pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Ni mwendawazimu pekee anaeweza kubisha hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mirembe ulilazwa kwa muda gani?Spika anabusara na hekima sana na ni mtu wa maamuzi.
Huu nao ni utetezi?Nyie mna matatizo kweli si mlisema bora ndugai kuliko huyo Tulia Ackson.
Muulize MnyikaVipi kuhusu gaidi mbowe kuliwa na na papasi lockup yeye sio dhaifu
USSR
Uzi wangu wameuunganisha na uzi mwinginw daaaaaaNdungai kwenye mbeleko ya mwendazake alitamba, akanunua wabunge wa upinzani, Juakali, Silinde, Mwambe, Covid 19. Nani alikua na uwezo wa kumhoji Ndungai katika uchafuzi alioufanya.
ili kuupunguza makali.Uzi wangu wameuunganisha na uzi mwinginw daaaaaa
Wabunge wote kama hujahiari kwa mjibu wa mapendekezo ya tume ya rais kuchanjwa halafu mhimili mwingine unajidai kutumia vitisho (coercion ) kulazimisha kuchanja bila ridhaa inayozingatia (shaka, uhalali na usalama wa chanjo husika) basi pigeni kura ya kutokuwa na imani ya spika kwa kutumia ubabe kutekeleza matakwa binafsi.Kutokana na Mgogoro ambao umemhusu Mbunge wa kibamba Mhe John Mnyika nimebaini Pasipo na shaka kuwa Job Ndugai ambae ni Spika, hana uwezo kabisa wa kuongoza chambo kikuu cha maamuzi kama Bunge...
Wote tu hawafaiNyie mna matatizo kweli si mlisema bora ndugai kuliko huyo Tulia Ackson.
Hii mentality ya ccm, kuwatisha wapinzani wake kwa mateso na unyanyasaji, mauaji na utekaji, au kuwahonga kwa fedha na vyeo panapowezekana, haina mafanikio siyo tu hapa kwetu Tanzania, bali duniani kote. Watu kuitwa magaidi, huo ni ufinyu wa kufikiri kwa ccm. Mahakama iliwahi kukemea mtindo wa kesi za ugaidi enzi za uchaguzi wa marudio Igunga. Sasa ccm wameanza tena.Vipi kuhusu gaidi mbowe kuliwa na na papasi lockup yeye sio dhaifu
USSR
Bado yupo yupo sana.Tanzania ni nchi ya watu wapoolee sana, hivi kweli mbunge kusema ukweli anahojiwa na kitu kinaitwa eti kamati ya bunge, mbunge alikuwa akitetea wananchi walala hoi na wao walipe kodi. Lakini mpaka sasa watanzania tupo kimya hata kumpongeza Mheshimiwa Jerry Slaa...