Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hajawahi kukwambia gesi imeisha ?ndio maana mm ka single maza kangu tunacheza ONE TOUCH game (kila mtu anakaa golin kwake).sijawahig uliza habar za x wala Y (mtoto) wake..
Ha ha ha ha haSass unataka uitwe baba na baba ake mzazi akipiga cm atamwita nani?
Si kumchanganya mtoto tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mimi nimewaitaje? Umbwa?
Usifanye mchezo na binadamu aliyeongea na Shetani live (Nyoka)Katika ulimwengu huu pasingekuwa na mwanamke pasingekuwa na vilio
Hapa inaonyesha kila tabu ya duniani sababu ya wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani akifikisha miaka 30 ndio inakuwaje
aiseeJuzi wangu ananimbia mimi ni mbahili, alomzalisha anamuhudumia mpaka leo
Sent using Jamii Forums mobile app
inakuwa kafikisha 30Kwani akifikisha miaka 30 ndio inakuwaje
bila shaka huyo shemeji yako ana hela kumzidi huyo jamaa mnyongeShemeji yangu ana ex wake ambaye alimzalisha bila kuoa.Mtoto wa Ex wanalingana lingana umri na mtoto wa sister.Sasa siku ya Kipaimara Shem aliandaaa sherehe na Mama mtoto ambaye Ni Ex wa Shem naye alikwepo.Alikuja na mume wake mpya.Aiseewe Yule jamaa nilimuonea huruma maana alikuwa mnyonge sherehe nzima.Halafu Shem Ni Kama ana authority kubwa kwa Yule mwanamke kuliko mume wake.Dah haya Mambo magumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
una mpango wa kuoa?Mwanamke ahudumii, mwanaume ndo anahudumia. Wanawake wengi si waoga wa kugongewa ila ni waoga wa kuibiwa mume kabisa kwamba asirudi tena, wanaume wengi wanaogopa sana kugongewa hata kidogo tu, wanataka mwanamke awe kama pua, saa zote ni yake anapengea kamasi yeye tu. Kutokana na hayo tegemea povu la wanaume kwa single mothers kuliko upande wa pili. Wanaume tulio huru tuna burudani sana, maana tunajichagulia tutakaye uwe single mom, bikra au ulitoa. Mpo wengi sanaaaaaa kutupa presha.
Exactlybila shaka huyo shemeji yako ana hela kumzidi huyo jamaa mnyonge
Hapana mkuu.Gesi ya nn wakat sijawah hata kwenda kula kwake.Nampa cash ya yy kama yy.Mengine sikua nahusika nayoHajawahi kukwambia gesi imeisha ?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]Shemeji yangu ana ex wake ambaye alimzalisha bila kuoa.Mtoto wa Ex wanalingana lingana umri na mtoto wa sister.Sasa siku ya Kipaimara Shem aliandaaa sherehe na Mama mtoto ambaye Ni Ex wa Shem naye alikwepo.Alikuja na mume wake mpya.Aiseewe Yule jamaa nilimuonea huruma maana alikuwa mnyonge sherehe nzima.Halafu Shem Ni Kama ana authority kubwa kwa Yule mwanamke kuliko mume wake.Dah haya Mambo magumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]dah so funnyKuna siku alisema, ujue mi toka nmeachana na baba xxx, sijawai kua na mtu kwenye mahusiano serious, wew ndo nmeamua kuwa nawew serious, kwanza mwanangu stak niwe kila siku namletea baba mpya, ataniona mama vip,.. Halaf we mwanangu kakupenda sabab umefanana na babake, babake nae handsome kama wew
Kumanina kimoyomoyo, nkasema huyu mwanamke kosa alilofanya ni hili,
Well baada ya kumla sanaaa, nikampiga chin.
kulitokea sintofahamu kidogo kati yetu, jambo lililopelekea kutupiana neno hili na lile na kujikuta narusha kibao kiasi. ghafla akajifanya kulalamika kuwa ana bahati mbaya kwani mahusiano yake ya kwanza pia yalikuwa ya kupigwapigwa. nikamwambia aache kunifananisha na mtu mwingine yeyote yule, cha ajabu ndo akatoa jibu hilo kuwa ataachaje kumkumbuka wakati amezaa nae........hapo nikajua hapo kuna tatizo kubwa sana!
hhahahahahaaa....uko right boss...
Pale kilaza wa twitter anapocopy na kupaste ili kujipatia followers [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 1374129View attachment 1374130
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyo mwanamke yupo wapi na mimi nikamchezee?