Kmmke dah..... we jamaa inaelekea unaangalia sana porn
 
Kwangu mimi single mother aliyezaa na mume wa mtu akijua kabisa huyo mwanaume anamke wa ndoa na watoto, huyo hastahili huruma bali kajitakia mwenyewe.

Na single mother wengi ukichunguza wamezaa na waume za watu na unavyojua wanawake wasivyo pendana mwenye mume akijua naye anampiga pini mmewe hasitoe hela ya matunzo ya mtoto.
 
Sababu nyingi ulizozungumza hapo zinatokana na wewe kuwa na kipato duni.

Ukiwa na pesa huwezi kuanza kufikiri habari za urithi sijui watoto kusoma.

Vipi kuhusu single fathers nao wasioe?

Sababu zako ni illogical kabisa. Mnavamia wanawake hovyo bila kuwafahamu wakiwatenda mnalaumu kila mwanamke.

Kuna dada mmoja mmewe alifariki kwa ajali akamwachia mtoto mdogo, she is very smart. Namfahamu tangu tukiwa wadogo. Mtu kama yule ni wife material murua kabisa
 
mkuu sisi wengine single mothers ni majirani zetu kiukweli wanahangaika sana
 
Wapo pia wanaume wengi hasa vijana wanaolewa na masingle mothers, Mi naunga mkono hoja single mothers wao waendelee kuoa mimi ntawaombea kwa hilo.
 
Mwenye jukumu la mimba kutinga ni mwanamke sio mwanaume,
 
Mwezi kuna single mother watatu kila mmoja anadai kapungukiwa ada ya mtoto,pumbavvu,baba yake yupo how come ada nilipe mimi
 
Mwanaume mwenzio kamshindwa huyo mwanamke we utamuwezaje,single mother ni bomu
 
Umemaliza kila kitu.
 
Mim ni single mom......kuingia kweny mahusiano na mwanaume ambae kwanza akili yake ni ndogo kama kisoda siwezi......ni bora nkae niendelee kufanya biashara zangu na kupata vi mia mia vyangu bila bughuza na mtu.........ww Mwanaume ukiona uwez kua na single maza acha tafuta huyo ambae hana mtoto alf jitahid sana akupende yeye.......kingine ukiona ww mwanaume unataka kuingia kweny ndoa na single mom kubali hili kumhudumia mwanamke na mtoto ake vzur sana kuliko baba wa mtoto anavohudumia......ukishindwa kajipange kutafuta wa hadhi kama yako....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]



Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Huyo mwanaume alikufa vita ya kwanza ya dunia,
Subir utamkuta peponi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…