Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika
Kuna wakuu wa mihimili wamepewa madaraka halaf hawajui majukumu Yao, inapofikia mahali spika anapewa Amri tena hadharani na mkuu wa mhimili mwingine, tena mtu unayetakiwa umsimamie na kumshauri ndo kwanza yeye anaanza kukusimamia na kukushauri jinsi ya kumshauri
 
Mwanzoni alianza vizuri lakini sasa hivi bunge limemshinda bora hata akikaa zungu pale huwa linakua bunge......huyu mgogo nadhani alivyoenda kutibiwa kuna screw walisahau kuzirudishia.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kuna wakuu wa mihimili wamepewa madaraka halaf hawajui majukumu Yao, inapofikia mahali spika anapewa Amri tena hadharani na mkuu wa mhimili mwingine, tena mtu unayetakiwa umsimamie na kumshauri ndo kwanza yeye anaanza kukusimamia na kukushauri jinsi ya kumshauri
Walisha sema sifa zao ni kujua kusoma na kuandika. Si unamuona Rais wa Dar?
 
nimewatuma Shilawadu wafatilie kadi yake ya Kliniki huko Apollo India tujue kilichomo ndani.
Itakuwa vizuri ili stress management iwe customized kutokana na tatizo. Shilawadu wapitie pia maisha yake kwa ujumla iwe ni ndoa,familia na mengine. Kiukweli spika ni mtu mkubwa sana na anastahili kusaidiwa ikibidi ili aendelee kuifanya kazi yake kwa viwango tunavyoviona akiwa ametulia.
 
Kama tutaamua kwa nia njema tu, kwenda kumpima Ndugai kisaikolojia (psychology) majibu tutakayopewa inaweza tusiamini.

Anatatizo sana la kiaakili.
Hapaswi kulaumiwa kwani hata yeye hapendi kuwa na ile hali.

Kwa busara tu si vyema kumuamini aongoze chombo kama bunge.
Kutokana na Mgogoro ambao umemhusu Mbunge wa kibamba Mhe John Mnyika nimebaini Pasipo na shaka kuwa Job Ndugai ambae ni Spika, hana uwezo kabisa wa kuongoza chambo kikuu cha maamuzi kama Bunge,

Japo kuwa ni Spika Tayari lakini tunatakiwa kujua kuna watu ni Marais lakini hawana sifa za kuvaa uhusika hivyo hivyo Ndugai hafai kuwa Spika na Wala tusitegemee jipya lolote kutoka kwenye Bunge analoliongoza yeye na msaidizi wake Tulia Ackison.

Nimesema hivyo hana sifa yoyote ambayo imetokana na Nadhalia za uongozi ususani skill model of Leadership.

Na hizi ndio sifa za Job Ndugai ambazo zinamfanya kukosa sifa za kuwa Spika japo ni Spika na kwa maana hiyo Bunge la sasa ni Dhaifu sana.

1)-Anajaziba, kutokana na hii sifa siku zote hawezi kutoka maamuzi sahihi sifa hii inaonekana pale alipompiga Mgombea mwezake wa ndani ya chama chake.

2)-Ni Mtu wa kujipendeza, na hii inafanyika ili atete kiti chake cha uspika ndio maana anatumia nguvu nyingi kuwaonea wapinzani ili amfurahishe Rais ambae ndio Mwenyekiti wa chama.

3)-Nimkurupukaji, kutokana na sifa hii inamfanya afanye maamuzi na atoe kauli za kitoto ambazo zinalifanya Bunge kuwa dhaifu sababu linaogozwa na watu dhaifu.

Mfano aliposema Lusinde wewe ni kiboko yao mpaka wote wameondoka hii nikauli ya kitoto haikupaswa kusemwa na mtu kama Spika.

4)- ni kigeu geu, sio mtu wa kuamini au kupanga nae mambo makubwa na hii inasababishwa na yeye kuwa mtu wa kujipendekeza.

5)-Anaongozwa na Mhemko, Hana Busara wala Hekima kwa Suala la Mnyika hajatumia Busara wala Hekima Mropokaji.

Kutokana na madhaifu yake yote hayo mzee Chenge ameonyesha uwezo mkubwa kuliko yeye pamoja na msaidizi wake Tulia Ackison.

Kutokana na wabunge kuonewa katika kipindi chake na Serikali au na yeye Mwenyewe pamoja na Msaidizi wake wamefanya ubunge kutokueshimaka kabisa na watu.

Nilikuwa sijawahi kusikia Kwamba Mbunge anaweza kuwekwa ndani mwezi 4 na hajaua ni kipindi cha Ndugai kwa maana hiyo pale amekaa kuziba nafasi isiwe wazi na sio kuliongoza Bunge kupitisha maamuzi sahihi kwa maslahi ya nchi yetu kama lilivyokuwa Bunge la 2005- 2010 kila mtu alitamani kuwa Mbunge.

Ni Mhere Mwita.
 
Wakati mwingine huwa nawaonea huruma sana wana ukawa.

Kipindi Ndugai anaumwa walikuwa wanamiss na kumtukana Tulia huku wakimsifia Ndugai na kumhimbea apone haraka arudi!

Leo hii tena kawa hafai?

Ipo siku ukawa watamsifia sana Dr. Tulia,. Time will tell,

Jamaa wanageuzwa kama chapati. Kila ngoma inayopigwa wao ni kucheza tu.
Hautaelewa maisha yako yote
 
Nakumbuka wakati wa uchaguzi katika kura pendekezwa pale jimboni kwao, alimtandika mtu fimbo za kutosha .
 
Kutokana na Mgogoro ambao umemhusu Mbunge wa kibamba Mhe John Mnyika nimebaini Pasipo na shaka kuwa Job Ndugai ambae ni Spika, hana uwezo kabisa wa kuongoza chambo kikuu cha maamuzi kama Bunge,

Japo kuwa ni Spika Tayari lakini tunatakiwa kujua kuna watu ni Marais lakini hawana sifa za kuvaa uhusika hivyo hivyo Ndugai hafai kuwa Spika na Wala tusitegemee jipya lolote kutoka kwenye Bunge analoliongoza yeye na msaidizi wake Tulia Ackison.

Nimesema hivyo hana sifa yoyote ambayo imetokana na Nadhalia za uongozi ususani skill model of Leadership.

Na hizi ndio sifa za Job Ndugai ambazo zinamfanya kukosa sifa za kuwa Spika japo ni Spika na kwa maana hiyo Bunge la sasa ni Dhaifu sana.

1)-Anajaziba, kutokana na hii sifa siku zote hawezi kutoka maamuzi sahihi sifa hii inaonekana pale alipompiga Mgombea mwezake wa ndani ya chama chake.

2)-Ni Mtu wa kujipendeza, na hii inafanyika ili atete kiti chake cha uspika ndio maana anatumia nguvu nyingi kuwaonea wapinzani ili amfurahishe Rais ambae ndio Mwenyekiti wa chama.

3)-Nimkurupukaji, kutokana na sifa hii inamfanya afanye maamuzi na atoe kauli za kitoto ambazo zinalifanya Bunge kuwa dhaifu sababu linaogozwa na watu dhaifu.

Mfano aliposema Lusinde wewe ni kiboko yao mpaka wote wameondoka hii nikauli ya kitoto haikupaswa kusemwa na mtu kama Spika.

4)- ni kigeu geu, sio mtu wa kuamini au kupanga nae mambo makubwa na hii inasababishwa na yeye kuwa mtu wa kujipendekeza.

5)-Anaongozwa na Mhemko, Hana Busara wala Hekima kwa Suala la Mnyika hajatumia Busara wala Hekima Mropokaji.

Kutokana na madhaifu yake yote hayo mzee Chenge ameonyesha uwezo mkubwa kuliko yeye pamoja na msaidizi wake Tulia Ackison.

Kutokana na wabunge kuonewa katika kipindi chake na Serikali au na yeye Mwenyewe pamoja na Msaidizi wake wamefanya ubunge kutokueshimaka kabisa na watu.

Nilikuwa sijawahi kusikia Kwamba Mbunge anaweza kuwekwa ndani mwezi 4 na hajaua ni kipindi cha Ndugai kwa maana hiyo pale amekaa kuziba nafasi isiwe wazi na sio kuliongoza Bunge kupitisha maamuzi sahihi kwa maslahi ya nchi yetu kama lilivyokuwa Bunge la 2005- 2010 kila mtu alitamani kuwa Mbunge.

Ni Mhere Mwita.
Jamani mbona mlimsifia sana huyu Ndugai na kumponda naibu wake sasa vipi?
 
  • Thanks
Reactions: nao
Jamani mbona mlimsifia sana huyu Ndugai na kumponda naibu wake sasa vipi?
Hawa wana mzuri basi marehemu sita, mama Anna.Ndugai, makamu wake wote wabaya yaani ni sawa na mtoto wa kambo hana shukrani hata ufanye nini utalaumiwa tu ndo hawa.
 
Back
Top Bottom