SINGLE MOTHER NI KIPORO. SHAURI LENU.
 
Ukishamuoa ndo utajua kwanini yupo single unless kama amefiwa
 
Niko na mtoto mmoja mbichi safi sana .

Alafu kuna huyu single mother ameniganda ile mbaya. Nipo namwangalia tuu siku napiga chini ni heart attack. Muda umekaa anatumiwa text za mapenzi na baba mtoto wake anaifuta chap mi nazuga sijamuona.

Hapo nakula mzigo tu ila Kusema nimeoa hawa viumbe labda niwe nimekatwa kichwa
 
Wanaotaka kuwaoa...wawaoe tu ila mm binafsi hata kwenye akili zangu hawapo kabisa...yani watt wabichi wanaojielwa wapo nikapambane na hao waliozalishwa na kushindwa kuolewa. Hapana asee.
 
Wanaotaka kuwaoa...wawaoe tu ila mm binafsi hata kwenye akili zangu hawapo kabisa...yani watt wabichi wanaojielwa wapo nikapambane na hao waliozalishwa na kushindwa kuolewa. Hapana asee.
Kwa taarifa yako hao unaowaona kuwa ni watoto wabichi ukiwaoa watakufanya uwe mtu wa kupumua kwa kutumia mashine 😂

Ni vivuruge wakubwa wa akili hasa za wavulana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…