Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Shemeji yangu ana ex wake ambaye alimzalisha bila kuoa.Mtoto wa Ex wanalingana lingana umri na mtoto wa sister.Sasa siku ya Kipaimara Shem aliandaaa sherehe na Mama mtoto ambaye Ni Ex wa Shem naye alikwepo.Alikuja na mume wake mpya.Aiseewe Yule jamaa nilimuonea huruma maana alikuwa mnyonge sherehe nzima.Halafu Shem Ni Kama ana authority kubwa kwa Yule mwanamke kuliko mume wake.Dah haya Mambo magumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shemeji yangu ana ex wake ambaye alimzalisha bila kuoa.Mtoto wa Ex wanalingana lingana umri na mtoto wa sister.Sasa siku ya Kipaimara Shem aliandaaa sherehe na Mama mtoto ambaye Ni Ex wa Shem naye alikwepo.Alikuja na mume wake mpya.Aiseewe Yule jamaa nilimuonea huruma maana alikuwa mnyonge sherehe nzima.Halafu Shem Ni Kama ana authority kubwa kwa Yule mwanamke kuliko mume wake.Dah haya Mambo magumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
bila shaka huyo shemeji yako ana hela kumzidi huyo jamaa mnyonge
 
Mwanamke ahudumii, mwanaume ndo anahudumia. Wanawake wengi si waoga wa kugongewa ila ni waoga wa kuibiwa mume kabisa kwamba asirudi tena, wanaume wengi wanaogopa sana kugongewa hata kidogo tu, wanataka mwanamke awe kama pua, saa zote ni yake anapengea kamasi yeye tu. Kutokana na hayo tegemea povu la wanaume kwa single mothers kuliko upande wa pili. Wanaume tulio huru tuna burudani sana, maana tunajichagulia tutakaye uwe single mom, bikra au ulitoa. Mpo wengi sanaaaaaa kutupa presha.
una mpango wa kuoa?
 
Shemeji yangu ana ex wake ambaye alimzalisha bila kuoa.Mtoto wa Ex wanalingana lingana umri na mtoto wa sister.Sasa siku ya Kipaimara Shem aliandaaa sherehe na Mama mtoto ambaye Ni Ex wa Shem naye alikwepo.Alikuja na mume wake mpya.Aiseewe Yule jamaa nilimuonea huruma maana alikuwa mnyonge sherehe nzima.Halafu Shem Ni Kama ana authority kubwa kwa Yule mwanamke kuliko mume wake.Dah haya Mambo magumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]

121.
 
Kuna siku alisema, ujue mi toka nmeachana na baba xxx, sijawai kua na mtu kwenye mahusiano serious, wew ndo nmeamua kuwa nawew serious, kwanza mwanangu stak niwe kila siku namletea baba mpya, ataniona mama vip,.. Halaf we mwanangu kakupenda sabab umefanana na babake, babake nae handsome kama wew


Kumanina kimoyomoyo, nkasema huyu mwanamke kosa alilofanya ni hili,

Well baada ya kumla sanaaa, nikampiga chin.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]dah so funny

121.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]
kulitokea sintofahamu kidogo kati yetu, jambo lililopelekea kutupiana neno hili na lile na kujikuta narusha kibao kiasi. ghafla akajifanya kulalamika kuwa ana bahati mbaya kwani mahusiano yake ya kwanza pia yalikuwa ya kupigwapigwa. nikamwambia aache kunifananisha na mtu mwingine yeyote yule, cha ajabu ndo akatoa jibu hilo kuwa ataachaje kumkumbuka wakati amezaa nae........hapo nikajua hapo kuna tatizo kubwa sana!

121.
 
Back
Top Bottom