ID yako imesadifu mawazo na mambo yanayofanyika pale kambi ya fisi.....
 
Huyo bi khadija alikuwa mjane au aliyeterekezwa/mtarakiwa ?

Maana vijana wanaogopa singlemother walio tengana na wazazi wenzao na hao wazazi wenzao bado wapo hai na sio single mother ambao ni wajane.
 
Na wewe nikupeleke ktk kundi la wanaume waoga?
Sasa we kambi ya fisi unajua huku mtaani wanawake ambao hawajazaa ni wengi Sana sasa ukioa single mother je inakuaje kwa hawa ambao wamejitunza na hawajazalishwa binafsi uo ni ukatili wa kihisia Kuna mademu wabichi wamemaliza form four na hawana watu wakuwaoa then tuwaache ao tuvamie mademu ambao wamezalishwa ina make sense?
 
wanawake ambao hawajazaa ni wengi Sana sasa ukioa single mother je inakuaje kwa hawa ambao wamejitunza
Hao unaowapigia debe wengi wao wana akili za kitoto hivyo ukioa unakuwa kama litoto tu, ila kwa single mother hawanaga utoto utoto wakipendana na mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…