Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi na shangaa."Lakini kiukweli nahitaji kumjua sana kabla sijaingia chaka maana I have trust issue!" TATIZO LIPO KWAKO UMESHAMJUA KUWA HAFAI UNATAKA NINI TENA.
Akiongezea na picha za wakati wa kuaga mwili wa marehemu na picha wakiwa wapenzi trna moto motoTulishakubaliana single maza kuoa mpka akuoneshe kaburi la ex wake full stop
PIGA CHINI KWA FAIDA YA MAISHA YAKOPoleni na mfumko wa bei katika nchi yenye maziwa na asali huku thamani ya pesa ikiwa chini.
Katika pilikapilika za maisha nikakutana na mwanamke ambae baada ya kufahamiana vizuri aliamua kusema ukweli kuwa ana mtoto alimpata na mwanaume mwingine lakini mahusiano hayakudumu wakaachana. Lakini walikuwa hawajafunga ndoa.
Kwasasa mtoto ni mkubwa kabisa anamiaka 9. Sasa baada ya kuanza mchakato wa kuwa kwenye mahusiano dada analeta masharti mengi sana yaani kwamba hawezi kuja nyumbani kwangu hadi niende kwao nikajitambulishe na kumtolea mahari ndyo atakuja nyumbani kwangu kunitembelea. Hataki kutoka out ili tupate muda wa kujuana vizuri kupitia mazungumzo.
Pia huyu mama anataka ndoa faster faster sana hadi naogopa. Changamoto kubwa ukimuuliza kwanini aliachana na baba wa mtoto wake hana majibu ambayo yanaakili. Pia ni mdada mjanja mjanja sana. Anasema ameachana na huyo mwanaume wake 5 years ago lakini hajawahi kuwa na mahusiano na mwanaume mwingine halafu ni mgoni🥱.
Kinachonishangaza huyu single mother anataka nifuate sheria kama vile bado yupo bikra. Hataki kuji expose kabisa tabia zake lakini within a month anataka ndoa. Anapenda sana pesa ambazo hazina maelezo ya matumizi kabisa. Lakini kiukweli nahitaji kumjua sana kabla sijaingia chaka maana I have trust issue!
NakaziaNakupa ukweli mchungu, Huyo singomaza kashakuona Wew pimbi, zuzu na unampenda Sana ndo maana anakufanyia hivo visa sababu kakuona wakuja kwa hiyo Kua makini inawezkana hata Wew mwenyew hakupendi anapima tu upepo Kama utamuoa Sawa Ili nayeye aonekane Ana mume na vile vile inaonesha wew Una vihela, so Kua makini Sana Hapo soon utapigwa na kitu cha ncha Kali kwa kisogo...
Aisee yaani acha kabisa. Kuna huyo mmoja yaani unaweza sahau misimamo yako yoteAh kiukweli kuna ma single maza ni visuuu
Yaaan Wana vutia
Sijakuelewa kuwa umetupatia taarifa au unaomba ushauriPoleni na mfumko wa bei katika nchi yenye maziwa na asali huku thamani ya pesa ikiwa chini.
Katika pilikapilika za maisha nikakutana na mwanamke ambae baada ya kufahamiana vizuri aliamua kusema ukweli kuwa ana mtoto alimpata na mwanaume mwingine lakini mahusiano hayakudumu wakaachana. Lakini walikuwa hawajafunga ndoa.
Kwasasa mtoto ni mkubwa kabisa anamiaka 9. Sasa baada ya kuanza mchakato wa kuwa kwenye mahusiano dada analeta masharti mengi sana yaani kwamba hawezi kuja nyumbani kwangu hadi niende kwao nikajitambulishe na kumtolea mahari ndyo atakuja nyumbani kwangu kunitembelea. Hataki kutoka out ili tupate muda wa kujuana vizuri kupitia mazungumzo.
Pia huyu mama anataka ndoa faster faster sana hadi naogopa. Changamoto kubwa ukimuuliza kwanini aliachana na baba wa mtoto wake hana majibu ambayo yanaakili. Pia ni mdada mjanja mjanja sana. Anasema ameachana na huyo mwanaume wake 5 years ago lakini hajawahi kuwa na mahusiano na mwanaume mwingine halafu ni mgoni🥱.
Kinachonishangaza huyu single mother anataka nifuate sheria kama vile bado yupo bikra. Hataki kuji expose kabisa tabia zake lakini within a month anataka ndoa. Anapenda sana pesa ambazo hazina maelezo ya matumizi kabisa. Lakini kiukweli nahitaji kumjua sana kabla sijaingia chaka maana I have trust issue!