mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,952
UNAWEZA KUTAKA KUOA MWANAMKE ASIKUKATAE KWA SABABU YA SHIDA ALIZONAZO (HAPA INAWEZA KUWA UGUMU WA MAISHA, UPWEKE, KISASI CHA USALITI) AKAKUBALI LAKINI KATIKA UHALISIA HAJAKUPENDA TOKA MOYONI MWAKE ILE KUKUPENDA MPAKA KUFA. AKIONA KULE KWA ZAMANI PAME POA UNADHANI NINI KINATOKEA IKIWA WEWE HAJAKUPENDA KWA DHATI YA MOYO WAKE? ANAWEZA KUSHINDWA KUONDOKA MAZIMA ILA ATAONDOKA KWAKO KIHISIA, WE UTAMEGA NA MWINGINE ATAMEGA ZAIDI YAKO (ATAPATA MIMBA AU ATAKULA NA MALI ZAKO ZA JASHO KABISA). AT THE END LAZIMA UFE AU AFE AU ASEPE KWA MTU WAKE WA ZAMANI..........SHUKRANI SANA MWALIMU WANGU WA THEOLOGY ULIYESOMA HENRY MARTIN INSTITUTE KULE UHOLANZI
demu aliyetoka kuachwa, kuumizwa, kusalitiwaUNAWEZA KUTAKA KUOA MWANAMKE ASIKUKATAE KWA SABABU YA SHIDA ALIZONAZO (HAPA INAWEZA KUWA UGUMU WA MAISHA, UPWEKE, KISASI CHA USALITI) AKAKUBALI LAKINI KATIKA UHALISIA HAJAKUPENDA TOKA MOYONI MWAKE ILE KUKUPENDA MPAKA KUFA. AKIONA KULE KWA ZAMANI PAME POA UNADHANI NINI KINATOKEA IKIWA WEWE HAJAKUPENDA KWA DHATI YA MOYO WAKE? ANAWEZA KUSHINDWA KUONDOKA MAZIMA ILA ATAONDOKA KWAKO KIHISIA, WE UTAMEGA NA MWINGINE ATAMEGA ZAIDI YAKO (ATAPATA MIMBA AU ATAKULA NA MALI ZAKO ZA JASHO KABISA). AT THE END LAZIMA UFE AU AFE AU ASEPE KWA MTU WAKE WA ZAMANI..........SHUKRANI SANA MWALIMU WANGU WA THEOLOGY ULIYESOMA HENRY MARTIN INSTITUTE KULE UHOLANZI
Sawa tumekusikia kwamba umesoma uholanzi...UNAWEZA KUTAKA KUOA MWANAMKE ASIKUKATAE KWA SABABU YA SHIDA ALIZONAZO (HAPA INAWEZA KUWA UGUMU WA MAISHA, UPWEKE, KISASI CHA USALITI) AKAKUBALI LAKINI KATIKA UHALISIA HAJAKUPENDA TOKA MOYONI MWAKE ILE KUKUPENDA MPAKA KUFA. AKIONA KULE KWA ZAMANI PAME POA UNADHANI NINI KINATOKEA IKIWA WEWE HAJAKUPENDA KWA DHATI YA MOYO WAKE? ANAWEZA KUSHINDWA KUONDOKA MAZIMA ILA ATAONDOKA KWAKO KIHISIA, WE UTAMEGA NA MWINGINE ATAMEGA ZAIDI YAKO (ATAPATA MIMBA AU ATAKULA NA MALI ZAKO ZA JASHO KABISA). AT THE END LAZIMA UFE AU AFE AU ASEPE KWA MTU WAKE WA ZAMANI..........SHUKRANI SANA MWALIMU WANGU WA THEOLOGY ULIYESOMA HENRY MARTIN INSTITUTE KULE UHOLANZI
Kwa umbea wa mtoa mada jinsi alivyomfatilia shemeji yake hawezi kukaa na siri.Yasiyokuhusu achana nayo mkuu mapenzi huwa hayaingiliwi watakamatana wenyewe kaa kimya kama hujui kitu
Una muda sana aisee.....
Na kwa vile huyu mmoja yuko hivi, ina maana single parents wote wako hivyo? Ninaye rafiki yangu kaoa single parent tena wa watoto wawili wote na baba tofauti lakini ndiyo role model wangu wa ndoa yenye furaha, amani na maelewano. Ni power couple moja matata sana!
Umalaya ni tabia ya mtu na sidhani kama kuna causal relationship kati ya kuwa single parent na umalaya. Wewe oa ambaye siyo single parent lakini kama ni kuchapiwa utachapiwa tu!
Daaaah...UNAWEZA KUTAKA KUOA MWANAMKE ASIKUKATAE KWA SABABU YA SHIDA ALIZONAZO (HAPA INAWEZA KUWA UGUMU WA MAISHA, UPWEKE, KISASI CHA USALITI) AKAKUBALI LAKINI KATIKA UHALISIA HAJAKUPENDA TOKA MOYONI MWAKE ILE KUKUPENDA MPAKA KUFA. AKIONA KULE KWA ZAMANI PAME POA UNADHANI NINI KINATOKEA IKIWA WEWE HAJAKUPENDA KWA DHATI YA MOYO WAKE? ANAWEZA KUSHINDWA KUONDOKA MAZIMA ILA ATAONDOKA KWAKO KIHISIA, WE UTAMEGA NA MWINGINE ATAMEGA ZAIDI YAKO (ATAPATA MIMBA AU ATAKULA NA MALI ZAKO ZA JASHO KABISA). AT THE END LAZIMA UFE AU AFE AU ASEPE KWA MTU WAKE WA ZAMANI..........SHUKRANI SANA MWALIMU WANGU WA THEOLOGY ULIYESOMA HENRY MARTIN INSTITUTE KULE UHOLANZI
Siku hizi mambo yameharibika sana hakuna cha single mother wala nini. Ni kuomba Mungu tu lakini hali wala siyo nzuri. Na kibaya zaidi sisi wanaume tunajitoa kwenye mtanange huu wakati wenyewe pia ndo wahusika wakuu.kweli mkuu unaweza oa ambaye siyo singel mother lakini tabia zake chavu tena za kitisha malaya ile mbaya
KUOA SINGLE MAMA INATAKA ROHO NGUMU, TENA YA YULE ASKARI MAGEREZA ANAYENYOGA WATU WAKIHUKUMIWA..
SOMA TENA HAPO, MIMI NIMESOMA KANISANI MZEESawa tumekusikia kwamba umesoma uholanzi...
NI FAFANULIE MDAU"Bad girl"
Sawa tumekusikia kwamba umesoma uholanzi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Singo maza tusiwaowe ila tusiache kuwapakia vumbi la kongo