Kwa kupiga tu sio mbaya
 
Suala sio mtoto au single maza, issue ni kuwa na mtu aliyekuwa tayari kwene mahusiano, maana kuzaa ni matokeo tu kwaiyo kufananishwa/kulinganishwa tabia ata ma ex huwa wanalinganishwa na ma current ones😎😎😎
 
Wenzio wanalea vizuri kabisa ata ukionana naye lazima atakupa pesa kanunue chakula mtoto ale...hahahhaaaa watu wanatofautiana tena bila kuombwa kabisaaaaa
 
Labda kupiga na kupita hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No Woman......No Cry

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupiga sawa ila kauli za kulinganishwa na aliyezaa nae sipendi pia wengi wao wana mapenzi ya kuigiza sana, unaweza kukolea akakuachia manyoya sitaki kuwaamini single mother maana wengi wao wanastress za maisha.
Kwa mapenzi ya kugiza, wapo vizuri...
 
Mie nilikuwa nikimpigia simu akimpa mtoto simu anamwambia msalimie mjomba! Nikaona kama Mimi naitwa uncle kuna anaeitwa baba! Nikajikata ingawa haikuwa rahisi Sana kuvunja mahusiano
Kwanza kwanini akupe umsalimie kwani anakuhusu nini[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…