Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Hapana single mother wote wanawasiliana na Baba mtoto.
Nazumzia Baba mtoto asiye kimbia mwanae. Sema awezi ongembele ya mume wake.
Wapo ambao hawawezi kuongea na wazazi wenza.

Mimi ni mmojawapo. Tangu nigundue mama wa mwanangu wa anamilikiwa na njemba, nilikata mawasiliano mazima. Hanitafuti wala simtafuti. Taarifa za mtoto zote ananipa mwanangu mwenyewe.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?

Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.

Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.

Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao

WITO: raha ya soda ukute haijaonjwa

********** Mwenye mtazamo sawa na mwanzisha mada*********





Ushauri kwa waliooa Single Mothers



********** Mama yake amemkata asioe single Mother**********



********** Madhara ya mtoto wa kiume kulelewa na Single Mother**********



******** Kauli zilizowauzi waliokuwa kwenye mahusiano na Single Mothers**********

Hahah thread imetembea kama mkojo
 
Chuki binafsi.
Wapo ma singo maza wenye weledi. Ila hapo kwenye soda isiyokua na kizibo?
Kwani wote wanaoolewa Leo wanavizibo?
Kosa la singo maza Ni kwamba Kuna ushahidi kwamba kizibo hakipo.
 
Chuki binafsi.
Wapo ma singo maza wenye weledi. Ila hapo kwenye soda isiyokua na kizibo?
Kwani wote wanaoolewa Leo wanavizibo?
Kosa la singo maza Ni kwamba Kuna ushahidi kwamba kizibo hakipo.
Sawa kalee bao la mwanaume mwenzako 😂😂
 
Nyie ndio Mlikulana kwa sababu ya nyege wala hamkuwa na mapenzi kati yenu......Mbwa alikula mbwa mwenzie😅😅
Wapo ambao hawawezi kuongea na wazazi wenza.

Mimi ni mmojawapo. Tangu nigundue mama wa mwanangu wa anamilikiwa na njemba, nilikata mawasiliano mazima. Hanitafuti wala simtafuti. Taarifa za mtoto zote ananipa mwanangu mwenyewe.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kila mtu na mtazamo wake hakuna kupangiana kama wewe hutaki single mother kausha tuache tulioamua kuwa na single moms tuendelee. Mnawasema vibaya single moms na mnaoa unaosema hawajatumika kuchwa kutwa kugombana kuwa hajatulia. Mtu kuwa single mother siyo kipimo cha kuwa ametumika sana hata hao ambao unawaona hawajazaa wengi wametoa mimba zaidi ya moja. HUWAPENDI SINGLE MOTHER KAUSHA WANAOWAPENDA WATAKUWA NAO.
Pole sana ndugu endelea tu kuvumilia Haina jinsi.
 
Kila mtu na mtazamo wake hakuna kupangiana kama wewe hutaki single mother kausha tuache tulioamua kuwa na single moms tuendelee. Mnawasema vibaya single moms na mnaoa unaosema hawajatumika kuchwa kutwa kugombana kuwa hajatulia. Mtu kuwa single mother siyo kipimo cha kuwa ametumika sana hata hao ambao unawaona hawajazaa wengi wametoa mimba zaidi ya moja. HUWAPENDI SINGLE MOTHER KAUSHA WANAOWAPENDA WATAKUWA NAO.
Huu nao ni Ukweli sometimes
 
Watu wasizae wakusubirie weww uwaoe sio.mume mwwnyewe utakuwa wewe??
Wana upwiru huko morogoro, yeye yuko mwanza na hawamfahamu asome pia kuhusu human evolution

Hakafu atambue kwanba wavulana ndiyo wana washawishi wasichana wawachimbe migodi tena bila kuvaa kandambili
 
Kila mtu na mtazamo wake hakuna kupangiana kama wewe hutaki single mother kausha tuache tulioamua kuwa na single moms tuendelee. Mnawasema vibaya single moms na mnaoa unaosema hawajatumika kuchwa kutwa kugombana kuwa hajatulia. Mtu kuwa single mother siyo kipimo cha kuwa ametumika sana hata hao ambao unawaona hawajazaa wengi wametoa mimba zaidi ya moja. HUWAPENDI SINGLE MOTHER KAUSHA WANAOWAPENDA WATAKUWA NAO.
Kuoa single Maza Kuna uwezekano mkubwa mwanamke huyo kukuona wewe ni dhaifu ndio mana umemfuata yeye Wanawake sio wakushukuru tambua hilo ila kila mtu kwenye maisha na mipango yao
 
Swali la msingi ni wewe ikawaje hadi ufikie hatua ya kusubiria ina maana hautongozwi huko barabarani? Wanawake mnaviburi sana ila safari hii mtanyooka tu. Maana kazi mnayo.
 
Kama hujaoa bikra mkeo unapata wapi nguvu za kuwasema single mothers? Unaweza kuta bora huyo singo Maza kuliko huyo umemkuta hana mtoto lakini katoa mimba 3+....we unadhani ni mpya kumbe kamwaga damu zinamlilia.............
 
Kama hujaoa bikra mkeo unapata wapi nguvu za kuwasema single mothers? Unaweza kuta bora huyo singo Maza kuliko huyo umemkuta hana mtoto lakini katoa mimba 3+....we unadhani ni mpya kumbe kamwaga damu zinamlilia.............
Zingatia ushauri.......Usioe single Maza ni hatari kwa afya yako.
 
Back
Top Bottom