Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Huu ukweli mchungu. Wengi wanaoa au wanaolewa na watu ambao hawakuwa chaguo lao la kwanza

Kuna manzi ana 30+ naye nimemdanganya nitamuoa. Nikiangalia naona kabisa hajanipenda ni umri tu ndio unafanya akomae na mimi nimuoe
Aisee kazi ipo.
 
Huu ukweli mchungu. Wengi wanaoa au wanaolewa na watu ambao hawakuwa chaguo lao la kwanza

Kuna manzi ana 30+ naye nimemdanganya nitamuoa. Nikiangalia naona kabisa hajanipenda ni umri tu ndio unafanya akomae na mimi nimuoe
Aisee hawa wanawake bwana wee nikusubiria tuu wakigika 30+ yaani unawaonea huruma wanavyo hangaika kupata mume. 🤣🤣🤣🤣🤣

Hapa ndio uanaume unapokuwa mtamu...as u age ndio unapanda thamani while kwa mwanamke ni the reverse🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Aisee hawa wanawake bwana wee nikusubiria tuu wakigika 30+ yaani unawaonea huruma wanavyo hangaika kupata mume. 🤣🤣🤣🤣🤣

Hapa ndio uanaume unapokuwa mtamu...as u age ndio unapanda thamani while kwa mwanamke ni the reverse🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakifika umri huo wanahangaika kutafuta wanaume ni kujilia

Mzeiya sasa hivi hayo ndio makoloni yangu najiweka sana kwa hawa wa 30+ inalipa sana 🤣🤣🤣

Unawala mpaka unawaonea huruma maana huwa wanajishusha sana yaani anaogopa asipokupea utaenda kwa vibinti, simu moja mbususu hii hapa 🤣🤣🤣
 
Kitu kingine.
Single mazas wakiolewa na MTU ambaye hajazaa na mwanamke mwingine wanakuwaga na wivu Sana. Lakini wao wanamawasiliano ya Siri na waliowazalisha.
Kingine wanapenda Sana kuwalisha waume zao kimbwata.
100%
 
Kuna manzi nilimdanganya tutafunga ndoa sasa siku moja wakati tunasubiri round ya tatu kunako 6×6 tukaaza vistori vya hapa na pale

Akawa ananisimulia jinsi alivyoumia ex wake wa zamani alipomuoa mdada mwingine. Anasema yule mwanamume alimliza sana haijawahi kutokea katika maisha yake

Moyoni nikajiambia atakayemuoa huyu ni hasara kihalisi inaonekana moyo wake uko kwa yule ex na ni rahisi kupasha kiporo
Kwakweli ni masikitiko makubwa mno kwa kijana atakaemuoa
 
Back
Top Bottom