[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Piga chini huyo, hajakupenda anataka kula visenti vyako tu. Wife material angekuwa keshakuja kwako kafanya usafi na kufua nguo zako pamoja na za majirani zako
😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
She wanna chill with big boys..Huyo Kashacheza Kamaliza....hataki tena michezo.Anataka Serious Relationship iwapo haupo tayari Kwa serious relationship muweke wazi aamue usimpotezee muda....! Full stop.
Asipojithamini yeye binafsi, atathaminiwa na nani, kama watongozaji ndio wa aina yako?Poleni na mfumko wa bei katika nchi yenye maziwa na asali huku thamani ya pesa ikiwa chini.
Katika pilikapilika za maisha nikakutana na mwanamke ambae baada ya kufahamiana vizuri aliamua kusema ukweli kuwa ana mtoto alimpata na mwanaume mwingine lakini mahusiano hayakudumu wakaachana. Lakini walikuwa hawajafunga ndoa.
Kwasasa mtoto ni mkubwa kabisa anamiaka 9. Sasa baada ya kuanza mchakato wa kuwa kwenye mahusiano dada analeta masharti mengi sana yaani kwamba hawezi kuja nyumbani kwangu hadi niende kwao nikajitambulishe na kumtolea mahari ndyo atakuja nyumbani kwangu kunitembelea. Hataki kutoka out ili tupate muda wa kujuana vizuri kupitia mazungumzo.
Pia huyu mama anataka ndoa faster faster sana hadi naogopa. Changamoto kubwa ukimuuliza kwanini aliachana na baba wa mtoto wake hana majibu ambayo yanaakili. Pia ni mdada mjanja mjanja sana. Anasema ameachana na huyo mwanaume wake 5 years ago lakini hajawahi kuwa na mahusiano na mwanaume mwingine halafu ni mgoni🥱.
Kinachonishangaza huyu single mother anataka nifuate sheria kama vile bado yupo bikra. Hataki kuji expose kabisa tabia zake lakini within a month anataka ndoa. Anapenda sana pesa ambazo hazina maelezo ya matumizi kabisa. Lakini kiukweli nahitaji kumjua sana kabla sijaingia chaka maana I have trust issue!
Huo mlango wa 7 yani ni mpigaji kana papa msofePoleni na mfumko wa bei katika nchi yenye maziwa na asali huku thamani ya pesa ikiwa chini.
Katika pilikapilika za maisha nikakutana na mwanamke ambae baada ya kufahamiana vizuri aliamua kusema ukweli kuwa ana mtoto alimpata na mwanaume mwingine lakini mahusiano hayakudumu wakaachana. Lakini walikuwa hawajafunga ndoa.
Kwasasa mtoto ni mkubwa kabisa anamiaka 9. Sasa baada ya kuanza mchakato wa kuwa kwenye mahusiano dada analeta masharti mengi sana yaani kwamba hawezi kuja nyumbani kwangu hadi niende kwao nikajitambulishe na kumtolea mahari ndyo atakuja nyumbani kwangu kunitembelea. Hataki kutoka out ili tupate muda wa kujuana vizuri kupitia mazungumzo.
Pia huyu mama anataka ndoa faster faster sana hadi naogopa. Changamoto kubwa ukimuuliza kwanini aliachana na baba wa mtoto wake hana majibu ambayo yanaakili. Pia ni mdada mjanja mjanja sana. Anasema ameachana na huyo mwanaume wake 5 years ago lakini hajawahi kuwa na mahusiano na mwanaume mwingine halafu ni mgoni🥱.
Kinachonishangaza huyu single mother anataka nifuate sheria kama vile bado yupo bikra. Hataki kuji expose kabisa tabia zake lakini within a month anataka ndoa. Anapenda sana pesa ambazo hazina maelezo ya matumizi kabisa. Lakini kiukweli nahitaji kumjua sana kabla sijaingia chaka maana I have trust issue!
Acha uongo ungemshauri asije akajichanganya amtolee Figo mama wampenzi wakeWife material, oa tu
😃😀😄😁😆😅😂🤣😅😆😁😄😃Furushi kama furushi.
Bomu Hiloni TNT ilo, time bomb
shauri yako
Pwagu Hupata PwaguziWife material, oa tu
Sawa boss[emoji23]Usisahau kuendelea kutupa mrejesho Boss.
Piga chini huyo, hajakupenda anataka kula visenti vyako tu. Wife material angekuwa keshakuja kwako kafanya usafi na kufua nguo zako pamoja na za majirani zako