SINGLE MOTHER NI KIPORO. SHAURI LENU.Kiukweli hakuna ubaya kumchumbia single mother na kumuoa huyo mama asiye na mwenzi. Hata kama amezaa, mtoto aliyemzaa na mwanaume mwingine ni baraka kabisa.
Cha muhimu ni kwamba nyote wawili mnapendana na mmejitolea kufanya uhusiano wenu ufanye kazi. Hivyo ukimpata single mother na mkapendana nyote muoe tafadhari hata kama ana watoto watatu oa tu.
Mtume Muhammad ni mfano wa kuigwa hakumuogopa bi Khadija. Jifunzeni kwa huyu mtumishi.
Enyi wanaume waoga acheni ushamba.
Ukishamuoa ndo utajua kwanini yupo single unless kama amefiwaKiukweli hakuna ubaya kumchumbia single mother na kumuoa huyo mama asiye na mwenzi. Hata kama amezaa, mtoto aliyemzaa na mwanaume mwingine ni baraka kabisa.
Cha muhimu ni kwamba nyote wawili mnapendana na mmejitolea kufanya uhusiano wenu ufanye kazi. Hivyo ukimpata single mother na mkapendana nyote muoe tafadhari hata kama ana watoto watatu oa tu.
Mtume Muhammad ni mfano wa kuigwa hakumuogopa bi Khadija. Jifunzeni kwa huyu mtumishi.
Enyi wanaume waoga acheni ushamba.
Muoga mwingine 😂😂SINGLE MOTHER NI KIPORO. SHAURI LENU.
Unamaanisha nini?Ukishamuoa ndo utajua kwanini yupo single unless kama amefiwa
Niko na mtoto mmoja mbichi safi sana .Walishindwa vipi kuolewa na waliowazalisha ? Au ndio walikuw na utoto. Of course ukijipeleka kwa single mother lazima akugande maana anajua alishajiwekea doa. Muoe muweke ndani uanze kuona balaa lake. Wapo wanaobehave , ila wengine ni pasua kichwa tu mkiiingia kwenye ndoa..just kama hawa wasiozaa..wapo wanafaa na wapo wasiofaa.
Naongea kutokana na experience za kutosha. Siwezi kuwa mjinga mimi eti nijilipue. Kupigapiga ruhsa, kubeba jumla, wazee wa ukoo watakushangaa sana unawaletea kitu gani yani.Muoga mwingine 😂😂
Upo wapi mida hii mkuuNaongea kutokana na experience za kutosha. Siwezi kuwa mjinga mimi eti nijilipue. Kupigapiga ruhsa, kubeba jumla, wazee wa ukoo watakushangaa sana unawaletea kitu gani yani.
Sababu ya kukuweka huko?Mtoa siredi, niweke kundi la Waoga tena namba moja.
Natanguliza Shukrani za dhati.
Ni wajinga kabisa haoVijana wa hovyo wanakwambia mpk waonyeshwe kaburi la baba mtoto
Nani unamuuliza?Wee umeshaoa wangapi
Sio uoga ila its not my preference kuoa mtu ambaye alishazaa na mwanaume mwingine. Kila mtu ana preference zake. TusilazimishaneAcha uoga
Sawa mkuuSio uoga ila its not my preference kuoa mtu ambaye alishazaa na mwanaume mwingine. Kila mtu ana preference zake. Tusilazimishane
Wanaotaka kuwaoa...wawaoe tu ila mm binafsi hata kwenye akili zangu hawapo kabisa...yani watt wabichi wanaojielwa wapo nikapambane na hao waliozalishwa na kushindwa kuolewa. Hapana asee.Niko na mtoto mmoja mbichi safi sana .
Alafu kuna huyu single mother ameniganda ile mbaya. Nipo namwangalia tuu siku napiga chini ni heart attack. Muda umekaa anatumiwa text za mapenzi na baba mtoto wake anaifuta chap mi nazuga sijamuona.
Hapo nakula mzigo tu ila Kusema nimeoa hawa viumbe labda niwe nimekatwa kichwa
Kwa taarifa yako hao unaowaona kuwa ni watoto wabichi ukiwaoa watakufanya uwe mtu wa kupumua kwa kutumia mashine 😂Wanaotaka kuwaoa...wawaoe tu ila mm binafsi hata kwenye akili zangu hawapo kabisa...yani watt wabichi wanaojielwa wapo nikapambane na hao waliozalishwa na kushindwa kuolewa. Hapana asee.
nimecheka mpaka kamasiKwanza mimi nikiona aliyezaa naona kama katoka barabarani. Afadhali Wema kuliko Kajala (kesha totoa)
Hao jamaa huwa hawaulizagi eti sijui nani kabikiri 😂Wasukuma Huwa wanaoa tu hawana shida