupi mara moja, basi ujue wewe ni udhaifu wake. Mwanamme yeyote aliyemzalisha mwanamke anaweza kumgonga anytime ata kama ana muonekano mbovu na kazidiwa pesa.

Ndo maana mwanamke ni rahisi kurudiana na ex wake kuliko kuanzisha mahusiano mapya.

Ukioa singo mama ujue umeoa mke wa mtu, at any time T lazima agongwe.
 
UNAPO OA MAANA YAKE UNAMILIKI MKE, SASA UNAWEZAJE MILIKI ALIYEZALISHWA?
HIZI MAMBO ZA KUKIMBILIA KUOA HIZI.
ENDELEENI TU
 
NIMEONA KWENYE MISIBA MINGI, MWANAMKE ALIYEZAA NA MTU KISHA AKAJA KUOLEWA.
ANA KWENDA KWENYE MSIBA WA ALIYEKUWA MAMA/BABA MKWE. KWANI BADO NI BABA/BIBI WA MTOTO WAKE.
HUKO MSIBANI ANAKWENDA KUKUTANA NA BABA MTOTO WAKE, WANAKUMBATIANA NA KUPEANA POLE.BAADA YA MAZISHI WAKO WOTE MPAKA SIKU MWANAMKE ATAKAPO ONDOKA, NA ANASINDIKIZWA.

MATOKEO: 1.UNYUMBA UNAFANYIKA 2.MAWASILIANO YAO YANA IMARIKA.
 
Kibaya ni kwamba mzidi vyote ila yeye kakuzidi kwenye kupanda mbegu. Cha msingi tutambue singo maza ni upopoma mtupu.
 
UKIOA SINGLE MOTHER HAKIKISHA MWANAUME ALIYEMZALISHA UMEMZIDI MAMBO HAYA!

Anaandika, Robert Heriel

Usije ukajichanganya, wala asije akakudanganya mtu yeyote. Single mother sio good match kwenye mahusiano hasa Kwa kijana mdogo mwenye umri Chini ya miaka 40.
Single mother wanahitaji mwanaume aliyekomaa kama Simba Bob Junior.

Elewa kuwa asilimia 90 ya single mother wanamajeraha makubwa na maumivu ya mapenzi, na tayari wanaathari za kisaikolojia katika mapenzi. Hivyo wengi ni wagonjwa wa kisaikolojia.
Hii ni kusema, Kabla hujamuoa single mother ni lazima uhakikishe unamtibu ugonjwa wake wa Kihisia Baada ya kuwa Disappointed na Mwanaume wa awali.
Sasa wewe jichanganye uone yupo Sawa Kwa vile anakuchekea, mnaongea vizuri, sio kweli, wengi ni wagonjwa.

Bila kupoteza muda, Kabla hujamuoa single mother hakikisha mwanaume aliyemzalisha umemzidi mambo yafuatayo;

1. Haiba, Mvuto na mwonekano.
Usije ukajichanganya hata siku Moja, Haiba na mwonekano wa mwanaume ni moja ya mambo ambayo Wanawake wote Duniani wanajivunia. Hakuna mwanamke asiyependa mwanaume asiye na Mvuto. Wasije wakakudanganya na unafiki wao.

Wanawake hawanaga ujanja Mbele ya wanaume wenye haiba, Mvuto na mwonekano mzuri. Tena huyo Mwanaume ATI ndio aliyemzalisha, hapo ndio kabisaa!

Ni lazima umzidi Mwanaume aliyemzalisha Haiba, Mvuto, na mwonekano.
Asije kukudanganya ati hawawasiliani, Huko ni kuzidiwa Akili na Mwanamke.
Elewa kuwa Single mother hata kama atakuwa anachuki vipi Kwa aliyemzalisha lakini kamwe hatoweza kujilaumu kuzaa na Mwanaume mwenye haiba, Mvuto na mwonekano.
Na sio ajabu akawa anajivunia Mbele ya ndugu, rafiki na watoto wake kuwa Mwanaume Fulani alistahili kuwa naye katika safari ya Maisha, hata kama haikuwa riziki kuoana.

Kingine, elewa kuwa ikiwa haujamzidi Aliyemzalisha Kwa haiba, Mvuto na mwonekano Kwa Mwanamke ataihesabu kama aibu kwake, na atakuona wewe sio hadhi yake, hivyo lazima akutese.
Yaani aache kuwasiliana na Mwanaume aliyekuzidi kisa wewe umemuoa😂😂 huwajui Wanawake wewe,

2. Umzidi kiuchumi na kifedha.
Wanawake hawajawahi kujuta kuzalishwa na wanaume wenye uchumi mkubwa na matajiri. Hata kama waachane na kugombana vipi. Bado Mwanamke atajivunia na kuona Sifa kuwa anamahusiano na Mzazi mwenza.
Uliona wapi Mwanamke akamsumbua mwanaume masikini aliyemzalisha? Uliona wapi?

Elewa kuwa Wanawake kwao ni ufahari kuchukua majina ya wanaume wenye sifa Fulani kubwa kama matajiri, Watu mashuhuri, Watawala n.k.
Elewa kuwa utakapomuoa mwanamke aliyezalishwa au aliyewahi kuachwa na Mwanaume mwenye uchumi mkubwa, kwake atataka kutambulika kwa jina la Yule mwanaume mwenye Pesa au tajiri kuliko wewe kapuku.

Kabla hajaoa single mother, jihakikishie kabisa mwanaume aliyemzalisha umemzidi kiuchumi, kifedha na kiutajiri.

Mwanamke hajawahi kuacha kitu Kizuri, fedha, na utajiri hata siku Moja.

Kitendo cha kuona Mwanamke uliyemuoa anawasiliana na Mwanaume aliyemzalisha Kwa kisingizio cha mzazi mwenza kitaalamu Sisi kina Taikon tutakuambia huyo Mwanaume anavigezo Fulani alivyokuzidi aidha ni Mzuri/handsome boy, anahaiba au mwonekano mzuri kukushinda au anafedha kukushinda.

Mwanamke akimpata Mwanaume wa hadhi anayoitaka yaani mzuri/handsome boy au mwenye kipato cha juu automatically ataleta dharau Kwa aliyemzalisha, yaani atataka ajitenge naye na kukata mawasiliano kabisa ili asijeharibu mahusiano yake yenye tija.

Single mother wanahitaji wanaume Heavy weight iwe kiuchumi au kimwonekano au kihadhi.

Na sio single mother tuu, hiyo ni kawaida na asili ya Wanawake wote Duniani.
Mwanamke hata ambaye hajazalishwa, ikiwa yupo sehemu nzuri na Mwanaume wa uchumi wa juu au mwenye mwonekano automatically huwadharau Watu wa hadhi ya Chini.

Ni kawaida mwanamke kwenda kushiriki kwenye matukio ya mwanaume aliyemzalisha kama matukio ya misiba, harusi n.k. ikiwa mwanaume huyo anauchumi mzuri.
Yeye naye atataka ajulikane naye aliwahi kuwa na umiliki Kwa huyo mwanaume.

Mwanamke haishii hapo, hata Watoto aliowazaa kwake ni Sifa kuitwa jina la tajiri au mwenye mamlaka ikiwa tuu alimzalisha.
Lakini wewe kapuku na usiye na Mbele wa Nyuma, sio ajabu Mwanamke hata jina la mtoto asiitwe ubin wako.

Nasisitiza, Mwanamke hajawahi kususa na kuacha kitu Kizuri na utajiri. Haipo hiyo.
Kama umezidiwa na aliyemzalisha Mwanamke uliyenaye alafu anakuambia hawasiliani naye. Jua anakudanganya.

Na hapo ndipo mnapoambiwa Wanawake wanawazidi Akili Kwa sababu ya kuamini maneno Yao kama wajinga wajinga.

Mwisho, Mwanamke anasikia aibu kuoelewa na wewe ikiwa aliyekuwa naye awali alikuwa amekuzidi Kwa mbali Mno.
Kudharauliwa katika mazingira hayo ni Constantly.

Sabato NJEMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Why should I take all that trouble kwa mtu ambaya alishazaa? Nyie ndo mnaua soko kwa single mothers, waacheni wapige maboya wao, wala msiwashtue.
 
Why should I take all that trouble kwa mtu ambaya alishazaa? Nyie ndo mnaua soko kwa single mothers, waacheni wapige maboya wao, wala msiwashtue.

😄😄😄
Vijana lazima wapewe maonyo.
Wazee na watu wazima wanaachwa tuu Kwa sababu wanafanya kitu wakijuacho na wapo tayari kukilipia gharama
 
UKIOA SINGLE MOTHER HAKIKISHA MWANAUME ALIYEMZALISHA UMEMZIDI MAMBO HAYA!

Anaandika, Robert Heriel

Usije ukajichanganya, wala asije akakudanganya mtu yeyote. Single mother sio good match kwenye mahusiano hasa Kwa kijana mdogo mwenye umri Chini ya miaka 40.
Single mother wanahitaji mwanaume aliyekomaa kama Simba Bob Junior.

Elewa kuwa asilimia 90 ya single mother wanamajeraha makubwa na maumivu ya mapenzi, na tayari wanaathari za kisaikolojia katika mapenzi. Hivyo wengi ni wagonjwa wa kisaikolojia.
Hii ni kusema, Kabla hujamuoa single mother ni lazima uhakikishe unamtibu ugonjwa wake wa Kihisia Baada ya kuwa Disappointed na Mwanaume wa awali.
Sasa wewe jichanganye uone yupo Sawa Kwa vile anakuchekea, mnaongea vizuri, sio kweli, wengi ni wagonjwa.

Bila kupoteza muda, Kabla hujamuoa single mother hakikisha mwanaume aliyemzalisha umemzidi mambo yafuatayo;

1. Haiba, Mvuto na mwonekano.
Usije ukajichanganya hata siku Moja, Haiba na mwonekano wa mwanaume ni moja ya mambo ambayo Wanawake wote Duniani wanajivunia. Hakuna mwanamke asiyependa mwanaume asiye na Mvuto. Wasije wakakudanganya na unafiki wao.

Wanawake hawanaga ujanja Mbele ya wanaume wenye haiba, Mvuto na mwonekano mzuri. Tena huyo Mwanaume ATI ndio aliyemzalisha, hapo ndio kabisaa!

Ni lazima umzidi Mwanaume aliyemzalisha Haiba, Mvuto, na mwonekano.
Asije kukudanganya ati hawawasiliani, Huko ni kuzidiwa Akili na Mwanamke.
Elewa kuwa Single mother hata kama atakuwa anachuki vipi Kwa aliyemzalisha lakini kamwe hatoweza kujilaumu kuzaa na Mwanaume mwenye haiba, Mvuto na mwonekano.
Na sio ajabu akawa anajivunia Mbele ya ndugu, rafiki na watoto wake kuwa Mwanaume Fulani alistahili kuwa naye katika safari ya Maisha, hata kama haikuwa riziki kuoana.

Kingine, elewa kuwa ikiwa haujamzidi Aliyemzalisha Kwa haiba, Mvuto na mwonekano Kwa Mwanamke ataihesabu kama aibu kwake, na atakuona wewe sio hadhi yake, hivyo lazima akutese.
Yaani aache kuwasiliana na Mwanaume aliyekuzidi kisa wewe umemuoa😂😂 huwajui Wanawake wewe,

2. Umzidi kiuchumi na kifedha.
Wanawake hawajawahi kujuta kuzalishwa na wanaume wenye uchumi mkubwa na matajiri. Hata kama waachane na kugombana vipi. Bado Mwanamke atajivunia na kuona Sifa kuwa anamahusiano na Mzazi mwenza.
Uliona wapi Mwanamke akamsumbua mwanaume masikini aliyemzalisha? Uliona wapi?

Elewa kuwa Wanawake kwao ni ufahari kuchukua majina ya wanaume wenye sifa Fulani kubwa kama matajiri, Watu mashuhuri, Watawala n.k.
Elewa kuwa utakapomuoa mwanamke aliyezalishwa au aliyewahi kuachwa na Mwanaume mwenye uchumi mkubwa, kwake atataka kutambulika kwa jina la Yule mwanaume mwenye Pesa au tajiri kuliko wewe kapuku.

Kabla hajaoa single mother, jihakikishie kabisa mwanaume aliyemzalisha umemzidi kiuchumi, kifedha na kiutajiri.

Mwanamke hajawahi kuacha kitu Kizuri, fedha, na utajiri hata siku Moja.

Kitendo cha kuona Mwanamke uliyemuoa anawasiliana na Mwanaume aliyemzalisha Kwa kisingizio cha mzazi mwenza kitaalamu Sisi kina Taikon tutakuambia huyo Mwanaume anavigezo Fulani alivyokuzidi aidha ni Mzuri/handsome boy, anahaiba au mwonekano mzuri kukushinda au anafedha kukushinda.

Mwanamke akimpata Mwanaume wa hadhi anayoitaka yaani mzuri/handsome boy au mwenye kipato cha juu automatically ataleta dharau Kwa aliyemzalisha, yaani atataka ajitenge naye na kukata mawasiliano kabisa ili asijeharibu mahusiano yake yenye tija.

Single mother wanahitaji wanaume Heavy weight iwe kiuchumi au kimwonekano au kihadhi.

Na sio single mother tuu, hiyo ni kawaida na asili ya Wanawake wote Duniani.
Mwanamke hata ambaye hajazalishwa, ikiwa yupo sehemu nzuri na Mwanaume wa uchumi wa juu au mwenye mwonekano automatically huwadharau Watu wa hadhi ya Chini.

Ni kawaida mwanamke kwenda kushiriki kwenye matukio ya mwanaume aliyemzalisha kama matukio ya misiba, harusi n.k. ikiwa mwanaume huyo anauchumi mzuri.
Yeye naye atataka ajulikane naye aliwahi kuwa na umiliki Kwa huyo mwanaume.

Mwanamke haishii hapo, hata Watoto aliowazaa kwake ni Sifa kuitwa jina la tajiri au mwenye mamlaka ikiwa tuu alimzalisha.
Lakini wewe kapuku na usiye na Mbele wa Nyuma, sio ajabu Mwanamke hata jina la mtoto asiitwe ubin wako.

Nasisitiza, Mwanamke hajawahi kususa na kuacha kitu Kizuri na utajiri. Haipo hiyo.
Kama umezidiwa na aliyemzalisha Mwanamke uliyenaye alafu anakuambia hawasiliani naye. Jua anakudanganya.

Na hapo ndipo mnapoambiwa Wanawake wanawazidi Akili Kwa sababu ya kuamini maneno Yao kama wajinga wajinga.

Mwisho, Mwanamke anasikia aibu kuoelewa na wewe ikiwa aliyekuwa naye awali alikuwa amekuzidi Kwa mbali Mno.
Kudharauliwa katika mazingira hayo ni Constantly.

Sabato NJEMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Why should I take all that trouble kwa mtu ambaya alishazaa? Nyie ndo mnaua soko kwa single mothers, waacheni wapige maboya wao, wala msiwashtue
😄😄😄
Vijana lazima wapewe maonyo.
Wazee na watu wazima wanaachwa tuu Kwa sababu wanafanya kitu wakijuacho na wapo tayari kukilipia gharama

Haipaswi kuoa single Mother
 
Mtu huna pesa umefika mlimani city au hoteli nzuri unajiamini vipi?
Mtu haujavaa nguo nzuri kisa hauna pesa utajiamini vipi?
Mtu umeenda Kanisani, kuna harambee Watu watoe laki mojamoja alafu mfukoni Una elfu tatu ya nauli, utajiamini vipi?

Umeenda Hospital, huna pesa utajiamini vipi?

Unajua hawa Vijana WA sasa Wanafikiri wanaota ndoto
Na ulishawahi ona mtu anaalikwa kwenye high level event kwa sababu ya muonekano wake? Waache ujinga, u handsome unaisha unapozeeka.
 
Hivyo ndivyo Wanawake wanavyofanya mishe zao.
Eti mishe zao, 😀😀
RH it seems una mahusiano mazuri sana na bibi zako, mashangazi zako, mama wote wadogo na wakubwa, na dada na dada binamu zako.
Huwezi kuzijua siri hizi pasipo kuwastudy.
Wale vijana waliolelewa katikati ya madume huwa wanapata tabu sana, maana sio rahisi kuzijua tabia za kike bila kuassociate nao sana.
Na ndiyo maana mwanamke akiolewa na single parent mwenye uwezo vita kali sana hutokea kati ya mke na mama mwenye mtoto lazima kujihakikishia kuwa UMEUA kabisa mahusiano mazuri kati ya hawa watu wawili, usipofanikiwa utasikia wanalea mtoto mwingine.
 
Eti mishe zao, 😀😀
RH it seems una mahusiano mazuri sana na bibi zako, mashangazi zako, mama wote wadogo na wakubwa, na dada na dada binamu zako.
Huwezi kuzijua siri hizi pasipo kuwastudy.
Wale vijana waliolelewa katikati ya madume huwa wanapata tabu sana, maana sio rahisi kuzijua tabia za kike bila kuassociate nao sana.
Na ndiyo maana mwanamke akiolewa na single parent mwenye uwezo vita kali sana hutokea kati ya mke na mama mwenye mtoto lazima kujihakikishia kuwa UMEUA kabisa mahusiano mazuri kati ya hawa watu wawili, usipofanikiwa utasikia wanalea mtoto mwingine.

Nimeishi na Bibi zangu wapatao 7 ambao Kwa sasa sio pungufu ya miaka 80, Wamama na mashangazi, ninaelewa mishe zao.
Pia nimeishi na wababu.
Nimewasoma Kwa miaka yangu ya utoto yote mpaka umri wa miaka 20.

Hivyo Watoto waliozaliwa Baada ya Mwaka 1970 hawawezi kunichanganya ikiwa Mama zao nimeshawasoma
 
Back
Top Bottom